Kuna askari tutaambiwa wamechukuliwa hatua na mwigulu atatolewa kafara.Uchunguzi upi huo unaoendelea?
Hapo hakuna uchunguzi wala nini na mtu mzima Mwigulu Nchemba ataendelea kuwepo,
Kiuongozi ilitakiwa mpaka sasa asiwepo ofisini toka miezi kadhaa
Mange kawaingiza chaka.Kwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?
Ati Mwigulu hivi mtoa post unafikiri kwa Kijambio??
Kawaulize uvccm[emoji3]Kwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?
Mseme tu Magu kapata kaupenyo maana amemtamani mwigulu muda mtefuHabari wana JF.
Habari ndio hiyo.
Uchunguzi dhidi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha NIT ukikamilika taarifa za ndani zinasema huyu atatumbuliwa.
Ingawa mi naona tuna tatizo kubwa zaidi ya hapo.
Japo kuwajibishwa kwa Waziri ni njia mojawapo ya kuonesha kujali.
Kuwa wa kwanza kufahamu mwana JF.
Of course yana baraka zote toka juu. Na mwigulu anatolewa kafara ili kumpandisha bwana mkubwa nyota ya kisiasa. Ila mauaji yataendelea tu.Never, never, never haya yote yanatoka huko wasikojaribiwa. Never, never, never. Labda if the the opposite of the whole scenario would have happened instead, then you proposition that would have been possible!
Kizazi pendwa cha Milembe wa Mwanzaebu nitonye inbox
Haa haaa na huyu mdada yuko powerful sana pamoja na kutumia mtandaoKwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?
Hivi mlinzi wa Amani wa Mkoa ni nani? Hili jambo Mh Mwigulu halimuhusu kabisa.Mseme tu Magu kapata kaupenyo maana amemtamani mwigulu muda mtefu
Yule kichwa wao hayupo, amechukuliwa na chama.Kwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?
wewe umejuaje au na wewe unamsoma huyo mange?Kwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?
Mbona nawe ni follower wake mzuri tu na kila siku lazima umchungulie ili kupata yanayojiri kama hivi umetoka kumsoma hatukusemi? Au unaangalia kama ana fununu za hukumu ya mdogowako yule msagwaji? Mambo ya kizamani kweli kama vile umekulia kwa nyanyako! Yaani wewe umsome mwenyewe tu lakini wengine mmmh!Kwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?