Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, una hakika?MWIGULU ACHIA NGAZI KWANI UWAZIRI WA BABA YAKOO !! MBONA MZEE WETU MWINYI ALIACHIA NGAZI BILA KULAZIMISHWA......... ! ! !
LAHISI ? Kweli kiswahili, kimefika mahala pake.We mwenyewe msukuma "sio LAHISI"
Mkuu hakuna kitu kama hicho,Kuna askari tutaambiwa wamechukuliwa hatua na mwigulu atatolewa kafara.
Hahaa. Kwamba ataambiwa kijana chapa kaziMkuu hakuna kitu kama hicho,
Hivi unajua kama hatupanwi,
Tumewaona muda sana mnaongea ongea tu,
Sasa nawaambia hivi Mwigulu Nchemba ndo waziri wenu
nasema wewe chapa kaziHahaa. Kwamba ataambiwa kijana chapa kazi
Hapa kinachotakiwa in kuvunja jeshi la polisi na kuajiri Vijana wanaomaliza mafunzo ya JKT kuliko kuendelea na jeshi lililojaa form four failures. Inawezekana Rais akiamua mbona Mwalimu Nyerere alivunja King Africa Rifle na kuunda JWTZ ambayo mpaka leo ipo na inafanya kazi kwa weledi na nidhamu kubwa.
Kafara kwa kosa lipi?? Kweli wabongo vilaza kinomaLengo ni kumtoa kafara mwigulu lakini naelewa mambo haya yataendelea. Yana baraka zote toka juu.
They must GO!Mambosasa
Mtulia
Kailima
Shida yenu ni kuleta vyama kwenye mambo ya nchi .
Wewe ni Naibu waziri. Tulia ule nchi
ebu nitonye inbox
Kumbe ni Waziri huyu Wakudadavuwa?!
Habari wana JF.
Habari ndio hiyo.
Uchunguzi dhidi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha NIT ukikamilika taarifa za ndani zinasema huyu atatumbuliwa.
Ingawa mi naona tuna tatizo kubwa zaidi ya hapo.
Japo kuwajibishwa kwa Waziri ni njia mojawapo ya kuonesha kujali.
Kuwa wa kwanza kufahamu mwana JF.[/QUOTE
TATIZO sio Waziri wa mambo ya ndani " KUANDAMANA NI HAKI YETU"...ccm wanazingua
Tatizo hizo chunguzi huwa hazikamiliki mkuuHabari wana JF.
Habari ndio hiyo.
Uchunguzi dhidi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha NIT ukikamilika taarifa za ndani zinasema JF.
Uchunguzi? Uchunguzi upi?Habari wana JF.
Habari ndio hiyo.
Uchunguzi dhidi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha NIT ukikamilika taarifa za ndani zinasema huyu atatumbuliwa.
Ingawa mi naona tuna tatizo kubwa zaidi ya hapo.
Japo kuwajibishwa kwa Waziri ni njia mojawapo ya kuonesha kujali.
Kuwa wa kwanza kufahamu mwana JF.
Matako yako msagaji wewe huna lolote zaidi ya roho mbaya na uzandikkKwanini siku hizi Chadema inategemea nguvu ya Mange?hivi bavicha imekufa?