Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Pasco unachanganya mambo, JK wa 2005 alikuwa anapendwa kweli, na ubovu wake wote bado hadi leo hii hachukiwi katika kiwango cha Lowassa.JK ana charisma, Lowassa hana. JK unaweza kumsikiliza kwa muda mrefu kwa kuwa kupiga soga ni kipaji chake. Lakini Lowassa hana mvuto zaidi ya mvuto wa pesa kwa wale mahohehahe wanaotegemea akimaliza kuomngea mgao unapita.

Lowassa watu hawampendi yeye, wanapenda fedha zake, kuwa mkweli Pasco.

Kibaya zaidi mkutano wa Jana Arusha umemvua nguo kabisa Lowassa kwa wale waliokuwa katikati.Mimi binafsi hata leo hii huyu bwana Lowassa asafishwe Richmond, simpi kura yangu kwa kuwa ni visionless, tired and outdated.

Honestly speaking atafanya kazi kwa mazoea
 
Last edited by a moderator:
hakuna chama kilichoingia madarakani kikabadilisha nchi......huu ni uongo.....toeni mambo ya chama.....toeni ukaskazini.........tunajua ajenda yenu ni nini.
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.

JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.

NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Pasco
Mkuu unachangia hizi mbio za kupokezana vijiti? Kuna kitu naandika nakuomba sana kisome baadaye nikisha kiweka hapa.
 
Nimejitahidi Sana kuandika machache na authentic ili wenye akili ndogo za kuishi kwa matukio Kama wewe unielewe!!

Hapo ni kidogo Sana kuhusu huyo bwana Kama hayo huyajui omba watu wakukumbushe ni kwa vipi Mwigulu became popular ktk siasa za Tanzania!!!!

Mkuu, Nafikiri swali ni je unaweza kuthibitisha kwa ushahidi usio na shaka kuhusu hayo machache. Kisha tunaweza kujadili hayo mengi.

Hii ni fursa yetu wapiga kura kuwajua hawa watu vyema
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.

JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.

NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Pasco

Pasco ulichoongea ni sahihi kwa 100%. Ifike mahali watanzania tuache ushabiki usio na tija ktk nchi yetu na vizazi vijavyo. Tuangalie mtu mwenye dhamira ya kweli/dhati na mikakati mbadala inayoweza kutupeleka mbele kama watanzania. Tuache kununuliwa na kudanganywa kama watoto wadogo kwa vijihela vya kupita na watu wenye uchu wa madaraka kwa hali na mali. Tusije tukajuta.
Nimemsikiliza Mwigulu, kusema kweli ktk watu ambao wameshatangaza nia, huyu jamaa kaongea vitu vya msingi na anaonekana nia ya dhati anayo na uwezo pia. Great thinkers ni wajibu wetu kuwachambua hawa watu na kuwaelemisha wenzetu. hongera sana Pasco for your brilliant observation
 
Yeye c ndo waziri fedha sasa kwanini ailaumu tena serikali aliyomo kuwa msd inaidai serikali?
 
Itakuwa Pasco alitegemea atapewa kazi ya kigawa vibahasha kwa Lowassa akapigwa chini.

Inabidi ajaribu bahati yake kwa Mwigulu.

Tukirudi kwenye mada, ni mapema sana ku judge, ngoja na wengine wote wanaojinadi watakapoisha.
 
Hata akiwa most genuine tatizo mfumo wa ccm inawenyewe subirini mwicho wa mchakamchaka
 
Mimi sikuweza kusikiliza hotuba ya Mwigulu kwa muda mfupi lakini niseme kwa dakika hizo kama tano hivi alinivutia mno....anajieleza kwa ufasaha na anamiliki jukwaa. I was very very very disappointed na Comrade Lowassa jana. Jamani kuna nini kumuhusu Lowassa?! Yaani alishindwa kabisa kulimiliki jjukwaa. Speech yake ilikuwa imeandaliwa na anasoma utadhani mkuu wa mkoa au wilaya anasoma hotuba mbele ya Rais. Wasaidizi wake walishindwa hata kuandaa jukwaa na vipaza sauti. Kila muda walikuwa wanagonga gonga vipaza sauti...Lowassa aliomba wimbo gani ule wa Komba lakini haukutokea...Sijui nani yule alikuja na helikopta....aliyepaswa kuja na helikopta ni Lowassa na sio mwingine. Yaani wasaidizi wake hata protocol hawajui. Lowassa ameshafika jukwaani mwingine anaingia na helikopta what is that????? yaani wasaidizi wake wanapita pita jukwaani mara kibonde mara yule aliyevaa kofia kama ya kinana. hawakujiaandaa It is a disaster kwa Lowassa It is possible wanamhujumu. Kwanini Lowassa asiwe na tmu nzuri? Yaani akiingia kwenye mdahalo......
 
Very true,Mwigulu Nchemba is the only man who can take Tanzania to higher levels.He told us how he will bring our Tanzania there,there where China,India ,Brasil are.Viva MWIGULU you are a visionary Leader.

Precisely so Victoire, indeed Mwigulu is the peculiar candate whom I think has the new vision that every Tanzania would like us to get
 
Pasco unachanganya mambo, JK wa 2005 alikuwa anapendwa kweli, na ubovu wake wote bado hadi leo hii hachukiwi katika kiwango cha Lowassa.JK ana charisma, Lowassa hana. JK unaweza kumsikiliza kwa muda mrefu kwa kuwa kupiga soga ni kipaji chake. Lakini Lowassa hana mvuto zaidi ya mvuto wa pesa kwa wale mahohehahe wanaotegemea akimaliza kuomngea mgao unapita.

Lowassa watu hawampendi yeye, wanapenda fedha zake, kuwa mkweli Pasco.

Kibaya zaidi mkutano wa Jana Arusha umemvua nguo kabisa Lowassa kwa wale waliokuwa katikati.Mimi binafsi hata leo hii huyu bwana Lowassa asafishwe Richmond, simpi kura yangu kwa kuwa ni visionless, tired and outdated.
Una yako wewe
 
Last edited by a moderator:
Mimi sikuweza kusikiliza hotuba ya Mwigulu kwa muda mfupi lakini niseme kwa dakika hizo kama tano hivi alinivutia mno....anajieleza kwa ufasaha na anamiliki jukwaa. I was very very very disappointed na Comrade Lowassa jana. Jamani kuna nini kumuhusu Lowassa?! Yaani alishindwa kabisa kulimiliki jjukwaa. Speech yake ilikuwa imeandaliwa na anasoma utadhani mkuu wa mkoa au wilaya anasoma hotuba mbele ya Rais. Wasaidizi wake walishindwa hata kuandaa jukwaa na vipaza sauti. Kila muda walikuwa wanagonga gonga vipaza sauti...Lowassa aliomba wimbo gani ule wa Komba lakini haukutokea...Sijui nani yule alikuja na helikopta....aliyepaswa kuja na helikopta ni Lowassa na sio mwingine. Yaani wasaidizi wake hata protocol hawajui. Lowassa ameshafika jukwaani mwingine anaingia na helikopta what is that????? yaani wasaidizi wake wanapita pita jukwaani mara kibonde mara yule aliyevaa kofia kama ya kinana. hawakujiaandaa It is a disaster kwa Lowassa It is possible wanamhujumu. Kwanini Lowassa asiwe na tmu nzuri? Yaani akiingia kwenye mdahalo......
 
Jibu swali wewe
Nimejitahidi Sana kuandika machache na authentic ili wenye akili ndogo za kuishi kwa matukio Kama wewe unielewe!!

Hapo ni kidogo Sana kuhusu huyo bwana Kama hayo huyajui omba watu wakukumbushe ni kwa vipi Mwigulu became popular ktk siasa za Tanzania!!!!
 
Wanabodi,

Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba is the most bonafide genuine mgombea so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinity kutoka moyoni mwake ku practice what he preach na kiukweli nadhani kwa kati ya hawa watangaza nia so far, naamini Mwigulu can make the best president this nation has ever had tangu mwalimu Nyerere!.

Jee wewe mwenzangu ulibahatika kumsikia, unamuonaje?!.

NB Ku make the best president ni jambo moja, mgombea anayependwa zaidi so far ni Edward Lowassa, na mgombea the most experieced so fat ni Stephen Wasira, nikichukulia mchakato wa 2005 wakati JK alipochaguliwa, kama reference, assuming hawa watatu ndio wameingia tatu bora, Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakipewa choice ya kuchagua between "the most loved", "the most experienced" and the "the best president", watachagua mtu anayependwa na watu, mtu atakayechagulika kwa urais na kuwatupa the rest, na hivi ndivyo JK alivyochaguliwa ile 2005 kwa sababu kwenye the finalist watatu, kulikuwa na "the most experienced" Dr. Salim, "The best Brain", Prof. Mwandosya, na "the good looking" Jakaya Kikwete, akapitishwa kwa hoja kuwa ndiye anayependwa na watu, as if mapenzi ya watu ndio uongozi wa nchi!.

JF has a role to play kuwaelimisha wananchi wetu waweze kufanya informed decisions kwenye choice of president, ili ifike mahali chaguo la mgombea wa CCM sio lazima ndio automatikally awe rais, wakituletea ule ujinga ujinga kama wa 2005, tunapiga tuu chini only if huko kungine kuna the better alternative!.

Ushauri wangu wa kwanza kwa wana JF, Mwingulu Nchemba is the man to keep watching seriously!.

NB. Kwa walionidhania mimi niko kambi fulani, uzi huu ni uthibitisho kuwa Pasco wa jf, hana chama, hana kambi, hana mtu, ila kuna watu anawakubali akiwemo yule 'jamaa yetu', hivyo sitarajii kuulizwa kama nimehama kambi kwa sababu sijawahi kuwepo kambi yoyote!.

Kiukweli mimi Pasco wa jf, nimeguswa na Mwigulu Nchemba!.

Vipi wewe?.

Pasco

Sasa tunataka Raisi ambae atakae kuwa sawa on both state (nakusudia tanganyika na zanzibar) sio mtu atakae pendelea upande moja. Hatutaki kiongozi atake kuja awe yeye anapendelea Zanzibar tu au upande wa tanganyika tu, Kama alivyokuwa mkapa yeye alitaka kuimarika upande wa tanganyika zaidi kukandamiza uchumi zanzibar. Na huyo unaempigia kampeni wewe ni mtu ambae ameshaonesha sign mapema kupendelea sehemu moja tu na hasa tukikumbuka wakati wa mchakato wa katiba mpya alivyokuwa akitoa hoja mbovu kupendelea sehemu moja. Vile Vile hayumo katika kundi la "most experienced" wala "The best brain".
Musijitaabishe sana Raisi atakaegombania kupitia CCM kwa mwaka wa 2015 anatangaza nia kesho
 
Back
Top Bottom