Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kwa nini viongozi wa serikali hupenda kuona watu kama wajinga na hawana akili?
Mlipopitisha tozo za serikali kwenye miamala ya simu ulitamka kwa dharau na kejeli kuwa asiyetaka kulipa tozo ahamie Burundi, bila kujali hata namna tozo zinavyoumiza wananchi.
Leo hii unatamka bila hata aibu kuwa mikopo ya serikali italipwa na serikali bila kumgongea mlango mwananchi yoyote nyumbani kwake. Hii inaingia akilini?
Mikopo hulipwa na wananchi wanapolipa kodi za kila namna iwe direct tax or indirect tax. Kw hiyo kwa kadiri mnavyokopa hovyo ndivyo mnavyoongeza mizigo ya kodi kwa wananchi. Sasa kwa nini utamke kuwa wananchi hawalipi madeni ya taifa lao? Hii ni dharau kubwa sana.
Acheni kuwaona wananchi wajinga kisa tu mpo madarakani.
Mlipopitisha tozo za serikali kwenye miamala ya simu ulitamka kwa dharau na kejeli kuwa asiyetaka kulipa tozo ahamie Burundi, bila kujali hata namna tozo zinavyoumiza wananchi.
Leo hii unatamka bila hata aibu kuwa mikopo ya serikali italipwa na serikali bila kumgongea mlango mwananchi yoyote nyumbani kwake. Hii inaingia akilini?
Mikopo hulipwa na wananchi wanapolipa kodi za kila namna iwe direct tax or indirect tax. Kw hiyo kwa kadiri mnavyokopa hovyo ndivyo mnavyoongeza mizigo ya kodi kwa wananchi. Sasa kwa nini utamke kuwa wananchi hawalipi madeni ya taifa lao? Hii ni dharau kubwa sana.
Acheni kuwaona wananchi wajinga kisa tu mpo madarakani.