Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Watanzania wote wana akili za Panzi

Hhahahaha...cant believe this
 
Talk is cheap. Don't forget Pasco appearance can deceive. All in all, he made the best presentation so far.
 
Nahitaji kusikia watia nia wakizungumzia ukubwa wa serikali na wingi wa taasisi zinazohudumiwa na kodi zetu.
 
Shemeji yangu Pasco,labda kama nimemsahau mtu aliyewahi kusema kuwa angekuwa JK au nafasi yake basi UPINZANI wote wangefyekwa...........

Kama siyo huyu mtanisamamhe...............SIyo huyu aliyesema anaushahidi wa Lwakatare wa Mbinguni na duniani na hakutupatia............

Pasco siyo huyu aliyesema watakaoenda kwenye mkutano wa CHADEMA watakufa na kweli kati ya wale walioenda wakafa kwa BOMU la kurushwa?

Huyu shemeji yangu mpenda ndiyo unataka awe RAIS wetu?

Shemeji wajomba zako wote wako upinzania na hawasikii la YESU wala la MTUME ,si utawakosa na utaniacha niwe mtu wa masikitiko sana............

Shemeji huyu unayemsifia hana tofauti na ............:shetani:
 
Bila kujali itikadi za kichama, Mwigulu Nchemba ndo mtia nia pekee katika chama cha kijani (CCM) ambae anaongelewa kila kona ya nchi, magazeti na mitandao ya kijamii yameandika juu ya huyu mtia nia kwa kiwango cha juu kuliko mtia nia yoyote ndani ya chama hicho.
Katika jamii forum pekee zaidi ya michango takribani 2000 imelekezwa juu ya Nchemba toka jana siku ambayo mtia nia huyu alikuwa anatangaza nia yake ya kuusaka " unyerere" katika nchi hii. Michango hii inajumuisha michango yote inayomuunga mkono na ile yenye kumkosoa.
Swali: Je, hii ni ishara kuwa Nchemba ndo atapewa kuipeperusha bendera ya CCM kuelekea ikulu?
 
Watanzania wote wana akili za Panzi

Hhahahaha...cant believe this

Usiishie kusema tu mkuu, tusaidie tutoke huko kwenye akili za panzi. Vinginevyo utakuja kuongozwa na viongozi hao hao wenye akili za panzi.
 
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege
 
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege

Nilimsikia jana nikashangaa!!hawa jamaa wanatudanganya kama ss mazuzu
 
ANAFAA KUWA RAIS LAKINI MUDA BADO STILL 2 YOUNG/ asubirie 2025
apate uzoefu ndani ya serekali kwanza!!!
 
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege

Nilimsikia jana nikashangaa!!hawa jamaa wanatudanganya kama ss mazuzu
nimewaeleza watu wakabisha sana. mimi nimekaa pale Idara ya Uchumi, UDSM. najua mtu akisomeshwa masters na BoT (yeye amesomeshwa masters baada ya kuongoza GPA), anapata ajira moja-kwa-moja hata kabla hajamaliza. lakini cha kushangaza eti anasema alibeba zege. watu nao wanakubali, wanampigia makofi.
 
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege

Hivi ule ushahidi slio sema atautoa hata mbinguni kuhusu Mh Lwakatare amesha utoa? Ina kuwaje mnamshabikia gaidi? Hii nchi haiwezi kuongozwa na magaidi.
Aliwahi kuhusishwa na mauaji Arusha je mbona hakukanusha? Uzinzi Igunga, leo awe rais? Hivi kweli Watanzania tumelogwa?
 
[h=3]Nikilinganisha kwa kigezo cha kuongelewa sana kila kona Mamvi ndio anaaongoza! Unaweza kuwa unaongelewa sana kila kona ila la kujiuliza wanaongelea nini? Uzuri au Ubaya wako?

Post yenyewe ni hii:
Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha
[/h] Started by dubu, 30th May 2015 14:35 1 2 3 4 5 ... 99
tag.png
paperclip.png






  • Replies: 1,975
  • Views: 124,327
Last Post: Today 11:32 by MWALLA
 
Napata tu ukakasi na 'true colour' yake ni ipi...mwanzoni kabisa kabla 'hamu' ya kutaka kuwa mtawala mkuu haijamjia, huyu bwana hakuwa anafaa hata kulumangia ugali. Ile 'hamu' iliongezeka joto, akarudi ghafla ndani ya gamba kama kasa aliyestuliwa na mvuvi....akaanza kuja mdogo mdogo kama kasisi asiyetaka kumdhuru hata sisimizi aliyeko ardhini...:thinking:
 
Hii hoja ya umri ni nyepesi sana kaka kumbuka Nyerere alikabidhiwa nchi akiwa na umri gani na mambo aliyoyafanya to be honest hakuna Raisi yeyote aliyoyafikia isipokuwa kuyabomoa kaka.swala la umri sio hoja wala hakuna uzoefu unaohitajika kwenye kufanya mambo yaende isipokuwa ni dhamira ya dhati ya mtu huyo ya kuwatumikia watu kwa haki na usawa.
 
Pasco ni mtu wa hovyo sana, nime kudharau sana, mwigulu amekua wakwanza kuwakosoa wapinzani wanapo ikosoa serikali,marangapi wabunge wenzake wametuhujumu bungeni amefanyanini, jana kathibitisha zaidi ya 8trion zinatumika bila kujulikana zinafanya nini.
Yeye amefanya nini? kama makamu katibu ccm na naibu waziri fedha.

Achakutufaya watz wajinga, umenikela sana mzee ingawa nakuheshimu kama mzee tu.
 
Mwigulu amechemsha sio sifa kwa mtu aliyepata daraja la kwanza ya digirii ya uchumi kukosa kazi hata ya kufundisha twisheni kwa kwenda kubeba zege
,ndo maana tunasema anadanganya ni vigumu sana graduate aliye maliza first degree akabebe zege na ukiangalia by the time anamaliza kulikuwa hamna tatizo la ajira sana kama wakati huu
 
Back
Top Bottom