Mwigulu Nchemba anaweza akaongoza Iramba zaidi ya miaka 20, anacheza vizuri na siasa

Mwigulu Nchemba anaweza akaongoza Iramba zaidi ya miaka 20, anacheza vizuri na siasa

Lyambalyetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
278
Reaction score
255
Tangu ateuliwe Uwaziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Lameck Madelu Nchemba, amekuwa very humble. Amesha-adopt utaratibu na upole wa Mhe. Samia Suluhu Hassan. Juzi alionana na Ndugu yangu ndani ya viunga vya bungeni - kwa kweli Dkt. Mwigula ameshabadilika.

Kabadilika faster - tena faster haswa. Kwa sasa hakukimbii anakusikiliza na kukupa ahadi nzuri. Hana tena kuhoji hoji - anaonesha ule utaratibu wa kifedha - yaani hata ngozi yake na hata mikono yake sasa inaonesha ni Waziri wa Fedha kweli kweli. Dkt Mwigulu kafika kwenye nafasi yake sasa. Anaonekana kuicheza vema nafasi yake - atafika mbali.

Kwa sasa haoneshi tena makeke ya kuutaka URais - yeye anachapa kazi tu. Jimboni anatoa maelekezo na yanatekelezwa. Anafanya siasa za kuwabakiza wapiga kura - hili litaonekana zaidi wakati akiwasilisha bajeti yake. Huku jimboni kwake tayari kuna viashiria vya uhakika kuwa kipindi hichi atakimaliza kwa mafanikio zaidi kuliko vipindi vyake vyote vilivyopita. Hamna mbunge ambaye amewahi kuacha alama Jimbo la Iramba tangu kuanza kwake - uliza Nalingigwa, Nkurlu, Kiula, Shango na hata Kilimba hamna walichoacha cha kukumbukwa nacho Iramba. Kama kipo hebu mtu aniambie hapa.

Dkt. Mwigulu Nchemba anaelekea kuacha legacy kwa miaka 15 atakayoongoza. Hata hivyo ninamtahadharisha kuwa mapaka sasa naye ubunge wake unaelekea kulingana na wa Nalaila Kiula - huyu naye aliongoza miaka 15 lakini hakuacha alama yeyote. Kwa kweli mpaka sasa Dkt. Mwigulu hana kitu cha kujivunia, miradi ya Serikali ni hiyo hiyo hata asingekuwepo yeye ingekuwepo tu. Nina uhakika kwa miaka 15 kama hatakuwa na jipya Dkt. Mwigulu atatemwa na WanaIramba. Yangu macho! Tena macho makubwa kweli kweli!
 
Hana jipya zaidi ya uchumia tumbo tu.

Alipo kuwa waziri wa mambo ya ndani alishindwa kutwambia ni nani alimshikia baatola Nape Nauye.

Ilibidi sasa hivi awe iramba analima vitunguu tu maana kazi za serikali alishindwa.
 
Na kwa Hali hii ya kuficha tabia zake mbaya mbele ya Mama Samia hivi karibuni ataanza kukonda!Kuficha tabia ni mbaya Sana kwa afya!
 
Wivu tu kama mwanamke, jinga kabisa.
Mwanamke unayemlinganisha na wivu ni yupi zaidi ya mamako, Bibi yako, Dada zako, shangazi zako na hata mkeo? Waheshimu wanawake wewe womanizer!
 
Tofauti ya mwigulu na jpm ni moja, mmoja Msukuma na mwingine mnyilamba mengine they are the same. Chunga sana hiyo namba
 
Tangu ateuliwe Uwaziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Lameck Madelu Nchemba, amekuwa very humble. Amesha-adopt utaratibu na upole wa Mhe. Samia Suluhu Hassan. Juzi alionana na Ndugu yangu ndani ya viunga vya bungeni - kwa kweli Dkt. Mwigula ameshabadilika.

Kabadilika faster - tena faster haswa. Kwa sasa hakukimbii anakusikiliza na kukupa ahadi nzuri. Hana tena kuhoji hoji - anaonesha ule utaratibu wa kifedha - yaani hata ngozi yake na hata mikono yake sasa inaonesha ni Waziri wa Fedha kweli kweli. Dkt Mwigulu kafika kwenye nafasi yake sasa. Anaonekana kuicheza vema nafasi yake - atafika mbali.

Kwa sasa haoneshi tena makeke ya kuutaka URais - yeye anachapa kazi tu. Jimboni anatoa maelekezo na yanatekelezwa. Anafanya siasa za kuwabakiza wapiga kura - hili litaonekana zaidi wakati akiwasilisha bajeti yake. Huku jimboni kwake tayari kuna viashiria vya uhakika kuwa kipindi hichi atakimaliza kwa mafanikio zaidi kuliko vipindi vyake vyote vilivyopita. Hamna mbunge ambaye amewahi kuacha alama Jimbo la Iramba tangu kuanza kwake - uliza Nalingigwa, Nkurlu, Kiula, Shango na hata Kilimba hamna walichoacha cha kukumbukwa nacho Iramba. Kama kipo hebu mtu aniambie hapa.

Dkt. Mwigulu Nchemba anaelekea kuacha legacy kwa miaka 15 atakayoongoza. Huyu ubunge wake unaelekea kulingana na wa Nalaila Kiula - huyu naye aliongoza miaka 15 lakini hakuacha alama yeyote> Mpaka sasa Dkt. Mwigulu hana kitu cha kujivunia, miradi ya Serikali ni hiyo hiyo hata asingekuwepo yeye ingekuwepo tu. Nina uhakika kwa miaka 15 kama hatakuwa na jipya Dkt. Mwigulu atatemwa na WanaIramba. Yangu macho! Tena macho makubwa kweli kweli!
Nyie ndiyo mlitumwa kuchafua mawe mwaka 2015 kwa kuyaandika ''Mwingulu rais''. Mlichafua mawe mengi kweli kweli. Sasa mmerudi tena kivingine. Mnalipwa nini mpaka mnatumika kama mbwa?
 
Tofauti ya mwigulu na jpm ni moja, mmoja Msukuma na mwingine mnyilamba mengine they are the same. Chunga sana hiyo namba


Na huwezi amini hicho unachosema "chunga sana hiyo namba" ndicho mimi ninachompenda Mwigulu Nchemba 😍🇹🇿💪

JPM ameondoka legacy; ametuachia Rais mwanamke wa shoka SSH na JPMs wengi sana wa kutosha

Kazi iendelee
 
Tangu ateuliwe Uwaziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Lameck Madelu Nchemba, amekuwa very humble. Amesha-adopt utaratibu na upole wa Mhe. Samia Suluhu Hassan. Juzi alionana na Ndugu yangu ndani ya viunga vya bungeni - kwa kweli Dkt. Mwigula ameshabadilika.

Kabadilika faster - tena faster haswa. Kwa sasa hakukimbii anakusikiliza na kukupa ahadi nzuri. Hana tena kuhoji hoji - anaonesha ule utaratibu wa kifedha - yaani hata ngozi yake na hata mikono yake sasa inaonesha ni Waziri wa Fedha kweli kweli. Dkt Mwigulu kafika kwenye nafasi yake sasa. Anaonekana kuicheza vema nafasi yake - atafika mbali.

Kwa sasa haoneshi tena makeke ya kuutaka URais - yeye anachapa kazi tu. Jimboni anatoa maelekezo na yanatekelezwa. Anafanya siasa za kuwabakiza wapiga kura - hili litaonekana zaidi wakati akiwasilisha bajeti yake. Huku jimboni kwake tayari kuna viashiria vya uhakika kuwa kipindi hichi atakimaliza kwa mafanikio zaidi kuliko vipindi vyake vyote vilivyopita. Hamna mbunge ambaye amewahi kuacha alama Jimbo la Iramba tangu kuanza kwake - uliza Nalingigwa, Nkurlu, Kiula, Shango na hata Kilimba hamna walichoacha cha kukumbukwa nacho Iramba. Kama kipo hebu mtu aniambie hapa.

Dkt. Mwigulu Nchemba anaelekea kuacha legacy kwa miaka 15 atakayoongoza. Huyu ubunge wake unaelekea kulingana na wa Nalaila Kiula - huyu naye aliongoza miaka 15 lakini hakuacha alama yeyote> Mpaka sasa Dkt. Mwigulu hana kitu cha kujivunia, miradi ya Serikali ni hiyo hiyo hata asingekuwepo yeye ingekuwepo tu. Nina uhakika kwa miaka 15 kama hatakuwa na jipya Dkt. Mwigulu atatemwa na WanaIramba. Yangu macho! Tena macho makubwa kweli kweli!
Apewe UFALME
 
Hana jipya zaidi ya uchumia tumbo tu.

Alipo kuwa waziri wa mambo ya ndani alishindwa kutwambia ni nani alimshikia baatola Nape Nauye.

Ilibidi sasa hivi awe iramba analima vitunguu tu maana kazi za serikali alishindwa.

Hivi nyinyi mlitaka Mwigulu ashindane na boss wake ili iwe nini ? Mwigulu au Mimi na wewe hakuna mwenye uwezo wa kushindana na Amiri jeshi mkuu

Kwa hiyo mlitaka amataje jiwe kwenye Sakata la Nape , tuacheni ushabiki maadanzi wote tuna jua kina Mwigulu waliopitia kwa JPM ilifika kipindi Mwigulu alikua anachapwa vibao na JPM lakini alijitaidi kuonesha ukomavu wa Hali ya juu kwenye Siasa hata baada ya kutumbuliwa
 
Back
Top Bottom