Mwigulu: Kila Mtanzania anapozaliwa anakuwa mwana CCM

Mwigulu: Kila Mtanzania anapozaliwa anakuwa mwana CCM

Mwigulu, akiwa anahitimisha kusoma Bajeti ya mwaka 2023 kasema CCM ndio chama pekee chenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo hapa nchini na kwamba kila Mtanzania anapozaliwa nchini anakuwa mwana CCM, na kwamba wataendelea kuwashukuru wote wa vyama vingine kwa kuwa na mioyo ya upendo kwa kuendelea kuwaunga mkono katika utekelzaji wa ilani ya CCM 2020.

Akaendelea kwa kusema kuwa, CCM ni baba na mama wa Demokrasia na itaendelea kuvipa fursa sawa vyama vingine na vyenyewe viweze kufanya siasa kama ambavyo Rais Samia alivyoweza kulionesha hilo kwa vitendo, kila mwenye chama chake amepewa fursa ya kufanya siasa bila upendeleo wala uoga.

Kwako Mdau.
Safi sana Mwingulu mnapoambiwa lindeni kura yako muwe wasikivu.
 
Haipendezi kumtukana.

Akili yake tayari imeshafika beyond repair. Tumhurumie na kumuombea
Anatudharirisha sana,watu kama hawa yakitokea mapinduzi ndiyo huwa wanakuwa wa kwanza kuliwa vichwa
 
Tanzania dah!!! Ndiyo tuliowapa usukani hawa, akili zenyewe zinaishia hapo.
Mkifika kubinafsisha Ikulu, ningependelea kuwa dalali.
 
Mwigulu, akiwa anahitimisha kusoma Bajeti ya mwaka 2023 kasema CCM ndio chama pekee chenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo hapa nchini na kwamba kila Mtanzania anapozaliwa nchini anakuwa mwana CCM, na kwamba wataendelea kuwashukuru wote wa vyama vingine kwa kuwa na mioyo ya upendo kwa kuendelea kuwaunga mkono katika utekelzaji wa ilani ya CCM 2020.

Akaendelea kwa kusema kuwa, CCM ni baba na mama wa Demokrasia na itaendelea kuvipa fursa sawa vyama vingine na vyenyewe viweze kufanya siasa kama ambavyo Rais Samia alivyoweza kulionesha hilo kwa vitendo, kila mwenye chama chake amepewa fursa ya kufanya siasa bila upendeleo wala uoga.

Kwako Mdau.
3F3E815F-AC3F-446A-A730-4BB55E9B016D.jpeg
 
Mwigulu, akiwa anahitimisha kusoma Bajeti ya mwaka 2023 kasema CCM ndio chama pekee chenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo hapa nchini na kwamba kila Mtanzania anapozaliwa nchini anakuwa mwana CCM, na kwamba wataendelea kuwashukuru wote wa vyama vingine kwa kuwa na mioyo ya upendo kwa kuendelea kuwaunga mkono katika utekelzaji wa ilani ya CCM 2020.

Akaendelea kwa kusema kuwa, CCM ni baba na mama wa Demokrasia na itaendelea kuvipa fursa sawa vyama vingine na vyenyewe viweze kufanya siasa kama ambavyo Rais Samia alivyoweza kulionesha hilo kwa vitendo, kila mwenye chama chake amepewa fursa ya kufanya siasa bila upendeleo wala uoga.

Kwako Mdau.
Nchi ina vijana wa ovyo sana wakiongozwa na huyu mbwiga Mwigulu
 
Labda Mungu awe amekufa! Kama Mungu aishivyo ntaongoza maombi ya kuzuia walafi wasiingie Ikulu. No. 1 - Mwigulo 2. Januaro 3. Riz1 4. Nepi
Hahaha siasa is the game of number, hao uliotaja is prepared na wamejiandaa usije ukadhani kila muda kuna mtu atasokomezwa, that was once and will never happen again, kama ulivolist 2030 the No1 ndo yeye na no2 ndo pm wake!!
 
Mwigulu, akiwa anahitimisha kusoma Bajeti ya mwaka 2023 kasema CCM ndio chama pekee chenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo hapa nchini na kwamba kila Mtanzania anapozaliwa nchini anakuwa mwana CCM, na kwamba wataendelea kuwashukuru wote wa vyama vingine kwa kuwa na mioyo ya upendo kwa kuendelea kuwaunga mkono katika utekelzaji wa ilani ya CCM 2020.

Akaendelea kwa kusema kuwa, CCM ni baba na mama wa Demokrasia na itaendelea kuvipa fursa sawa vyama vingine na vyenyewe viweze kufanya siasa kama ambavyo Rais Samia alivyoweza kulionesha hilo kwa vitendo, kila mwenye chama chake amepewa fursa ya kufanya siasa bila upendeleo wala uoga.

Kwako Mdau.

Kiongozi mkubwa lazima atoe neno la faraja na kuamsha hamasa kwenye mambo ya kitaifa hasa yanayogusa maisha na hulka !

Ukweli ndiyo huo baada ya kuanza kutafuta upenyo utoke vipi ndipo wanazaliwa kina cuf , act chadema nk

Sababu ya yote haya ni ukubwa wa chama cha Mapinduzi wote hatutoshi kwenye chama kimoja hivyo lazima kuwe na upinzani ili wengine wapate kuongoza
 
Back
Top Bottom