Mwigulu Nchemba acha kudanganya wananchi, mikopo hulipwa na watanzania wanapolipa kodi. Usipotoshe umma

Mwigulu Nchemba acha kudanganya wananchi, mikopo hulipwa na watanzania wanapolipa kodi. Usipotoshe umma

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kwa nini viongozi wa serikali hupenda kuona watu kama wajinga na hawana akili?

Mlipopitisha tozo za serikali kwenye miamala ya simu ulitamka kwa dharau na kejeli kuwa asiyetaka kulipa tozo ahamie Burundi, bila kujali hata namna tozo zinavyoumiza wananchi.

Leo hii unatamka bila hata aibu kuwa mikopo ya serikali italipwa na serikali bila kumgongea mlango mwananchi yoyote nyumbani kwake. Hii inaingia akilini?

Mikopo hulipwa na wananchi wanapolipa kodi za kila namna iwe direct tax or indirect tax. Kw hiyo kwa kadiri mnavyokopa hovyo ndivyo mnavyoongeza mizigo ya kodi kwa wananchi. Sasa kwa nini utamke kuwa wananchi hawalipi madeni ya taifa lao? Hii ni dharau kubwa sana.

Acheni kuwaona wananchi wajinga kisa tu mpo madarakani.
 
Waswahili husema, wajinga ndio wanaoliwa. Acha tuliwe 2025 inakuja wala sio mbali.
 
Serikali ni nani...

amesema hatutagongewa milangoni tukiwa na wake zetu au michepuko yetu...
 
Kwa nini viongozi wa serikali hupenda kuona watu kama wajinga na hawana akili?

Mlipopitisha tozo za serikali kwenye miamala ya simu ulitamka kwa dharau na kejeli kuwa asiyetaka kulipa tozo ahamie Burundi, bila kujali hata namna tozo zinavyoumiza wananchi.

Leo hii unatamka bila hata aibu kuwa mikopo ya serikali italipwa na serikali bila kumgongea mlango mwananchi yoyote nyumbani kwake. Hii inaingia akilini?

Mikopo hulipwa na wananchi wanapolipa kodi za kila namna iwe direct tax or indirect tax. Kw hiyo kwa kadiri mnavyokopa hovyo ndivyo mnavyoongeza mizigo ya kodi kwa wananchi. Sasa kwa nini utamke kuwa wananchi hawalipi madeni ya taifa lao? Hii ni dharau kubwa sana.

Acheni kuwaona wananchi wajinga kisa tu mpo madarakani.
Ulimuelewa VIZURI lakini?
 
Kwa nini viongozi wa serikali hupenda kuona watu kama wajinga na hawana akili?

Mlipopitisha tozo za serikali kwenye miamala ya simu ulitamka kwa dharau na kejeli kuwa asiyetaka kulipa tozo ahamie Burundi, bila kujali hata namna tozo zinavyoumiza wananchi.

Leo hii unatamka bila hata aibu kuwa mikopo ya serikali italipwa na serikali bila kumgongea mlango mwananchi yoyote nyumbani kwake. Hii inaingia akilini?

Mikopo hulipwa na wananchi wanapolipa kodi za kila namna iwe direct tax or indirect tax. Kw hiyo kwa kadiri mnavyokopa hovyo ndivyo mnavyoongeza mizigo ya kodi kwa wananchi. Sasa kwa nini utamke kuwa wananchi hawalipi madeni ya taifa lao? Hii ni dharau kubwa sana.

Acheni kuwaona wananchi wajinga kisa tu mpo madarakani.
Great Thinker nimependa sana hiyo Sentensi yako ya mwisho katika Headline yako kuwa "kwa vile Watanzania ni Wajinga" kwani umemaliza kila Kitu. Heko!
 
Back
Top Bottom