Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mdau wa michezo, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Waziri wa Fedha, ameeleza matamanio yake ya kuona kiungo wa Azam FC na timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars", Feisal Salum (Fei Toto) akiichezea klabu ya Singida Big Stars baada ya kuvitumikia vilabu vya Yanga, Azam na Simba.
1726038352624.png
"Mwanangu buana, Ulifunga goli la muhimu sana katika mechi muhimu sana Jana. Anyway hii ni kawaida yako, ndivyo ulifanya ukiwa mitaa ya Jangwani, ndivyo unaendelea kufanya mitaa ya Chamazi".

Ulishafanya makubwa Jangwani na Chamazi, mwanangu kwani vipi ukimaliza kabisa mitaa yote Dar es Salaam yaani mpaka mtaa wa Msimbazi kabla ya kuja Singida? Si Baba kasema? Congrants my "Dkt Mwigulu Nchemba!



Fei Toto kabla ya kujiunga na Yanga mwaka 2018 alitokea klabu ya Singida ambayo ilimsajili kutoka JKU ya Zanzibar na kutimkia Azam FC mwaka 2022 ambako alisaini mkataba wa miaka mitatu baada ya kufikia makubaliano na Azam Football Club kuhusu uhamisho wa kiungo huyo baada ya majadiliano kati ya pande hizo mbili kukamilika.
1726039360282.png
Wadau uchambuzi kwa ufupi sana tafadhali

Soma:
==> Feisal amevuta milioni 90 kutoka kwenye klabu yake ya Azam baada ya kufunga magoli 19 ya ligi kuu
==> Wakati Feisal anawafanyia Yanga uhuni mashabiki wengi wa simba walimsuport haya sasa imetokea kwa Kibu Dennis wamsuport
==> Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC.
 

Attachments

  • 1726038998433.png
    1726038998433.png
    2.4 MB · Views: 14
Fei ana skills ila hana nguvu hana Kasi na ivyo ni vitu vya msingi Sana Kwa mpira wa level za juu.
Ili awe na thamani anahitaji kua na vitu hivyo si Fei pekeyake karibia asilimia 90 ya wachezaji wetu wanakosa Nguvu na Kasi.
Basi mchukue KIBU DENGA mpeleke wewe Ulaya
 
Fei ana skills ila hana nguvu hana Kasi na ivyo ni vitu vya msingi Sana Kwa mpira wa level za juu.
Ili awe na thamani anahitaji kua na vitu hivyo si Fei pekeyake karibia asilimia 90 ya wachezaji wetu wanakosa Nguvu na Kasi.
Anatakiwa ale chakula kigumu...na afanye mazoezi kama wenzie kina Pacome na tshabalala kwa trainer kama Denzel...
 
Wachezaji Jamii ya Kibu wapo wengi ulaya, makocha wakisasa Wanahitaji uharaka na Nguvu na kufuata maelekezo na ndicho wanacho tuzidi watu wa Afrika magharibi kwa miaka mingi.
Kuna mchezaji kama Adama Traoré na wengine hawatofautiani na Kibu D
 
Back
Top Bottom