Tetesi: Mwigulu Nchemba kung'olewa uwaziri

Tetesi: Mwigulu Nchemba kung'olewa uwaziri

Status
Not open for further replies.
Hakuna haja ya kusubiri uchunguzi. Wananchi tuandamane aachie ngazi.
Habari wana JF.
Habari ndio hiyo.
Uchunguzi dhidi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha NIT ukikamilika taarifa za ndani zinasema huyu atatumbuliwa.

Ingawa mi naona tuna tatizo kubwa zaidi ya hapo.
Japo kuwajibishwa kwa Waziri ni njia mojawapo ya kuonesha kujali.

Kuwa wa kwanza kufahamu mwana JF.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom