LGE2024 Mwigulu afanya kampeni nyumba kwa nyumba, amekula kwa mama ntilie kama Kigwangala. Movie ziendelee!

LGE2024 Mwigulu afanya kampeni nyumba kwa nyumba, amekula kwa mama ntilie kama Kigwangala. Movie ziendelee!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!

Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura :BearLaugh: :BearLaugh:

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

=====
Screenshot 2024-11-22 173925.png

Screenshot 2024-11-22 173939.png
Screenshot 2024-11-22 173953.png

Screenshot 2024-11-22 174003.png
Screenshot 2024-11-22 174014.png
Screenshot 2024-11-22 174025.png
Screenshot 2024-11-22 174035.png

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.

Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
 
Mtu wa cheo hicho inabidi uwe makini na unachokula, hata kama maigizo hebu wawe makini aiseee. Atoke hapo aambiwe ini au figo zimefail waanze kutafuta mchawi nani? Hata kama CCM siipendi ila sijaona mbadala wao, hebu wawe makini aisee
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi mkoani Singida Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.
IMG_0856.jpeg

Kwa mujibu wa Dkt. Nchemba, lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, na kuakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
IMG_0859.jpeg
IMG_0858.jpeg
IMG_0857.jpeg
 
Jambazi na fisadi la hali ya juu kwa sasa hapa nchini,anawahadaa wananchi kwa kula nao mahindi huku account ikiwa na bilions za kifisadi.shame on you
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi mkoani Singida Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.
View attachment 3158982
Kwa mujibu wa Dkt. Nchemba, lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, na kuakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
View attachment 3158983
 
Msingi
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi mkoani Singida Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.
View attachment 3158982
Kwa mujibu wa Dkt. Nchemba, lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024, na kuakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
View attachment 3158983View attachment 3158984View attachment 3158985
Chimbuko na msingi wa ushindi wa kishindo kwa CCM katika kila chaguzi, ni kampeni za nyumba kwa nyumba, kijiwe kwa kijiwe nchi nzima..

well done ndugu waziri Dr.Mwigulu 💪🌹
 
Wakuu,

Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!

Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura :BearLaugh: :BearLaugh:

=====

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.

Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
Aache utapeli.
 
Back
Top Bottom