Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Its easy drafting sweet words and give it to the people. Mwigulu sijawahi kumkubali hasa wakati yupo bungeni anafanya siasa za maji taka. I discredited him as clean law maker.

Kati ya hao waliotangaza nia so far hakuna anaye na uwezo wa kututoa hapa tulipo kwenda mbele.

Watanzania tuache kuwa wasahaulifu, matatizo yote tuliokutana nayo miaka ya nyuma bado tunawachagua walewale waliotupa matatizo hayohayo.

Mwigulu kakupa matatizo lin?au alipokuwa chuo?maana ana miaka mitano tu na anataka apractice ambition yake ya MABADILIKO KWA VITENDO.

Usiniambie ni issue ya chama, kwa Afrika ni issue ya mtu zaidi kuliko chama.Tuna mifano chungu nzima ya nchi zilizobadilisha vyama na mambo yakawa hovyo zaidi.

Muangalie mtu, mjudge mtu.Ukimuangalia Mwigulu unamuona kabisa ni mtu mwenye usongo wa kubadilisha kitu.
 
ukisikia uchizi ndo huu... kumponda M/kiti wake, kuponda sera za chama chake, kuwananga viongozi wake ndo kilichokuvutia au Umasikini wa familia yake? Dunia ya leo ni kufurahia Umasikini kweli? Pasco pls ... wananchi bado wanakumbuka ile movie ya Rwakatare, wanakumbuka mauaji ya Kada wa CHADEMA kule Igunga, Usa river, wanakumbuka makambi ya Mwigulu kila kona, wanakumbuka sana mbinu na mikakati yake na wassira, zoka, zzk ya kuihusisha CHADEMA na Ugaidi... Huyu Opportunist Populist hafai hata kufikiriwa kuwa Waziri; ameshindwa kubuni mbinu za ziada za ukusanyaji kodi, ametoza kodi kwenye fedha za wizi wa ESCROW... Huyu huyu Nchemba aliponda sana hotuba ya kambi ya Upinzani kwa madaha leo hii anazitumia kuomba ridhaa ya kuongoza nchi ... Savimbi ni Savimbi tu!Hawezi kugeuka kuwa Mao...
 
mwigulu ameongea mambo mazito na ya msingi sana kwa watanzania. tatizo chama alichopo ndo tatizo. pia aliyoyasema kaipunguzia credit mbele ya jamii na serikali yake.
 
Uraisi sio habari ya kuongea. Kamani issue ya umumaskini most of us ni maskini. Sio jambo la kujivunia hata kidogo. Huo uadilifu wake ni upi hasa. ?
 
Mwigulu ameelzea vtu ambvyo vnawezkana kabxa uwez zuia dola ispnde wakt hatuexport nw mwokozi kaja na atatuvukisha to middle imcome
 
Nahisi Mwigulu atatangaza kumuunga mkono lowassa na hii ni kwa ustadi mkubwa mno....kama huna akili basi huwezi kuliona hili.....
 
Tatizo la ccm ni waafidhina, ambao wanashindwa kujua kwamba watanzania wanataka mabadiliko, bado wanafikiri watanzania watachagua rangi za chama, ifike mida waafidhina watambue chama kinaitaji mfumo mpya na mbinu mpya, sio kuendesha chama kimazoea.
 
Nahisi Mwigulu atatangaza kumuunga mkono lowassa na hii ni kwa ustadi mkubwa mno....kama huna akili basi huwezi kuliona hili.....
Kamanda usikubali kuamini unachokihisi amini unachokiona! Tuna tatizo la kukubali kutawaliwa na hisia badala ya kile tunachokiona live ndio mana tunataka kupelekwa kwenye kuishi kwa matumaini sasa
 
Bado sijajisikia hata msisimko kwa wote waliotangaza nia mpaka sasa .ile waooooooo waooooo waoooo na misisimko ya ngozi kwa kusikiliza hotuba bado sijapata .japo kiduchu mwigulu alitaka kunisisismua lakini kila nikimuangalia sura yake na maongezi yake ni tofauti.mpaka sasa tarehe 31 hatujapata msalary wa mwezi wa tano.sikui kama ataweza kuongoza nchi wakati a
Kawizara kadogo ka fedha kamemshinda.
 
Anaweza kuwa dereva mzuri asiyeijua barabara anamopita. Huwezi kuomba kura kwa CCM huku ukiwakosoa na kuwatisha. Hawakupi. Unaposema wafanya biashara wakubwa hawalipi kodi, nikipata nitawabana, serikali inatoa hela nyingi kupeleka wizara ya Afya lakini dawa hazipo Hospitalini, unaposema mashirika ya umma yanaziada watumishi wamashirika hayo wanasukuma kuzitumia kupanda ndege daraja la kwanza kutumia ziada unawasema wabunge wanaopeana posho nono na kinua mgongo kikubwa kwa kazi ya miaka mitano tu, hakika unawasema viongozi wa serikali na CCM unaotaka wakupitishe. Hakika hapiti labda apindue serikali. Wote huu ni uwongo, ni maneno ya kutongozea kura.
Ana maono ila kwa speech yake ya leo,hatoboi kura za maoni ndani ya ccm kwani watu wa kariba yake ni unwanted
 
Mimi jamaa hata atoe speech ya namna gani, asipokanusha kuwa alimbambikia kesi yule kamanda wa Chadema hata kaa anisikie hata nikimtaja kijiweni kwetu kwenye kahawa.
 
yaani bila upendeleo wala ushabiki wa vyama. Mwigulu nchemba ametoa speech ambayo iko direct and straight tofauti na wagombea wengine.
 
TUTAWANYANG'ANYA LESENI, TUTAWAFUNGA JELA.

'Hakika usilolijua ni kama usiku wa giza" Nimeshangazwa sana na kauli ya Mh Mwigulu ambaye ni naibu waziri wizara ya fedha.
Ameonesha wazi hajui ni dawa gani zinazoruhusiwa kuuzwa kwenye maduka ya madawa ya binadamu katika nchi yake.

Siwezi kushangaa sana japo kanisikitisha kuona kiongozi mkubwa wa kitaifa hajui tofauti ya Dawa zinazokuwepo hospitalini na zile ambazo wamiliki wa maduka wanauza.

Kabla hajalizungumza hili kama mtia nia alitakiwa kujiuliza kwa wadau wa Afya wampe tofauti lakini pia hili jibu kuwa wao hawatibiwi hapa kwetu bali ni ughaibuni

Eti "Tutawanyang'anya leseni na kuwafunga" japo hao wamesomeshwa kwa kodi za wa Tanzania hawa si wengine ni madaktari, najiuliza huyu jamaa kala maharage ya wapi hadi anashindwa kuelewa dawa zinazomilikiwa na serikali zina nembo ya MSD na hizi haziuzwi katika la madawa kamwe.

Namshauri afuatilie namna dawa hizi zinavyotolewa huko mahospitali na ajiulize kwanini madaktari wanawaonesha wagonjwa sehemu ya kununua kuliko kukurupuka.

Shame on u Mwigulu

Msema kweli haogopi kufungwa wala kufa

Dr. Kilawa the Iron
 
Chama ni watu sio karatasi na Mwigulu pia ni mtu kama watu wengine ndani ya CCM. Ndege wa rangi moja huruka pamoja, huimba pamoja na kucheza pamoja.
mwigulu ameongea mambo mazito na ya msingi sana kwa watanzania. tatizo chama alichopo ndo tatizo. pia aliyoyasema kaipunguzia credit mbele ya jamii na serikali yake.
 
Nchemba hadi Mimi kwangu Leo amejiongezea credit za kutosha kati ya vijana wote wa CCM,honestly speech yake ilishiba na Ku convince kushinda hata ya Mzee wa safari ya matumaini
 
Back
Top Bottom