Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida
Naskia walio karibu nae wanasema hapendi mazoezi magumu, ila binafsi naamini feisal akipata ivo vitu viwili alivyoainisha mdau hapo ( nguvu na kasi) atakuwa hashikiki na atakuwa tajiri akishastaafu mpira
Kabisa kabisa...
 
Back
Top Bottom