Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hazina ya Yanga Utopolo!!
Inasikitisha sanahuelewi nini? mikono salama kwa mangulo wanajilia kwa utaratibu ulio pangwa.
Nchi ngumu sana hii!!!
Wasomi wanaongoza kwa upumbavu
Hivi unadai billion kadhaa halafu unaemdai humjui? Hata mtu ambae hakwenda shule hawezi kuwa mjinga hv
Alichosema Mwigulu ni sawa na kumpa mwizi pesa zako akulindie halafu unakuja kumuuliza kama zipo salama...
-Yes, zipo kwenye mikono salama kabisa mkuu!.
Wanatuchukilia poa sana hawa nduguKweli iko salama kwa maandalizi ya Uchaguzi
Sijui anamwambia nani hapo
Aaa wapi iko kwenye mikono ya wezi [emoji2962]
Hivi Mwenye Enzi Mungu lini uta sikia ukelele wa kilio chetu Watanzania, eeh Rabuka wetu muumbaji wa vitu vyote tunavyo viona na tusivyo viona tuna kuomba uji tokeze tena ufanye mambo ya miujiza tena katika nchi yetu ya Tanzania [emoji1241]
Tuna kunyoshea mikono yetu kwa kulia [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tuokoe ehh Mola wetu[emoji31][emoji31][emoji31]
Tena huyo trab na trat ndio mwizi namba moja akifatiwa na jamaa moja linatoka bumbuli, bibi mkuu anawajua ila anamuogopa mwamba wa msoga, kwa ufupi tumeliwaa na hawagusiki doraaa inawalinda
Wapigaji wa awamu hii na ya tano wanatoroshea fedha South Afrika China na kwengineko tofauti na Wapigaji wa awamu zilizopita kama 4,5
Ndio maana mzunguko wa fedha mitaani ni mdogo meno.