LGE2024 Mwigulu afanya kampeni nyumba kwa nyumba, amekula kwa mama ntilie kama Kigwangala. Movie ziendelee!

LGE2024 Mwigulu afanya kampeni nyumba kwa nyumba, amekula kwa mama ntilie kama Kigwangala. Movie ziendelee!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
CCM inajivunia imani kubwa sana ya waTanzania.

Na Chimbuko na msingi wa ushindi wa kishindo wa CCM katika kila chaguzi ni kampeni za nyumba kwa nyumba Lakini pia kijiwe kwa kijiwe.

Well done ndugu waziri Dr Mwigulu 💪🌹
Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!

Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura :BearLaugh: :BearLaugh:

=====

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.

Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
 
Wakuu,

Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!

Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura :BearLaugh: :BearLaugh:

=====

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.

Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
Vituko vya uchaguzi
 
Wakuu,

Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!

Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura :BearLaugh: :BearLaugh:

=====

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.

Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.


Drama mshenzi
 
Mtu wa cheo hicho inabidi uwe makini na unachokula, hata kama maigizo hebu wawe makini aiseee. Atoke hapo aambiwe ini au figo zimefail waanze kutafuta mchawi nani? Hata kama CCM siipendi ila sijaona mbadala wao, hebu wawe makini aisee
Kwahiyo hao Wananchi wanaokula hivyo vyakula Kila siku ya maisha Yao wanaumwa figo na maini yamefeli?
 
CCM mtaji wao ni wajinga ambao nchi hii imebarikiwa kuwa nao
 
Mkoa unaongoza kwa ufukara, njaa, vumbi tz haya labda watakumbukwa,,,
 
Leo nimeumia sana baada ya kumwona mwigulu eti anakula chapati ,anauza nyanya,analanda mbao, huu ni unafiki na ni zalao kwa watanzania.

Watanzania naomba tuwakatae wanasiasa kama hawa, kabla ya uchaguzi wanapita na mav8 yao tintedi kubwa, biza kukwapua pesa za wala hoi, uchaguzi ukifika wanajifanya wanaenda kujifanyisha eti wanahali Sawa za kimaisha na wanainchi wa chini, huu ni unafiki na ni dhambi kubwa mbele za Mungu, watu kama HAWA wakina mwigulu na wengine wanapaswa kukataliwa na kila MTANZANIA mwenye akili timamu, na mzalendo I'li iwe fundisho kwa mwanasiasa yeyeyote

Inaumiza sana. Watanzania wa leo sio Sawa na wa miaka ya nyuma ,HAWA wanajua kuwa wewe ni mnafiki na laghai wa siasa, alafu mwigulu soma alama za nyakati mbinu hizo unazotumia sasa ni za miaka ya 2000 huko, watanzania sasa wanajua kuwa nyie wanasiasa ni vinyonga.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Msingi

Chimbuko na msingi wa ushindi wa kishindo kwa CCM katika kila chaguzi, ni kampeni za nyumba kwa nyumba, kijiwe kwa kijiwe nchi nzima..

well done ndugu waziri Dr.Mwigulu 💪🌹
Miyeyusho huyo

Ova
 
Wakuu,

Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!

Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura :BearLaugh: :BearLaugh:

=====

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.

Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
Watoto wakebwanasoma feza International schools adq ni ml 35 kwa mwaka. Wajinga ndiyo waliwao
 
Wakuu,

Kabla ya kampeni ukitaka kumsogelea Mwigulu au kiongozi mwingine mwananchi atapigwa roba chaaaaaa, labda kama kiongozi atasema mwacheni asogeee tumsikilize, mpeni mike!

Ila kwenye kampeni ni mwendo wa kuwakumbatia hawa hawa! Akili kumkichwa wapiga kura :BearLaugh: :BearLaugh:

=====

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefanya kampeni za nyumba kwa nyumba na kijiwe kwa kijiwe wilayani Iramba, kwa kukutana na wananchi katika maeneo yao ya makazi na shughuli zao za kila siku.

Lengo la kampeni hiyo kuimarisha uungwaji mkono wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizi zinaakisi dhamira ya dhati ya CCM ya kuendeleza ushirikiano wa karibu na wananchi katika kujenga maendeleo endelevu.
Siasa majitaka
 
Back
Top Bottom