Mwigulu: Cement bei juu kwa sababu ya vita ya Ukraine na Urusi

Mwigulu: Cement bei juu kwa sababu ya vita ya Ukraine na Urusi

... ni kama walikuwa wanaombea vita ya Ukraine itokee ili utetezi upatikane! Bei ya cement na vifaa vya ujenzi ilianza kupaa hata kabla ya vita.
Makaa ya mawe yapo Tanzania, gesi asilia ipo Tanzania, kwa kuchoma Material za cement.
Materials zakutengeneza cement limestone,clay ipo Tanzania.
Labda kwa ufahamu wake Ukraine ipo Tanzania .
 
Hapa tumeingizwa Cha kike.
muulizeni anajua Bei za jumla za vifaa vya ujenzi?
Watu wanajipandishia Bei wanavyotaka wao.
Nilitoa mfano wa nondo za 12 mm tani moja ni 2,000,000 zinakaa PC's 94.
Ukigawanja unapata 21,000+ kwa PC's 1.
Lakini nondo mtaani inauzwa 26,000 mpaka 27,000
Nani wa kuangalia hizi Bei?
Au wafanyabiashara wanajiamulia tu.
Na Samia alishakubali Bei zipande
 
Ku

"...gharama za cement zimeendelea kupanda kila mara na hilo la vita ya Ukraine na Urusi ndilo limeongeza changamoto ya kupanda kwa bei..."

"...nimewataka wadau waone namna bora ya kupunguza gharama kupanda mara kwa mara kwa maslahi ya wananchi wetu."

Amesema Mwigulu.

Nb: Tanga cement na Dangote cement si mhamishie viwanda vyenu Tanzania ili bei ya cement ipungue?!
Kumbe vipo Ukraine !!?
 

"...gharama za cement zimeendelea kupanda kila mara na hilo la vita ya Ukraine na Urusi ndilo limeongeza changamoto ya kupanda kwa bei..."

"...nimewataka wadau waone namna bora ya kupunguza gharama kupanda mara kwa mara kwa maslahi ya wananchi wetu."

Amesema Mwigulu.

Nb: Tanga cement na Dangote cement si mhamishie viwanda vyenu Tanzania ili bei ya cement ipungue?!
Huu uchochoro wa sababu "vita ya Ukraine na Russia......",kautengeneza mama kuanzia mawaziri, watendaji na wafanyabiashara wakubwa wanapita nao wakiuliza ni mwendo wa kukopi na kupesti "vita ya Ukraine na Russia.....".Mpaka unajiuliza Zanzibar wao wame fanyaje fanyaje au labda wapo Sayari nyingine.

Yaani kwa kifupi hayupo kiongozi mwenye uwezo wa kufikiria nje boksi kidogo ni mwendo kulalamika na sababu yao ya vita ya Ukraine na Russia.
 
Ushamba huu alikua nao Saada Mkuya.
Kuna siku ningekwenda graduation pale ITA yeye alikua mgeni rasmi wakati huo waziri wa fedha.
V8 haikuzimwa kipindi chote Cha mahafali eti akiingia akute unarudi.
Huo ni ushamba wa Hali ya chini kabisa karibu na kuzimu.
Ndiyo CCM wanapenda hivyo
 
Makaa ya mawe yapo Tanzania, gesi asilia ipo Tanzania, kwa kuchoma Material za cement.
Materials zakutengeneza cement limestone,clay ipo Tanzania.
Labda kwa ufahamu wake Ukraine ipo Tanzania .
Malighafi zote zipo tz
Lakini cha ajabu bei ni juu

Ova
 
Makaa ya mawe yapo Tanzania, gesi asilia ipo Tanzania, kwa kuchoma Material za cement.
Materials zakutengeneza cement limestone,clay ipo Tanzania.
Labda kwa ufahamu wake Ukraine ipo Tanzania .
Kuna mtu namjua na Ana kiwanda chake cha uzushi yy anatengeneza mikanda ya gypsum ya nyumba
Material zote anatumia za ndani
Powder,katani, vibration
Mkanda ukiwa tayar yy anauza @1
Tsh 1600 na ubora uko byeee
Sasa kanunue mikanda toka nje bei
Yake ukatayo ambiwa

Ova
 
nasikia hata wadada poa nao wamepandisha bei maana mali ghafi zao tola Urusi na Ukraine zinapatikana kwa shida.

Kila kona bei juu - heeee
 

"...gharama za cement zimeendelea kupanda kila mara na hilo la vita ya Ukraine na Urusi ndilo limeongeza changamoto ya kupanda kwa bei..."

"...nimewataka wadau waone namna bora ya kupunguza gharama kupanda mara kwa mara kwa maslahi ya wananchi wetu."

Amesema Mwigulu.

Nb: Tanga cement na Dangote cement si mhamishie viwanda vyenu Tanzania ili bei ya cement ipungue?!
gari halina dereva
 
Kwani Ukr haijachangia? Tuwekee hapa hizo strategic za monetary na fiscal policies [emoji38][emoji38]..

Kwamba wewe ndio unazijua yaani kuzidi wachumi wote wa.serikali sio?
We nawe kumbe unakubali hoja za kitoto eti cement na nondo zimepanda kwa sababu ya vita ya Ukraine? Unajidhalilisha.
Kuhusu policies, wao ndiyo wanalipwa kwa ajili ya kubuni hizo policies ili Uchumi uweze kukabiliana na huo mfumuko wa bei. Hebu tuambie wewe Ukraine imechangiaje siyo kufata mkumbo
 
We nawe kumbe unakubali hoja za kitoto eti cement na nondo zimepanda kwa sababu ya vita ya Ukraine? Unajidhalilisha.
Kuhusu policies, wao ndiyo wanalipwa kwa ajili ya kubuni hizo policies ili Uchumi uweze kukabiliana na huo mfumuko wa bei. Hebu tuambie wewe Ukraine imechangiaje siyo kufata mkumbo
Jibu hoja hapo juu maana naona umekurupuka hata hujamsikiliza Waziri..

Vita imekuwa catalyst kwenye bei zilizoongezeka coz of covid 19, mbona mnakuwa vilaza hivyo?
 
Hapa tumeingizwa Cha kike.
muulizeni anajua Bei za jumla za vifaa vya ujenzi?
Watu wanajipandishia Bei wanavyotaka wao.
Nilitoa mfano wa nondo za 12 mm tani moja ni 2,000,000 zinakaa PC's 94.
Ukigawanja unapata 21,000+ kwa PC's 1.
Lakini nondo mtaani inauzwa 26,000 mpaka 27,000
Nani wa kuangalia hizi Bei?
Au wafanyabiashara wanajiamulia tu.
Na Samia alishakubali Bei zipande
Ndugu yangu huelewi? Ndiyo amewapa rai wafanyabiashara wasipandishe bei. Saa nyengine hivi vitu unatumia rai tu
 
Hawa ni watatua matatizo au ni watoa taarifa za matatizo ?!!!


At-least if anything tell us something we don't know..., layman yoyote anaweza akakaa hapo na kuongea alichoongea
 
Back
Top Bottom