Mwigulu hii Tsh 70 katika Makusanyo ya Tsh 48,489,225,670 imetoka wapi wakati Siku hizi hakuna Sarafu ya Tsh 20?

Samcezar uko sawa kwa maelezo yako ILA hilo la kuwaachia makonda hizo sh.50, 50 sikubaliani na wewe kwani ni pesa nzuri na ina faida yake ndiyo maana iko PHYSICALLY kwenye mzunguko wa fedha! Sh.50 mbili ni sh.100 na tatu ni sh.150 n.k!
 
Dah...yaani tozo tunaminywa billion 48 kwa mwezi....halafu mama na wapambe wanatumbua Billion 60 kwa wiki mbili pale hoteli ya Pierre ....kweli? ...so sad 🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…