MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Hizo ni pesa za kwenye miamala. Mbona hujawahi kuuliza kwanini kwenye Tigo pesa au Mpesa hadi huwa kuna Tsh 269, au Tsh 351.82Na kama Benki Kuu ilishaondoa katika Mzunguko matumizi ya Sarafu ya Tsh 20 imekuwaje katika Makusanyo ya Mwezi ya Tsh 48,489,225,670 kukawepo hii Tsh 70?
Tsh 50 ya Sarafu najua ipo ila Tsh 20 ya Sarafu haipo tena je, hapa imeingiaje katika Mahesabu? Na kama Sarafu ya Tsh 20 haipo tena kwanini imejumuishwa katika Mahesabu / Takwimu ya jumla iliyotajwa na Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba?
Nitashukuru tu nikielimishwa juu ya hili.
Uzi huu umeonesha ujinga wa huyu mleta mada. Akadhan hizi pesa zimekusanywa kwa njia kupokea noti na sarafu licha ya kua yeye ni mtumiaji wa tigopesa, mpesa n.kHizo ni pesa za kwenye miamala. Mbona hujawahi kuuliza kwanini kwenye Tigo pesa au Mpesa hadi huwa kuna Tsh 269, au Tsh 351.82
Huna utaalam wowote ule wa Masuala ya Financial na ulichokijibu ni tofauti na Swali langu la Kimsingi ambalo kwa Ubongo wako mbovu sishangai umekurupuka kunijibu halafu umejibu Kijuha vile vile.Hizo ni pesa za kwenye miamala. Mbona hujawahi kuuliza kwanini kwenye Tigo pesa au Mpesa hadi huwa kuna Tsh 269, au Tsh 351.82
Dah..Na kama Benki Kuu ilishaondoa katika Mzunguko matumizi ya Sarafu ya Tsh 20 imekuwaje katika Makusanyo ya Mwezi ya Tsh 48,489,225,670 kukawepo hii Tsh 70?
Tsh 50 ya Sarafu najua ipo ila Tsh 20 ya Sarafu haipo tena je, hapa imeingiaje katika Mahesabu? Na kama Sarafu ya Tsh 20 haipo tena kwanini imejumuishwa katika Mahesabu / Takwimu ya jumla iliyotajwa na Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba?
Nitashukuru tu nikielimishwa juu ya hili.
Halafu sijui kwanini JF wameamua kukuacha wewe takataka kuwa na lundo la IDs humu ndani.Huna utaalam wowote ule wa Masuala ya Financial na ulichokijibu ni tofauti na Swali langu la Kimsingi ambalo kwa Ubongo wako mbovu sishangai umekurupuka kunijibu halafu umejibu Kijuha vile vile.
Hivi Kiuwasilishaji na ili ilete maana kwa Mtu kati ya Tsh 48,489,225,670 na Tsh 48,489,225,650 ni ipi ambayo ingetupasa Kutajiwa na hata Kimahesabu inakubalika?Hoja dhaifu! Tozo wanakata kwa asilimia, hivyo kupata hiyo kawaida!
Mfano!
Mmoja akatwe tozo 110, mwingine 130 na mwingine 130 ni kawaida kupata JUMLA 170 Kimahesabu hata tsh 9999999 inawezekana hata kama sokoni hakuna sent 20!
Tozo inahesabiwa kwa kiwango unchotoa!
Hata tozo iwe tano tano tano wakikatwa watu 14 unapata 70
Wewe mwenye Akili nakuomba unieleweshe katika Uwasilishaji wa Lugha ya Kimahesabu ni Figure ipi kati ya Tsh 48,489,225,670 na Tsh 48,489,225,650 inakubalika na ingefaa zaidi?Uzi huu umeonesha ujinga wa huyu mleta mada. Akadhan hizi pesa zimekusanywa kwa njia kupokea noti na sarafu licha ya kua yeye ni mtumiaji wa tigopesa, mpesa n.k
StupidWewe mwenye Akili nakuomba unieleweshe katika Uwasilishaji wa Lugha ya Kimahesabu ni Figure ipi kati ya Tsh 48,489,225,670 na Tsh 48,489,225,650 inakubalika na ingefaa zaidi?
Shuleni tulifundishwa Kufanya round of na katika Kanuni za Mahesabu inaruhusiwa je, kwanini hapa haijatumika na Wataalam wengi wa Mahesabu walioko Wizarani na BOT?
Asante Ndugu kwa huu Ufafanuzi wako mzuri kabisa. Hujawahi Kuniangusha uwapo JamiiForums.Digital Currency sawa na physical notes and coins!
Digital currency ina hesabu from 0-9 with decimal fragments
Pamoja sana mkuu wangu!Asante Ndugu kwa huu Ufafanuzi wako mzuri kabisa. Hujawahi Kuniangusha uwapo JamiiForums.
Nimeanzisha Uzi ili nielimishwe vyema kama ambavyo umefanya Wewe tofauti na Majuha wengine.
Huwa nafurahi kukutana na Watu very Smart kama Wewe hapa na siyo Fools wachache hapo juu.
Niongezee lingine tafadhali hili halitoshi.Stupid
Nakukubali mno sema ulikuwa hujui tu.Pamoja sana mkuu wangu!
1. Kuwepo kwa Sh 70 inawezekana maana tozo ya chini ni Sh 10. Tatizo ninaloliona ni kiasi cha pesa bn48 na muda zilipopatikana, yaani chini ya siku 45. Kama tozo ya juu kabisa ni 2% , ili serikali iweze kupata bn48, ni lazima watumiaji wa mitandao ya simu wawe wametuma na kutoa kiasi cha cha pesa kinachozidi zilion 150. Pesa ambayo nchi hii haina. Sasa hebu madelu atueleze hizo 48bn amezipataje?Na kama Benki Kuu ilishaondoa katika Mzunguko matumizi ya Sarafu ya Tsh 20 imekuwaje katika Makusanyo ya Mwezi ya Tsh 48,489,225,670 kukawepo hii Tsh 70?
Tsh 50 ya Sarafu najua ipo ila Tsh 20 ya Sarafu haipo tena je, hapa imeingiaje katika Mahesabu? Na kama Sarafu ya Tsh 20 haipo tena kwanini imejumuishwa katika Mahesabu / Takwimu ya jumla iliyotajwa na Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba?
Nitashukuru nikielimishwa juu ya hili.