nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
🙏🙏🙏yule mzee ni mtani wangu natania tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏🙏yule mzee ni mtani wangu natania tu
Amezeeka mwacheni acheze na vitukuuKwa hiyo mzee mwinyi umemtoa kwenye hesabu?
Oh...so kamtarget kikwete Kwakua ndio anamshauri Rais...mi nilidhani ni kumsifia Rais mstaafu regardless kama ana kumbukumbu au la.Mtu ambaye hakumbuki hata jina la mtoto wake atashauri nini
Mzee Mwinyi mwenyewe kwa sasa hata hakumbuki kama aliwahi kuwa Rais. Uzee Raha Sana.Duh! mwinyi alikua mwenyekiti wa kijiji?
Acha kutisha watu mkuu. Punguza mapovu hayo.Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.
Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
Acha uongo wako au utakuwa kilaza mkubwa sana eti JK ndiye rais mstaafu pekee aliye hai kwa sasaJk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.ndio rais mstaafu pekee aliye hai kwa sasa
Ungebadikisha kauli taarifa yako mkuu, maana umesema jk ndo mstaafu pekee aliye hai.Amezeeka mwacheni acheze na vitukuu
Mwinyi alikuwa Diwani?Jk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.ndio rais mstaafu pekee aliye hai kwa sasa
Uko sahihi... Lakini haiondoi ukweli kwamba aliwahi kuongoza nchi na anaweza kuchangia chechote kutokana na uzoefu wake.Mzee Mwinyi mwenyewe kwa sasa hata hakumbuki kama aliwahi kuwa Rais. Uzee Raha Sana.
Jk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.
Ni jitu la ajabu sana. Liliua ndugu zetu Arusha olesiti. Halafu cha kushangaza lili steji ajaliKatika majitu ambayo yanaweza au yameua kutafuta madaraka ni hilo jinamizi... mpaka limemkana ndugu yake Lisu na kumkandia ili Jiwe alione kuwa linamtukana Lisu alipe madaraka
Mwinyi je?Jk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.
Jamaa siku ile dodoma kila wakati mamaalivyokuwa anataja wizara yake anaamka na kusujuduMadelu ni mtafuta fursa kila nafasi ikipatikana au hata ikiwa nafasi na mazingira siyo rafiki kuonyesha unafiki atatafuta hata ka upenyo achomekee
Uoga wa maisha wa hawa watu wa aina hii ni mkubwa mno
Mwigulu mzee wa kwenda na biti....muwekee biti lolote anatambaa nalo...Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.
Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
Yupo ila kazi ya ushauri itakuwa ngumu kwake miaka 96 sio mchezoYupo pia Mzee Mwinyi