Walk the talk!Walk the walk!
Watanzania wote wana akili za Panzi
Hhahahaha...cant believe this
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege
nimewaeleza watu wakabisha sana. mimi nimekaa pale Idara ya Uchumi, UDSM. najua mtu akisomeshwa masters na BoT (yeye amesomeshwa masters baada ya kuongoza GPA), anapata ajira moja-kwa-moja hata kabla hajamaliza. lakini cha kushangaza eti anasema alibeba zege. watu nao wanakubali, wanampigia makofi.Nilimsikia jana nikashangaa!!hawa jamaa wanatudanganya kama ss mazuzu
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege
,ndo maana tunasema anadanganya ni vigumu sana graduate aliye maliza first degree akabebe zege na ukiangalia by the time anamaliza kulikuwa hamna tatizo la ajira sana kama wakati huuMwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege