Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida
Mdau wa michezo, Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Waziri wa Fedha, ameeleza matamanio yake ya kuona kiungo wa Azam FC na timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars", Feisal Salum (Fei Toto) akiichezea klabu ya Singida Big Stars baada ya kuvitumikia vilabu vya Yanga, Azam na Simba.
"Mwanangu buana, Ulifunga goli la muhimu sana katika mechi muhimu sana Jana. Anyway hii ni kawaida yako, ndivyo ulifanya ukiwa mitaa ya Jangwani, ndivyo unaendelea kufanya mitaa ya Chamazi".

Ulishafanya makubwa Jangwani na Chamazi, mwanangu kwani vipi ukimaliza kabisa mitaa yote Dar es Salaam yaani mpaka mtaa wa Msimbazi kabla ya kuja Singida? Si Baba kasema? Congrants my "Dkt Mwigulu Nchemba!


Fei Toto kabla ya kujiunga na Yanga mwaka 2018 alitokea klabu ya Singida ambayo ilimsajili kutoka JKU ya Zanzibar na kutimkia Azam FC mwaka 2022 ambako alisaini mkataba wa miaka mitatu baada ya kufikia makubaliano na Azam Football Club kuhusu uhamisho wa kiungo huyo baada ya majadiliano kati ya pande hizo mbili kukamilika.
Wadau uchambuzi kwa ufupi sana tafadhali

Soma:
==> Feisal amevuta milioni 90 kutoka kwenye klabu yake ya Azam baada ya kufunga magoli 19 ya ligi kuu
==> Wakati Feisal anawafanyia Yanga uhuni mashabiki wengi wa simba walimsuport haya sasa imetokea kwa Kibu Dennis wamsuport
==> Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC.
Dolla inakimbilia elfu 3,vitu vingine aachane navyo kwani havimuhusu.
 
Sijui Yanga watamove on lini chuki wanayoionyeaha Kwa huyu KIJANA haina Afya Kwa maslahi mapana ya Nchi. Simba sijawahi kusikia wanashoboka na wachezaji waliondoka hata Tu kuwataja. Ingekuwa Chama ndio katoka Yanga kuja Simba angejuta. Ukomavu WA Simba ni WA level ya juu.
 
Halafu TFF hawajui kuwa Kuna mtu ni mdhamini wa yanga wakati huohuo anamiliki timu timu nyingine.
 
Fei ana skills ila hana nguvu hana Kasi na ivyo ni vitu vya msingi Sana Kwa mpira wa level za juu.
Ili awe na thamani anahitaji kua na vitu hivyo si Fei pekeyake karibia asilimia 90 ya wachezaji wetu wanakosa Nguvu na Kasi.
Hivi kwann wachezaj wa Tanzania hawana kasi uwanjani?
 
Fei ana skills ila hana nguvu hana Kasi na ivyo ni vitu vya msingi Sana Kwa mpira wa level za juu.
Ili awe na thamani anahitaji kua na vitu hivyo si Fei pekeyake karibia asilimia 90 ya wachezaji wetu wanakosa Nguvu na Kasi.
Hivi kwann wachezaj wa Tanzania hawana kasi uwanjani?
 
Fei ana skills ila hana nguvu hana Kasi na ivyo ni vitu vya msingi Sana Kwa mpira wa level za juu.
Ili awe na thamani anahitaji kua na vitu hivyo si Fei pekeyake karibia asilimia 90 ya wachezaji wetu wanakosa Nguvu na Kasi.
Hivi kwann wachezaj wa Tanzania hawana kasi uwanjani?
 
Anatakiwa ale chakula kigumu...na afanye mazoezi kama wenzie kina Pacome na tshabalala kwa trainer kama Denzel...
Naskia walio karibu nae wanasema hapendi mazoezi magumu, ila binafsi naamini feisal akipata ivo vitu viwili alivyoainisha mdau hapo ( nguvu na kasi) atakuwa hashikiki na atakuwa tajiri akishastaafu mpira
 
Huyu si alimtoa Feisal kama zawadi zamani?
 
Huyu si alimtoa Feisal kama zawadi zamani?
 
Watanganyika wanachezeshwa ngoma ya mpira wao wanaiba kodi zenu. Pia kusaulisha tukio la kikatili serikali kuteka mpk kuua mzee kibao.
 
Nipo naye hapa, kasema harudi huko Singida tena
 
Anatakiwa ale chakula kigumu...na afanye mazoezi kama wenzie kina Pacome na tshabalala kwa trainer kama Denzel...
Mpaka Leo kuna mtanzaniq wanamentality kamanzakonzq chalilq kigumu....shida pp09
 
Mpaka Leo kuna mtanzaniq wanamentality kamanzakonzq chalilq kigumu....shida pp09
Umeandika nini sasa...??
Ww mwanao mchanga anakula chakula kigumu au kilaini?
 
Back
Top Bottom