Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Mwinyi vipi? Au umri unafanya asiitwe Rais mstaafu?Jk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwinyi vipi? Au umri unafanya asiitwe Rais mstaafu?Jk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.
Shida ni historia .wewe ilikuwepJk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.
Mzee nampenda Sana hawashwiwashwi kama hawa wengineMzee Mwinyi mwenyewe kwa sasa hata hakumbuki kama aliwahi kuwa Rais. Uzee Raha Sana.
Una akili sanaKuhusu kumsifia JK sijui kafanya hivyo kwenye mazingira yapi kama yalimlazimu kufanya hivyo.
Lakini kwa tabia za kujipendekeza za hao jamaa sitashangaa kama amefanya hivyo kwa lengo maalum akijua fika JK kwa sasa ndie remote ya ikulu yetu, na yeye Mwigulu hastahili kuwepo kwenye hiyo wizara hasa baada ya ile kashfa ya kupotea bilioni tatu kwenye wizara yake.
Jk kuwa mshauri mkuu wa Raisat Samia sioni kama ni shida.
Nenda Kisongo watakupaka mafuta bure tu!Ikiongezwa 3,000 naweza pata tigo?
Kikwete ni Smart na Hazina kwa Taifa hili Mungu ampe maisha marefumh, ila yanayomkuta JK kikwete nina hakika hata Nyerere hakuwahi kuyakabili......jamaa anaandamwa sana aisee;
wakati wa utawala wake chadema walihakikisha hafanikiwi kwa lolote, kiubishi ubishi sana akapenya!
anaandamwa kuwa eti alimsaliti lowassa.....yet, hakuna mwenye kuujua undani hadi sasa.
wakati wa utawala wa mwendazake, aliandamwa mno kwa kukosolewa kuwa hakufanya chochote wakati wa utawala wake na hata kunyamazishwa 'kibabe' mbele ya kamera pale aliojaribu kutoa maoni, hilo lilifanywa na mwendazake mwenyewe na 'washikadau' wake.
sasa hivi (wakati huu wa awamu hii ya sita), anaandamwa kwa kila hatua anayoichukua mama.....kwamba eti ndiye anayeongoza nchi sasa. kama hilo halitoshi, anaambiwa kuwa anahusika na kuondoka kwa mwendazake. kivipi? hakuna mwenye jibu.
Mungu ni mkubwa, na mapito haya pia yatapita......pole sana JK Kikwete, tunapokuona na tabasamu lako pamoja na yote haya, hakika wewe ni jasiri sana!!
Mkuu like genge la kutaka itawala nchi hii lililoanzishwa Mwaka 1995 bado lipo na sasa limegaij momentum😆😅Kuhusu kumsifia JK sijui kafanya hivyo kwenye mazingira yapi kama yalimlazimu kufanya hivyo.
Lakini kwa tabia za kujipendekeza za hao jamaa sitashangaa kama amefanya hivyo kwa lengo maalum akijua fika JK kwa sasa ndie remote ya ikulu yetu, na yeye Mwigulu hastahili kuwepo kwenye hiyo wizara hasa baada ya ile kashfa ya kupotea bilioni tatu kwenye wizara yake.
Hii dhambi haita mwacha, aendelee kujichekesha na kujikomba.Ni jitu la ajabu sana. Liliua ndugu zetu Arusha olesiti. Halafu cha kushangaza lili steji ajali
Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
Bado hajajenga hiyo identityKwanini wanasiasa hawataki Mama awe na identity yake? Hata kama JK anamshauri, shida iko wapi kujua Mama ndiye naosha wa chombo?
Mkuu ndio ujue unafiki wa viongozi wetu, wao wanajali matumbo yao, pamoja na kuwa Mwigulu anafahamika kuwa ni timu mzoga ni aibu kwake kuonyesha unafaiki mbele ya umma, nadhani sasa watu wanajionyesha tabia zao zilivyo ni watu wa kujikomba kwa viongozi waliopo,wakishaondoka tutakuja kuwasikia wakisema ah raisi fulani alikuwa dhaifu ah yule alikuwa vile, kuna wakati nasikia kichefuchefu ukiwasikia wanasiasa wetu,yeye badadala ya kusoma bajeti anawasifia waliompa ugali ,watu wanajua kujikomba. Kifupi wanasiasa hawaaminiki huyu Mwigulu si ndie kila siku alijifanya mtetetzi wa mwendazake kwa kuwajibu na kutupa vijembe kwa kina Zitto? hii inatia hadi kichefuchefu.Nimemsikiliza Mhe. Mwigulu Nchemba akimwagia sifa za umairi Jakaya Mrisho Kikwete, nimeshangazwa sana na kitendo hiki kwa sababu zifuatazo;
Mwiguli alikuwa anawasilisha hotuba ya bajeti ambayo kimsingi haina hoja mahususi inayolazimisha kumtaja JK, Magu Wala Mkapa. Ni Nini kimemsukuma kuweka paragraph hii kwenye hotuba yake? Anamsuta Nani?
Hata Kama JK alikuwa kiongozi, Magufulu pia alikuwa kiongozi. Unapotoa sifa za kiongozi ambazo hazishabiani na kiongozi asiyekuwepo Duniani huku huko nyuma hukuwahi kutoa sifa Kama hizo kwake nikuutangazia umma kwamba huna na ujawahi kuwa na heshima kwake Bali ulikuwa unatafuta madaraka.
Lakini pia kumtaja JK kwa kumuunganisha na Mama Samia kunaleta picha kwamba bila JK uamini Kama Rais aliyepo anaweza kuongoza nchi. Naweza nisiwe sahihi lakini mitandao yote inaandika kwamba JK ndiye anayeongoza nchi kwa Sasa, Waziri wa fedha na timu yako kitendo chakuibgiza sifa za JK nikumdhalilisha Rais kwa kuonyesha umma kwamba wanayosema wanaharakati na watu wengine ni sahihi.
Lakini pia napata mashaka na uwezo binafsi wa mtu huyu katika nafasi hii nyeti, Wizara ya fedha ni nyeti. Aina ya bajeti aliyowasilisha inahitaji elimu kubwa kwa umma iweze kuonekana kwamba ina malengo chanya na kuepusha upotoshaji wakimantiki unaoweza kufanywa na watu wasio serikalini. Kuwasilisha bajeti Kama hii huku ukiweka sifa za JK kumeligawa Taifa na chama pia. Watu wengi wameondoka kuijadili bajeti wamejadili udhalimu na unafiki wakimfumo unaofanywa na wanasiasa kuwasaidia kuendelea kuteuliwa. Madhara yake ni kwamba upotoshaji utakuwa mwingi nakupunguza imani ya wananchi kwa serikali.
Utavuna ulichopanda, na naamini au natabiri hii itakuwa bajeti yako ya mwisho Kama Waziri wa fedha. Soon utajionea labda kama hawataona damage yako kwa macho ya Tanzania mpya
Kinachonishangaza ni kuwa hadi sasa bado ni waziri, pamoja na mapungufu yake mwendazake saa hizi Mwigulu angekuwa anachoma mahindi, sijui jamaa ana kizizi gani kila wizara anaharibu halafu anapelekwa kwingine nako anaharibu lakini bado anakuwa yupo tu, au ile tai anayovaa ndio kinga yake?Kuhusu kumsifia JK sijui kafanya hivyo kwenye mazingira yapi kama yalimlazimu kufanya hivyo.
Lakini kwa tabia za kujipendekeza za hao jamaa sitashangaa kama amefanya hivyo kwa lengo maalum akijua fika JK kwa sasa ndie remote ya ikulu yetu, na yeye Mwigulu hastahili kuwepo kwenye hiyo wizara hasa baada ya ile kashfa ya kupotea bilioni tatu kwenye wizara yake.
Ukiona hivyo ujue ni jasiri na kiongozi shupavu. Yupo kasimama akipokea kashfa ila ndie icon pekee ya raisi wastaafu.mh, ila yanayomkuta JK kikwete nina hakika hata Nyerere hakuwahi kuyakabili......jamaa anaandamwa sana aisee;
wakati wa utawala wake chadema walihakikisha hafanikiwi kwa lolote, kiubishi ubishi sana akapenya!
anaandamwa kuwa eti alimsaliti lowassa.....yet, hakuna mwenye kuujua undani hadi sasa.
wakati wa utawala wa mwendazake, aliandamwa mno kwa kukosolewa kuwa hakufanya chochote wakati wa utawala wake na hata kunyamazishwa 'kibabe' mbele ya kamera pale aliojaribu kutoa maoni, hilo lilifanywa na mwendazake mwenyewe na 'washikadau' wake.
sasa hivi (wakati huu wa awamu hii ya sita), anaandamwa kwa kila hatua anayoichukua mama.....kwamba eti ndiye anayeongoza nchi sasa. kama hilo halitoshi, anaambiwa kuwa anahusika na kuondoka kwa mwendazake. kivipi? hakuna mwenye jibu.
Mungu ni mkubwa, na mapito haya pia yatapita......pole sana JK Kikwete, tunapokuona na tabasamu lako pamoja na yote haya, hakika wewe ni jasiri sana!!