Mwigulu: Kila Mtanzania anapozaliwa anakuwa mwana CCM

Mwigulu: Kila Mtanzania anapozaliwa anakuwa mwana CCM

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Mwigulu, akiwa anahitimisha kusoma Bajeti ya mwaka 2023 kasema CCM ndio chama pekee chenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo hapa nchini na kwamba kila Mtanzania anapozaliwa nchini anakuwa mwana CCM, na kwamba wataendelea kuwashukuru wote wa vyama vingine kwa kuwa na mioyo ya upendo kwa kuendelea kuwaunga mkono katika utekelzaji wa ilani ya CCM 2020.

Akaendelea kwa kusema kuwa, CCM ni baba na mama wa Demokrasia na itaendelea kuvipa fursa sawa vyama vingine na vyenyewe viweze kufanya siasa kama ambavyo Rais Samia alivyoweza kulionesha hilo kwa vitendo, kila mwenye chama chake amepewa fursa ya kufanya siasa bila upendeleo wala uoga.

Kwako Mdau.
 
Waziri wa fedha na mipango anasema muda huu bungeni kuwa kila mtoto anapozaliwa anakuwa mwana CCM . Hata hivyo CCM inashukuru sapoti ya vyama vingine katika maswala ya maendeleo na kila CHAMA kitapewa haki sawa kufanya siasa bila upendeleo.

Mwigulu amekomaa kisiasa nadhani .
 
Mwigulu kasema CCM ndio chama pekee chenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo hapa nchini na kwamba kila mtanzania apozaliwa nchini anakuwa mwana CCM.

Ya kweli haya?
Yaa ni kweli kabisa Ila baadae watoto hao baadhi hukengeuka na kujiunga na vyama shikizi
 
chadema machozi yanawalendalenga wakiona nchi inachanja mbuga
.
20230510_085215.jpg
 
Wote tuliozaliwa kabla ya 1993, wote sisi ni wanaCCM.

Tumekuja kubadilika baadae.
 
Mwigulu, akiwa anahitimisha kusoma Bajeti ya mwaka 2023 kasema CCM ndio chama pekee chenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo hapa nchini na kwamba kila Mtanzania anapozaliwa nchini anakuwa mwana CCM, na kwamba wataendelea kuwashukuru wote wa vyama vingine kwa kuwa na mioyo ya upendo kwa kuendelea kuwaunga mkono katika utekelzaji wa ilani ya CCM 2020.

Akaendelea kwa kusema kuwa, CCM ni baba na mama wa Demokrasia na itaendelea kuvipa fursa sawa vyama vingine na vyenyewe viweze kufanya siasa kama ambavyo Rais Samia alivyoweza kulionesha hilo kwa vitendo, kila mwenye chama chake amepewa fursa ya kufanya siasa bila upendeleo wala uoga.

Kwako Mdau.

Maendeleo hayana chama! Mimi sina Chama.
 
Mwigulu, akiwa anahitimisha kusoma Bajeti ya mwaka 2023 kasema CCM ndio chama pekee chenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo hapa nchini na kwamba kila Mtanzania anapozaliwa nchini anakuwa mwana CCM, na kwamba wataendelea kuwashukuru wote wa vyama vingine kwa kuwa na mioyo ya upendo kwa kuendelea kuwaunga mkono katika utekelzaji wa ilani ya CCM 2020.

Akaendelea kwa kusema kuwa, CCM ni baba na mama wa Demokrasia na itaendelea kuvipa fursa sawa vyama vingine na vyenyewe viweze kufanya siasa kama ambavyo Rais Samia alivyoweza kulionesha hilo kwa vitendo, kila mwenye chama chake amepewa fursa ya kufanya siasa bila upendeleo wala uoga.

Kwako Mdau.
C ajab hapo wabunge wamepiga meza vibao vya kutosha 🤣🤣🤣!!
 
Back
Top Bottom