Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu hawezi kuwa best president wakati amekua ktk fitina... ghiliba na uongo uliokubuhu!!!
Sijui watu mnatumia criteria zipi kumwita MTU the best president bila kuangalia matendo yake ya kila siku na impact yake kwa jamii....
Nitakwenda kuchambua kidogo Ili uone kwa kutumia akili aliyokupa Mungu uchambue na kuchanganua how Mwigulu is the best!!!
1. Mwigulu amefikaje hapo Alipo? ikumbukwe best president au MTU makini hufikia kwenye kilele cha mafanikio kwa njia na mambo makini yanayofaidisha jamii nzima na yenye kupigiwa mifano... mfano wapo watu waliofikia kileleni kwa ubunifu Wa kisayansi.. kifalsafa na hata kiuongozi mfano kina Nyerere!! Mwigullu amefikaje alipo? ni hivi Mwigullu huyu anayemdhihaki mwenzie kwamba bungeni wanabeza upinzani ndiye huyu huyu aliyepewa vyeo kwa kupaza sauti kubwa kubeza upinzani na kutukana wapinzani kwa nguvu kubwa!!
Ilifikia mahali mwenyekiti Wa chama alimsifia mbele ya mkutano kuwa anaiweza Sana kazi ya kutukana wapinzani na hii ilimpaisha kiasi cha kupata uongozi ndani ya chama na serikali kwahiyo huyu ni MTU makini? ni the best one? kivipi wakati alipata ukubwa kwa kubeza waliopaza sauti zao kuikosoa serikali Leo amekosoa nini sasa?
Mwigullu alipanga njama za kuangamiza CHADEMA na kubambikiza MTU kesi ya ugaidi je ana moyo mzuri ambao Rais anatakiwa kuwa nao? MTU ambaye yupo tayari kupika na kushuhudia uongo ili wengine waangamie ni MTU mzuri toka moyoni? anafaa kupewa urais? itakuwaje akipata madaraka na kuyatumia kwa wale asiowapenda??
Sijui watanzania ukiwemo Pasco afya yenu ya kufikiri ina viwango gani kiasi cha kumwita Mwigulu ni the best wakati alipofikia alifikishwa kwa njia zilizojaa damu na ghiliba nyingi.....
Je mgombea wetu ana kitu gani cha ziada cha kuwezesha kumfanya awe icon ya nchi? atakuwaje bora kwa kubeza uozo Wa sasa Wa serikali yake wakati alishiriki kuwaangamiza waliopaza Sauti zao kuukosoa uozo huo?
Mwigulu is a very cheap person with a simple mind!!!!
Hakuna kitu hatari Kama kumkabidhi mamlaka MTU mwenye Akili ndogo!!!
Hakuna kitu bora nani ya kundi la vibovu, coz akipita hata akiwa na genuine kama gunia lazima atakua controled na chama chake.
Mwigulukwa maraya kwanza ameni touch . Hotuba yake ndio mambo ambayo watanzania tunayahitaji na nimeshawishika kumuunga mkono. Lowassa na Wassira hotuba zao hazifikii ya Mwigulu hata robo
Hizi Hotuba tamu masikioni mwetu tumezizoea, hata Kiwete kwenye hotuba yake ya kwanza Bungeni alitoa hotuba kali yenye ubora, hakuna mtu anaweza kubadili hii nchi kupitia CCM, we need changes, UKAWA ndio mpango
Yale yale! Nakumbuka Kikwete kuitwa "Chaguo la Mungu" Baadhi ya Watanzania ndivyo walivyo!!!! Huyu kawemo ndani ya MACCM kwa miaka 10 iliyopita huku akiona Nchi yetu ikienda mrama. Ufisadi ukishamiri, wauza unga wakiwa hawaguswi, majangili nao wakiendelea kumaliza tembo mbuga za wanyama, thamani ya shilingi ikiendelea kushuka kwa speed ya kutisha, deni la Taifa likiendelea kuwa kubwa kwa kiasi cha kutisha. Rushwa ikishamiri hadi ndani ya Ikulu na Bunge.
Kauchuna kimyaaaa mpaka leo hii eti ndiyo anataka kujibaraguza eti kuna mfumo mbovu ndani ya MACCM!!! Huo mfumo mbovu ndani ya MACCM mbona uko kwa miaka mingi sasa!! alikuwa wapi miaka yote hiyo kutotoa kauli kuwashinikiza viongozi wa juu wa MACCM ili kuachana na mfumo mbovu na kuhakikisha kunakuwa na mfumo mzuri kwa manufaa ya CCM na Watanzania!? Hizi siasa za kinafiki nchini mwetu zitaisha lini? Ni siasa hizi za kinafiki ndizo zinazoangamiza Taifa letu miaka nenda miaka rudi.
Mtu anakaa kimya miaka 10 nchi ikienda mrama kwenye kila kitu na yeye akiwa na nafasi ya juu ndani ya chama ndani ya Serikali lakini anapretend kama kila kitu kiko shwari mpaka wakati "muafaka kwake" pale anapotaka kugombea urais ndio anaanza kutoa blah blah blah zake "nchi haiko shwari" "mfumo wa chama chetu ni mbovu" blah blah blah!!! Baadhi ya Miafrika kweli ndivyo walivyo!
Nakupata Pasco! Jamaa anajua anachokiongea na anajua kuongea kwenye public! Leo kaongea very authoritative na kutoa picha kwamba if he is selected, he can make a best president of United republic of Tanzania! Ki ukweli sina imani na mgombea yoyote toka CCM to date kwa sababu najua Mwigulu kaanza kuongea kwa style ya kuwa upande wa wananchi pale alipoteuliwa kuwa naibu waziri, kabla ya hapo sura yake halisi tulikuwa tunaijua! Sema watanzania ni wepesi sana wa kusahau!Wanabodi,
Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.
Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.
NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.
JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.
Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.
NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.
Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.
Vipi wewe?.
Pasco
Wanabodi,
Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.
Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.
NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.
JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.
Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.
NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.
Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.
Vipi wewe?.
Pasco