Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Pasco unachanganya mambo, JK wa 2005 alikuwa anapendwa kweli, na ubovu wake wote bado hadi leo hii hachukiwi katika kiwango cha Lowassa.JK ana charisma, Lowassa hana. JK unaweza kumsikiliza kwa muda mrefu kwa kuwa kupiga soga ni kipaji chake. Lakini Lowassa hana mvuto zaidi ya mvuto wa pesa kwa wale mahohehahe wanaotegemea akimaliza kuomngea mgao unapita.

Lowassa watu hawampendi yeye, wanapenda fedha zake, kuwa mkweli Pasco.

Kibaya zaidi mkutano wa Jana Arusha umemvua nguo kabisa Lowassa kwa wale waliokuwa katikati.Mimi binafsi hata leo hii huyu bwana Lowassa asafishwe Richmond, simpi kura yangu kwa kuwa ni visionless, tired and outdated.

ukweli mchungu.. hii team ni kama waumini wasiotaka hata kutafakari na kubeba upako ..
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.

JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.

NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Pasco

Hata Rais wetu wasasa mlisema chaguo la Mungu........Mitanzania ndivyo tuliyo
 
mwigulu yupo vizuri kuliko jamaa yetu, jamaa yetu jana alizingua sana, alivyoita wahariri wa vyombo vya habari kila swali akiulizwa ntalijibu arusha, watu tukakaa kusubiri arusha matokeo yake tukaona helikopta na kingunge tu
 
Mwigulu hawezi kuwa best president wakati amekua ktk fitina... ghiliba na uongo uliokubuhu!!!

Sijui watu mnatumia criteria zipi kumwita MTU the best president bila kuangalia matendo yake ya kila siku na impact yake kwa jamii....

Nitakwenda kuchambua kidogo Ili uone kwa kutumia akili aliyokupa Mungu uchambue na kuchanganua how Mwigulu is the best!!!

1. Mwigulu amefikaje hapo Alipo? ikumbukwe best president au MTU makini hufikia kwenye kilele cha mafanikio kwa njia na mambo makini yanayofaidisha jamii nzima na yenye kupigiwa mifano... mfano wapo watu waliofikia kileleni kwa ubunifu Wa kisayansi.. kifalsafa na hata kiuongozi mfano kina Nyerere!! Mwigullu amefikaje alipo? ni hivi Mwigullu huyu anayemdhihaki mwenzie kwamba bungeni wanabeza upinzani ndiye huyu huyu aliyepewa vyeo kwa kupaza sauti kubwa kubeza upinzani na kutukana wapinzani kwa nguvu kubwa!!

Ilifikia mahali mwenyekiti Wa chama alimsifia mbele ya mkutano kuwa anaiweza Sana kazi ya kutukana wapinzani na hii ilimpaisha kiasi cha kupata uongozi ndani ya chama na serikali kwahiyo huyu ni MTU makini? ni the best one? kivipi wakati alipata ukubwa kwa kubeza waliopaza sauti zao kuikosoa serikali Leo amekosoa nini sasa?

Mwigullu alipanga njama za kuangamiza CHADEMA na kubambikiza MTU kesi ya ugaidi je ana moyo mzuri ambao Rais anatakiwa kuwa nao? MTU ambaye yupo tayari kupika na kushuhudia uongo ili wengine waangamie ni MTU mzuri toka moyoni? anafaa kupewa urais? itakuwaje akipata madaraka na kuyatumia kwa wale asiowapenda??

Sijui watanzania ukiwemo Pasco afya yenu ya kufikiri ina viwango gani kiasi cha kumwita Mwigulu ni the best wakati alipofikia alifikishwa kwa njia zilizojaa damu na ghiliba nyingi.....

Je mgombea wetu ana kitu gani cha ziada cha kuwezesha kumfanya awe icon ya nchi? atakuwaje bora kwa kubeza uozo Wa sasa Wa serikali yake wakati alishiriki kuwaangamiza waliopaza Sauti zao kuukosoa uozo huo?

Mwigulu is a very cheap person with a simple mind!!!!

Hakuna kitu hatari Kama kumkabidhi mamlaka MTU mwenye Akili ndogo!!!
 
Last edited by a moderator:
Ameongea alichioweza kuongea. Kwa chama chake atakwama.
 
Nimemsikia sana, lkn haya aliyoyaongea yamekuwa yakipigiwa kelele na wapinzani kila mwaka, Bungeni na nje ya bunge na wao wamekuwa wakiwazomea na kuyapinga vikàli! Sasa je, atayatekeleza na nani! Wtz hatutaki matumaini tunahitaji uhakika. Hawa si wa uhakika hata kidogo Bali wamatumaini.
 
Mwigulu hawezi kuwa best president wakati amekua ktk fitina... ghiliba na uongo uliokubuhu!!!

Sijui watu mnatumia criteria zipi kumwita MTU the best president bila kuangalia matendo yake ya kila siku na impact yake kwa jamii....

Nitakwenda kuchambua kidogo Ili uone kwa kutumia akili aliyokupa Mungu uchambue na kuchanganua how Mwigulu is the best!!!

1. Mwigulu amefikaje hapo Alipo? ikumbukwe best president au MTU makini hufikia kwenye kilele cha mafanikio kwa njia na mambo makini yanayofaidisha jamii nzima na yenye kupigiwa mifano... mfano wapo watu waliofikia kileleni kwa ubunifu Wa kisayansi.. kifalsafa na hata kiuongozi mfano kina Nyerere!! Mwigullu amefikaje alipo? ni hivi Mwigullu huyu anayemdhihaki mwenzie kwamba bungeni wanabeza upinzani ndiye huyu huyu aliyepewa vyeo kwa kupaza sauti kubwa kubeza upinzani na kutukana wapinzani kwa nguvu kubwa!!

Ilifikia mahali mwenyekiti Wa chama alimsifia mbele ya mkutano kuwa anaiweza Sana kazi ya kutukana wapinzani na hii ilimpaisha kiasi cha kupata uongozi ndani ya chama na serikali kwahiyo huyu ni MTU makini? ni the best one? kivipi wakati alipata ukubwa kwa kubeza waliopaza sauti zao kuikosoa serikali Leo amekosoa nini sasa?

Mwigullu alipanga njama za kuangamiza CHADEMA na kubambikiza MTU kesi ya ugaidi je ana moyo mzuri ambao Rais anatakiwa kuwa nao? MTU ambaye yupo tayari kupika na kushuhudia uongo ili wengine waangamie ni MTU mzuri toka moyoni? anafaa kupewa urais? itakuwaje akipata madaraka na kuyatumia kwa wale asiowapenda??

Sijui watanzania ukiwemo Pasco afya yenu ya kufikiri ina viwango gani kiasi cha kumwita Mwigulu ni the best wakati alipofikia alifikishwa kwa njia zilizojaa damu na ghiliba nyingi.....

Je mgombea wetu ana kitu gani cha ziada cha kuwezesha kumfanya awe icon ya nchi? atakuwaje bora kwa kubeza uozo Wa sasa Wa serikali yake wakati alishiriki kuwaangamiza waliopaza Sauti zao kuukosoa uozo huo?

Mwigulu is a very cheap person with a simple mind!!!!

Hakuna kitu hatari Kama kumkabidhi mamlaka MTU mwenye Akili ndogo!!!

If you were told to prove all those claims, can you do that?
 
Last edited by a moderator:
Very true,Mwigulu Nchemba is the only man who can take Tanzania to higher levels.He told us how he will bring our Tanzania there,there where China,India ,Brasil are.Viva MWIGULU you are a visionary Leader.

.......the only man.....mmmmh.Sijaelewa hapo.
 
Nilimikiza El jana na Leo nimesikiza tyson na nchemba.kwakuwa mdahalo Wa kujinadi lazima mtu atofautiane kwa kiasi Fulani na mwenzake,na wanaokuja mbeleni kutangaza nia watajiandaa vizuri zaidi kimazungumzo kuliko walotangulia.Mimi nimebaki na maswali kibao,wrote wapo au walikuwepo ktk serikali,mbona hawakufanya haya ktk awamu hii ya NNE?!au walitoa ushauri kwa raid akaukataa,nilitamani niwaulize swali hill Bahati mbaya nipo dar.
 
Nakubaliana na wewe 100%.Mwigulu ameongea Hoja za wapinzani na amewaza kuzisema kwa ujasiri tatizo yupo wrong team ambayo ina ilani yake.
Umenikumbusha Kikwete mwaka 2005 kabla ya kupitishwa na chama chake alisema yeye akipitishwa akashinda atazirudisha serikalini nyumba za serikali walizojigawia. Mtu wa kwanza kabisa kumshambulia Kikwete alikuwa mzee Malecela (Niliyekuwa namheshimu sana) akidai kuwa ilani ni moja tu ya chama, hakuna mgombea wa ccm aliyekuwa na ilani binafsi. So, kama ulivyosema, Mwigulu anaweza kuwa na muono sahihi wa kuitoa nchi ilipokwama, tatizo yupo kwenye wrong side na tutakuwa wajinga zaidi kumwamini mtu yeyote wa upande huo. Yote aliyoongelea yako ndani ya uwezo wake kama kiongozi mwandamizi wa chama na serikali, amefanya juhudi gani kuyatatua? Siasa za ghiliba.
 
If you were told to prove all those claims, can you do that?

Nimejitahidi Sana kuandika machache na authentic ili wenye akili ndogo za kuishi kwa matukio Kama wewe unielewe!!

Hapo ni kidogo Sana kuhusu huyo bwana Kama hayo huyajui omba watu wakukumbushe ni kwa vipi Mwigulu became popular ktk siasa za Tanzania!!!!
 
Nakubaliana na wewe 100%.Mwigulu ameongea Hoja za wapinzani na amewaza kuzisema kwa ujasiri tatizo yupo wrong team ambayo ina ilani yake.

Hoja zake hata mimi nimezielewa tatizo kama unavyosema yupo wrong team.
Mtu yeyote asiyelinda mafisadi na wakwepa kodi hawezi kamwe kupitishwa ago bee urais kupitia tiketi ya CCM.
Huyu jamaa anatakiwa ahame hicho chama.
Genge lote la mafisadi lilishakaa jana pale Arusha na hilo ndo litapiga kura pale CCM kumpitisha mgombea.
Ingawa Mwigulu ameongea vitu vinavyoeleweka lakini hatopitishwa kwa sababu ya hiyo misimamo yake aliyoisema na kwa sababu mafisadi hawamtaki na hao ndo wenye nguvu ndani ya chama.
 
Yale yale! Nakumbuka Kikwete kuitwa "Chaguo la Mungu" Baadhi ya Watanzania ndivyo walivyo!!!! Huyu kawemo ndani ya MACCM kwa miaka 10 iliyopita huku akiona Nchi yetu ikienda mrama. Ufisadi ukishamiri, wauza unga wakiwa hawaguswi, majangili nao wakiendelea kumaliza tembo mbuga za wanyama, thamani ya shilingi ikiendelea kushuka kwa speed ya kutisha, deni la Taifa likiendelea kuwa kubwa kwa kiasi cha kutisha. Rushwa ikishamiri hadi ndani ya Ikulu na Bunge.

Kauchuna kimyaaaa mpaka leo hii eti ndiyo anataka kujibaraguza eti kuna mfumo mbovu ndani ya MACCM!!! Huo mfumo mbovu ndani ya MACCM mbona uko kwa miaka mingi sasa!! alikuwa wapi miaka yote hiyo kutotoa kauli kuwashinikiza viongozi wa juu wa MACCM ili kuachana na mfumo mbovu na kuhakikisha kunakuwa na mfumo mzuri kwa manufaa ya CCM na Watanzania!? Hizi siasa za kinafiki nchini mwetu zitaisha lini? Ni siasa hizi za kinafiki ndizo zinazoangamiza Taifa letu miaka nenda miaka rudi.

Mtu anakaa kimya miaka 10 nchi ikienda mrama kwenye kila kitu na yeye akiwa na nafasi ya juu ndani ya chama ndani ya Serikali lakini anapretend kama kila kitu kiko shwari mpaka wakati "muafaka kwake" pale anapotaka kugombea urais ndio anaanza kutoa blah blah blah zake "nchi haiko shwari" "mfumo wa chama chetu ni mbovu" blah blah blah!!! Baadhi ya Miafrika kweli ndivyo walivyo!
 
Hakuna kitu bora nani ya kundi la vibovu, coz akipita hata akiwa na genuine kama gunia lazima atakua controled na chama chake.
 
Back
Top Bottom