Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!
Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
=====
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.
Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!
Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
=====
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.
Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.