Mwigulu katika kashfa nzito: Atuhumiwa kutumiwa na mkewe kwa maslahi binafsi

Mwigulu katika kashfa nzito: Atuhumiwa kutumiwa na mkewe kwa maslahi binafsi

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
45356399-28eb-4050-950c-37ea69571649.jpg

Chanzo: Gazeti la Raia Mwema
 
Na hapa ndipo unapokuja ku-judge umakini wa SSH kama kweli ana tofauti yoyote na waliomtangulia hata kama siku chache za mwanzo alitaka kujionesha yupo tofauti na Magu! Hivi mtu wa hovyo kama Mwigulu unampa vipi ofisi nyeti kama MoF?

Uzuri wa CCM mambo kama hayo yanakubalika!! Hivi sakata la Mhando wa TANESCO kutoa tenda kwa mke wake bila kujali suala la mgongano wa maslahi liliishia wapi?!
 
Back
Top Bottom