Mwigulu, it's enough. You MUST resign!
huyo ashawahi kumbambikia kesi ya ugaidi lwakatare wakati hata tafsiri ya neno ugaidi haijuwi.

ashawahi kuongoza kikundi cha kumwagia watu tindikali uchaguzi wa 2020.

kwa ufupi the guy is insane huyo mama nae sijui alipata wapi guts za kumteua kuwa waziri tena wa fedha?
 
Tafadhali mno kama Wewe Profesa upo hapa JamiiForums ( na naamini upo ) hebu jitokeze ili angalau basi GENTAMYCINE nikuulize Maswali yangu 'Kuntu' kuhusu 'Candidate' wako Mwigulu Nchemba ( Waziri )

Kwani nahisi huenda hata nawe wakati unasahihisha 'Doctorate Thesis' yake ulikumbana na 'Mauzauza' yake mengi ya Kitaaluma ambayo kayahamishia Wizarani ( Serikalini ) na sasa Wananchi 'tunataabika' nae tu Kimaamuzi.
Ni wakati muafaka sasa vyuo viwe vinawavua pHD za watu kama hawa waliofanyiwa thesis kwenye steshenari za pale survey / Karibu na UDSM.
 
Ana PhD ila uwezo wake kama ana certificate ya masomo ya biashara kaharibu kweli huko kaweka mzigo wa kodi kila sehemu yeye ni ku copy kodi za ulaya na kuweka kwenye bunge lao la Dodoma hakuna waziri hapo...
Hivi bongo tuna wasomi kweli.Zaidi ya walimu tu tena wa sekondari tu ndo wameisaidia hii nchi hata kupata uhuru kaja mwalimu Meko nae kasaidia ila hii inayojiita propesa wamejaza mavi kichwani.
 
Tafadhali mno kama Wewe Profesa upo hapa JamiiForums ( na naamini upo ) hebu jitokeze ili angalau basi GENTAMYCINE nikuulize Maswali yangu 'Kuntu' kuhusu 'Candidate' wako Mwigulu Nchemba ( Waziri )

Kwani nahisi huenda hata nawe wakati unasahihisha 'Doctorate Thesis' yake ulikumbana na 'Mauzauza' yake mengi ya Kitaaluma ambayo kayahamishia Wizarani ( Serikalini ) na sasa Wananchi 'tunataabika' nae tu Kimaamuzi.
Prof. Kabudi alikuwa mmoja wapo
 
Anaitwa Profesa nani Mkuu? Leo nina 'Kaziara' kangu binafsi hapo UDSM kuna 'Intellectual' Mmoja namwomba 'naniliu' huu sasa Mwezi wa Saba ( 7 ) na haeleweki tu.
apitishe thesis akoooeeeee😂 miez 7, kweli wewe mvumilivu na utakula mbivuuu
 
huyo ashawahi kumbambikia kesi ya ugaidi lwakatare wakati hata tafsiri ya neno ugaidi haijuwi.

ashawahi kuongoza kikundi cha kumwagia watu tindikali uchaguzi wa 2020.

kwa ufupi the guy is insane huyo mama nae sijui alipata wapi guts za kumteua kuwa waziri tena wa fedha?
Mwigulu na kabudi hawakufaa kuteuliwa kuwa mawaziri.Mpango naye kuwa makamu wa Rais ni janga lingine
 
Tanzania tuna majanga matatu ambayo hatima yake ni Katiba mpya.
1. SSH kuwa Rais
2. Majaliwa Naye kuwa Waziri Mkuu
3. Mpango kuwa Makamu wa Rais.
Watu Hawa wote ni viongozi Bali sio wanasiasa.
 
Kama la Saba alifeli na kuamua kuchukua jina la mtu bila aibu Sasa hapo mkuu huyu mtu si ni bogaz kabisaa
 
huyo ashawahi kumbambikia kesi ya ugaidi lwakatare wakati hata tafsiri ya neno ugaidi haijuwi.

ashawahi kuongoza kikundi cha kumwagia watu tindikali uchaguzi wa 2020.

kwa ufupi the guy is insane huyo mama nae sijui alipata wapi guts za kumteua kuwa waziri tena wa fedha?
Jamaa kawekwa kwenye chungu, atadokoa nyama zote na kutuachia mifupa tu!
 
Kama umepitia Vyuoni watu km hawa ni wengi wanakua wajanja wajanja hawatumii bongo zao wao wanasubiria watafuniwe ndio madhara yake hayo
 
tumwambie mama tu, ashapata sababu ya kumbutua ambutue tu asipoteze muda..
 
Hivi akina ester,.....halima mdee walishiriki katika hili! Haya matumbo yatatuuuwa walahi,huyu jamaa ajihuzulu ana uroho wa pesa
 
Back
Top Bottom