Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Mwigulu hawezi kuwa best president wakati amekua ktk fitina... ghiliba na uongo uliokubuhu!!!

Sijui watu mnatumia criteria zipi kumwita MTU the best president bila kuangalia matendo yake ya kila siku na impact yake kwa jamii....

Nitakwenda kuchambua kidogo Ili uone kwa kutumia akili aliyokupa Mungu uchambue na kuchanganua how Mwigulu is the best!!!

1. Mwigulu amefikaje hapo Alipo? ikumbukwe best president au MTU makini hufikia kwenye kilele cha mafanikio kwa njia na mambo makini yanayofaidisha jamii nzima na yenye kupigiwa mifano... mfano wapo watu waliofikia kileleni kwa ubunifu Wa kisayansi.. kifalsafa na hata kiuongozi mfano kina Nyerere!! Mwigullu amefikaje alipo? ni hivi Mwigullu huyu anayemdhihaki mwenzie kwamba bungeni wanabeza upinzani ndiye huyu huyu aliyepewa vyeo kwa kupaza sauti kubwa kubeza upinzani na kutukana wapinzani kwa nguvu kubwa!!

Ilifikia mahali mwenyekiti Wa chama alimsifia mbele ya mkutano kuwa anaiweza Sana kazi ya kutukana wapinzani na hii ilimpaisha kiasi cha kupata uongozi ndani ya chama na serikali kwahiyo huyu ni MTU makini? ni the best one? kivipi wakati alipata ukubwa kwa kubeza waliopaza sauti zao kuikosoa serikali Leo amekosoa nini sasa?

Mwigullu alipanga njama za kuangamiza CHADEMA na kubambikiza MTU kesi ya ugaidi je ana moyo mzuri ambao Rais anatakiwa kuwa nao? MTU ambaye yupo tayari kupika na kushuhudia uongo ili wengine waangamie ni MTU mzuri toka moyoni? anafaa kupewa urais? itakuwaje akipata madaraka na kuyatumia kwa wale asiowapenda??

Sijui watanzania ukiwemo Pasco afya yenu ya kufikiri ina viwango gani kiasi cha kumwita Mwigulu ni the best wakati alipofikia alifikishwa kwa njia zilizojaa damu na ghiliba nyingi.....

Je mgombea wetu ana kitu gani cha ziada cha kuwezesha kumfanya awe icon ya nchi? atakuwaje bora kwa kubeza uozo Wa sasa Wa serikali yake wakati alishiriki kuwaangamiza waliopaza Sauti zao kuukosoa uozo huo?

Mwigulu is a very cheap person with a simple mind!!!!

Hakuna kitu hatari Kama kumkabidhi mamlaka MTU mwenye Akili ndogo!!!

Some of these folks are just prisoners of the moment.

Subiri na dogo wa Makamba naye atangaze nia yake uone atakavyomwagiwa misifa.

Utasikia haya haya na hata zaidi kuwa yeye ndo anafaa kuwa rais. Utaambiwa jamaa ni kichwa sana, jamaa ana maono ya kimaendeleo, na upuuzi puuzi mwingine kama huo.

Watanzania ni watu wa kuvutiwa na vitu vidogo vidogo mno, wepesi wa kusahau, na warahisi wa kuamini mazingaombwe.
 
Wewe humu ni kama malaya kila mume unarukia.hujulikani?huyu wa ngapi kukukuna?

Amesema ukweli ccm ni kisima cha interllectuals.Mafisadi wote watafungwa hii ndio ccm.Ata chenge akigombea mafisada ata wafunga kwa mwanvulia wa ccm.ccm oyeee werw wera ccm
 
Nimeitumia wikendi yangu vizuri sana, kwanza nilimsikiliza Mh Lowasa jana. Leo nimemsoma Mh Wasiara kupitia jamii forum na baadaye kumsikiliza Mh Mwigulu. Bila Upendeleo wowote, Mh Mwigulu kaanza vizuri. Ameonyesha uwezo mkubwa wa ufahamu wa mambo, ambayo kajifunza kwa kipindi kifupi ali
choshika madaraka. Kama ni Marks, ningempa A+. Ameelezea mambo mengi Kwa mtiririko sahihi. Hongera sana kwa hilo.
 
Tuache ushabiki wa vyama au nini Mwigulu Nchemba kaongea vitu vya maana sana leo. Kwa watangaza nia hawa waliojitokeza mpaka sasa yuko mbele. Tusubiri mchakato utakavyo kua huko Lumumba
 
Nimejitahidi Sana kuandika machache na authentic ili wenye akili ndogo za kuishi kwa matukio Kama wewe unielewe!!

Hapo ni kidogo Sana kuhusu huyo bwana Kama hayo huyajui omba watu wakukumbushe ni kwa vipi Mwigulu became popular ktk siasa za Tanzania!!!!

Mkuu naomba ufunguke zaidi ningependa kufahamu zaidi kuhusu huyu jamaa kama kweli ni msafi.
Natanguliza shukrani
 
Mkuu naomba ufunguke zaidi ningependa kufahamu zaidi kuhusu huyu jamaa kama kweli ni msafi.
Natanguliza shukrani


Samahani sina nafasi ya kukuonyesha nani msafi na nani mchafu isipokuwa unaweza soma michango ya watu na pia kufwatilia habari zao za kila siku ili ufikie conclusion ya kujua ni msafi au mchafu!!!
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.

JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.

NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Pasco

Naomba niseme wazi Pasco wewe ni extra ordinary human being. I swear I don't know why people are not seeing what you have seen. Sijamsikiliza huyu bwana Lakini nilipokua nafuatilia sakata la escrow bungeni niliona ulichokiandika leo. Nakukubali utendaji wa Lowasa but Mwigulu ni number nyingine. Sijui kwanini intellectuals hutujaona hili jambo
 
Last edited by a moderator:
Some of these folks are just prisoners of the moment.

Subiri na dogo wa Makamba naye atangaze nia yake uone atakavyomwagiwa misifa.

Utasikia haya haya na hata zaidi kuwa yeye ndo anafaa kuwa rais. Utaambiwa jamaa ni kichwa sana, jamaa ana maono ya kimaendeleo, na upuuzi puuzi mwingine kama huo.

Watanzania ni watu wa kuvutiwa na vitu vidogo vidogo mno, wepesi wa kusahau, na warahisi wa kuamini mazingaombwe.


Mkuu yote hii ni kwasababu ya akili nyepesi!!!

Nilikutana na mmoja nikamuuliza kitu gani kinakuvutia kwa JMakamba? akaniambia ana vision Sana nikamuuliza umejuaje Kama ana vision? akaniambia amesikiliza Sera zake nikamuuliza kivipi unaweza Ku prove anauwezo Wa kutekeleza Sera? akatoa macho!!!

Watanzania ni wateja wazuri Sana Wa TALK SHOPS!!!!
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea soo far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.

JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.

NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Pasco

Kwa mara ya mwanzo kabisa ktk historia yangu ya maisha ya jf nakubaliana na wewe
kwa sababu mimi nilichoamua kufanya this time ni kutofuata mkumbo Bali kuwasikiliza watangaza nia wote na kuwapima kuanzia body language wakati wanazungumza mpaka Yale maneno yanayotoka vinywani mwao,nilimtazama jana lowassa kwenye hayo maeneo niliyoyataja,was big disapointment to me,sababu kwa mara nyingine tena alilikwepa kabisa hata kulitamka neno ufisadi na mafisadi ambalo limekua an issue kwenye utawala huu unaomaliza muda wake,watz wanakerwa na ufisadi ambao umetamalaki in almost kila wizara,kutoonesha kukerwa na ufisadi ni weakness.asbh niliamka mapema kumsikiliza wassira,was much better,ameonesha anajua watz wanachotaka kukisikia,nikasema this is the best candidate of this week,but baada ya kumtizama na kumsikiliza mwigulu,napata kigugumizi nani nimpe alama za juu zaidi Kati yao wakati nawasubiri wa kesho nao niwasikilize.All I can say so far so good.Lemme wait for tommorow,by the way I can't wait to see January makamba akitangaza nia,niliwahi kumuona mahali,he knows how to talk.Naomba mh.kinana aruhusu debate aondoe Ile marufuku ya mzee makamba ili tuenjoy na kuwajua hawa wakubwa mapungufu yao
 
Pasco,

..sidhani kama huyu mtu yuko genuine.

..ukimwangalia kwenye sura na makorokoro anayovaa kama skafu na kombat za jeshi unaweza kufikiria ana uchungu na nchi.

..lakini ukiangalia uzito wa nafasi alizonazo na alizopata kushika, na kama alipata kutekeleza japo robo ya hotuba yake ya leo unapata picha tofauti kabisa.

..Mwigulu Nchema amepata kuwa Katibu wa Fedha na Uchumi wa CCM, Naibu Katibu Mkuu, na Naibu Waziri wa Fedha. sasa katika nafasi zote hizo hatukusikia walau akijaribu kutekeleza hayo anayodai atayafanya akiwa Raisi.

..Hoja alizozitoa leo ni hoja ambazo zimekuwa zikipigiwa kelele na wapinzani kwa muda mrefu. Sote tunakumbuka jinsi Mwigulu alivyokuwa akiwaponda wabunge wa upinzani, na kufikia mpaka kudai mapendekezo yaliyotolewa na kambi ya upinzani ktk bajeti mbadala yanapaswa kutupwa jalalani.

..Leo hii Mwigulu anabeba ajenda ileile aliyodai inafaa zaidi kutupwa kwenye jalala. How genuine is this person?

..Lakini juu ya hayo, ni siasa za kitoto-toto na kihuni-huni ambazo Mwigulu Nchemba amejitambulisha nazo. Huyu mwenzi wake ktk siasa hizo ni Livingstone Lusinde "kibajaj". Sasa are we ready kumpa Uraisi mtu ambaye rekodi ya matendo yake ktk majukwaa ya kisiasa na michango yake bungeni inaonyesha kwamba he is immatured?

cc Victoire, Kimweri, Nguruvi3, Mchambuzi, Mag3
 
Last edited by a moderator:
Dah hongera Mwigulu acha niweke undondocha au kuwa msukule wa wanasiasa au vyama. Umejitahidi hadi umenishawishi kitu ingawa sikukufikiri kabisa mwanzoni. Big up bro.
 
Wewe humu ni kama malaya kila mume unarukia.hujulikani?huyu wa ngapi kukukuna?

We ---- badilika kwa kuangalia hoja,mtoa hoja anajaribu kusema kuwa ukisikiliza watu watatu utaona tofaut,so anahaki ya kubadilika coz kaona kipya hayupo kama wewe zombi unayekomaa na upande mmoja
 
mwigulu anaharibu padogo tu, siasa za maji taka, el nilikuwa namwamini sana ila jana kaniangusha kwakweli, maneno aliyoongea mwigulu ndio angeongea lowasa nazani saivi angekuwa ikulu
 
Back
Top Bottom