Mbona ungetamani Magu afufuke, yaani madelu akamate rungu......aisee!Duuh, nikajua mtu katenguliwa.....! Mwigulu huyu alitaka tumpe nchi, sijui ingekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ungetamani Magu afufuke, yaani madelu akamate rungu......aisee!Duuh, nikajua mtu katenguliwa.....! Mwigulu huyu alitaka tumpe nchi, sijui ingekuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali..ulitaka ulipe shilingi ngapi wewe masikini?.Kumbe huna hoja zaidi ya kuongeza idadi ya thread tu
Barabara Ina uhusiano gani na kutuma pesa kwa njia ya simuHata ukiwa masikini au myonge, kodi inakuhusu.
Si unatumia barabara?
LIPA KODI.
Mwendazake Alikusanya kwa MACHINGA masikini watembeza Vyombo usiku na mchanaUnaacha kukusanya MABILLIONI kwa matajiri unakuja kukusanya BUKU BUKU uswahilini kwa wanyonge[emoji848]
Kwani hujui kuwa hiyo ni kodi?Barabara Ina uhusiano gani na kutuma pesa kwa njia ya simu
Na VAT iliyokuwa inakatwa kabla hawajaleta hii tozo isiyoeleweka ilikuwa na maana ganiKwani hujui kuwa hiyo ni kodi?
Na kodi hata leo hujui kazi yake?
Kweli kuna watanzania wanaona
U roda kubebwa tu!
Unaacha kukusanya MABILLIONI kwa matajiri unakuja kukusanya BUKU BUKU uswahilini kwa wanyonge🤔
Matajiri ukiwapandishia kodi wanahama nchi, walalahoi hawana pa kwenda.Unaacha kukusanya MABILLIONI kwa matajiri unakuja kukusanya BUKU BUKU uswahilini kwa wanyonge🤔
Suala hili la Kodi lilijadiliwa na Baraza la Mawaziri Rais akiwa Mwenyekiti hivyo hakuna wa Kutenguliwa sana AtasifiwaMimi siamini kama mwigulun chemba anamsaidia mama Suluhu Samia kwa haya maboko anayoanzisha yanaudhi Sana wananchi nyuma ya pazia Kuna jambo.
Natesti mitamboView attachment 1855273
Agenda yao nyuma ya pazia ni kumng'oa Samia kwenye ballot,Mimi siamini kama mwigulun chemba anamsaidia mama Suluhu Samia kwa haya maboko anayoanzisha yanaudhi Sana wananchi nyuma ya pazia Kuna jambo.
Natesti mitamboView attachment 1855273
Nakuomba tena Mama yangu ufikirie tena hivi vimeo unavyochomekewa, na uwe makini navyo. Mafuta ndio "trigger" ya mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali za muhimu. Na kwenye miamala ya tigopesa/mpesa ndio wengi wa kipato cha kati na chini hufanya miamala yetu, sababu hatuna hela za kuweza kukaa benki.Mimi siamini kama mwigulun chemba anamsaidia mama Suluhu Samia kwa haya maboko anayoanzisha yanaudhi Sana wananchi nyuma ya pazia Kuna jambo.
Natesti mitamboView attachment 1855273
Nakuomba tena Mama yangu ufikirie tena hivi vimeo unavyochomekewa, na uwe makini navyo. Mafuta ndio "trigger" ya mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali za muhimu. Na kwenye miamala ya tigopesa/mpesa ndio wengi wa kipato cha kati na chini hufanya miamala yetu, sababu hatuna hela za kuweza kukaa benki.Unaacha kukusanya MABILLIONI kwa matajiri unakuja kukusanya BUKU BUKU uswahilini kwa wanyonge[emoji848]
Lakini bado ameiacha CCM madarakani inakamua wanyonge.Mungu yu hai
JPM alikuwa anakusanya kwa vigogo, wapuuzi akina Tundu Lissu wakamsakama, sasa ngoja mama azisake kwenu wapigadebe.Unaacha kukusanya MABILLIONI kwa matajiri unakuja kukusanya BUKU BUKU uswahilini kwa wanyonge🤔
Huwezi jua inawezekena pia ni maagazo ya yake huyo samaia.Mimi siamini kama mwigulun chemba anamsaidia mama Suluhu Samia kwa haya maboko anayoanzisha yanaudhi Sana wananchi nyuma ya pazia Kuna jambo.
Natesti mitamboView attachment 1855273
Wakati wanafanya maamuzi wanapaswa kuangalia sehemu Kuna uafadhali kwamba mhusika hata pata maumivu sana.Matajiri ni RAIA na wanalipa KODI pia......
Matajiri wameajiri watanzania wengi ambao kuishi kwao ,kulisha familia na kulea watoto hutegemea hao matajiri......
Wewe hutegemewi na watu wasiozidi 20 halafu ujifananishe na hao matajiri waajiri wa Watanzania?!!!
Tuache pang'ang'a tulipe KODI....
Mh.SSH ni rais wa maskini na matajiri pia......
#KaziIendelee