Mwigulu Nchemba, kuongeza sifuri kwa mgongo wa tozo ni kuendeleza mateso kwa wananchi

Mwigulu Nchemba, kuongeza sifuri kwa mgongo wa tozo ni kuendeleza mateso kwa wananchi

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Kuwabebesha wananchi tozo na kodi nyingi sio suluhisho lenye tija la kuiongezea nchi mapato, ni kuendelea kuwatesa.

Mwigulu Nchemba anachojua ni kuongeza sifuri, hana ubunifu wowote ule. Kama akiendelea kufanya anayoyafanya sababu ndo mwisho wake wa kufikiri ulipofikia, atawatesa sana wananchi wa kawaida.

Ili nchi iendelee na iwe na wigo mpana wa mapato, inabidi itumie kati ya chaguo zifuatazo;-

Option 1
Colonialism na imperialism: Hili ni chaguo ambalo walitumia nchi za Ulaya kunyonya nchi nyingine na iliwafanikisha sana. Ila kwa sasa hivi huwezi kutumia colonialism tena, kwa hiyo Tanzania haiwez itumia hii option.

Option ya 2
Natural resources: Ili uendelee unatakiwa utumie rasilimali zako vizuri hio, ndo option ambayo wametumia nchi za kiarabu na imewafanikisha sana. Tanzania haina resources za kutosha kwa hiyo hii option ni ngumu kutekeleza.

Option ya 3
Higher and concecutive economic growth: Mfano, Tanzania ili iendelee na ipate mapato mengi na maendeleo ya haraka, inatakiwa iwe na economic growth ya 12-15% annual concecutive kwa mda usiopungua miaka 25. China ndiyo imetumia chaguo hili, lakin ukuaji wa uchumi wa sasa ambao ni kati ya asilimia 4-7 ni mdogo sana.
 
Kwa waziri wa fedha hatuna.
Huyu uwezo wake ni ktk siasa za kibabe sio ktk wizara ya fedha kwani hizo siasa za kibabe hazipo tena kwa nyakati hizi.
Akajiajiri tu kuluko kuongeza chuki kwenye tozo zisizo na maana zaidi ya kuonekana wizi na uonevu juu ya wanaongozwa
 
Moderator nakuomba sana usiuunganishe huu Uzi na nyuzi nyingine

Kuwabebesha wananchi matozo na makodi mengi sio suluhisho lenye tija la kuiongezea nchi mapato ni kuendelea kuwatesa

Mwigulu nchemba anachojua ni kuongeza sifuri hana ubunifu wowote ule, na kama akiendelea kufanya anayoyafanya sababu ndo mwishowake wa kufikiri ulipofika atawatesa sana wananchi wa Kawaida

ili nchi iendelee na iwe na wigo mpana wa mapato itumie angala option zifuatazo;-

Option 1
Colonialism na imperialism hii option ambayo walitumia nchi za ulaya kunyonya nchi nchi nyingine na iliwafanikisha sana, Ila kwa sahivi huwez tumia colonialism tena kwa hiyo Tanzania haiwez itumia hii option

Option ya 2
Natural resources ili uendelee unatakiwa utumie rasilimali zako vizuri hio ndo option ambayo wametumia nchi za kiarabu na imewafanikisha sana, Tanzania Haina resources za kutosha kwa hiyo hii option ni ngumu ku-implement

Option ya 3
Higher and concecutive economic growthm, Mfano Tanzania ili iendelee na ipate mapato mengi na maendeleo ya haraka inatakiwa iwe na economic growth ya 12-15% annual concecutive kwa mda usiopungua miaka 25 ndo china imetumia hii option, lakin ukuaji wa uchumi wa Sasa ambao ni kati ya asilimia 4-7 ni ndogo sana
Umeongea pumba tuu.. Unadhani uchumi kukua utakuwa unaongea upuuzi huu ndio uchumi unakua?

Ku extract resources inahitaji pesa.

Ili uchumi ukue inahitaji ku inject pesa,hizo pesa zinatoka Mbinguni?

Hakuna mahali mchakato was maendeleo uliwahi kuwa sweet so Mwigulu shikilia hapo hapo sisi was Vijijini tunaona faida..

Mwisho makelele yote hayo eti sababu ni hizi hapa chini au kuna zingine? 👇
 

Attachments

  • IMG-20220818-WA0015.jpg
    IMG-20220818-WA0015.jpg
    30.7 KB · Views: 4
Umeongea pumba tuu.. Unadhani uchumi kukua utakuwa unaongea upuuzi huu ndio uchumi unakua?

Ku extract resources inahitaji pesa.

Ili uchumi ukue inahitaji ku inject pesa,hizo pesa zinatoka Mbinguni?

Hakuna mahali mchakato was maendeleo uliwahi kuwa sweet so Mwigulu shikilia hapo hapo sisi was Vijijini tunaona faida..

Mwisho makelele yote hayo eti sababu ni hizi hapa chini au kuna zingine? 👇
Wapi nimeongelea pesa nimesema sio mbunifu usipende kukurupuka anachojua ni kuongeza sifuri huo ndo ukweli
 
Kwa waziri wa fedha hatuna.
Huyu uwezo wake ni ktk siasa za kibabe sio ktk wizara ya fedha kwani hizo siasa za kibabe hazipo tena kwa nyakati hizi.
Akajiajiri tu kuluko kuongeza chuki kwenye tozo zisizo na maana zaidi ya kuonekana wizi na uonevu juu ya wanaongozwa
Anachojua ni kuongeza sifuri
 
Hujui Chochote hayo makodi na matozo yamesaidia nin nawakati Tanzania imerudi kwenye nchi maskin hayo matozo yamesaidia nin
Wewe ndio kiazi hujui chochote kwenye uchumi...

Kama hata hujui faida zake wewe si ni hasara Kwa Taifa sasa..

Tanzania ipi iliyorudi kwenye Nchi Maskini? Ulipata wapi hii ?
 
Sasa hivyo vitu ulivyoandika unalala na kuamka unavikuta? Havihitaji pesa?
Marekani ilikua na viwanda vingi lakin jiulize kwanin viwanda vilihamisha production kutoka marekani mpaka china sababu marekani waliweka makodi mengi zikapandisha production cost mwisho wa siku viwanda vikahamia china ambapo Kuna low cost of production

Africa ni bara lenye cheap labour lakin kwanin hakuna industrialization sababu mojawapo zipo nyingi ni uwepo wa Kodi nyingi na urasimu ambao upelekea kuwepo kwa Miata ya rushwa, ndo maana ni ngumu kwa wawekezaj kuja kufungua viwanda vikubwa Tanzania sababu ya uwepo wa makodi mengi na yanayozodi kuongeza kila uchwao
 
Wewe ndio kiazi hujui chochote kwenye uchumi...

Kama hata hujui faida zake wewe si ni hasara Kwa Taifa sasa..

Tanzania ipi iliyorudi kwenye Nchi Maskini? Ulipata wapi hii ?
Sawa mim nikiazi lakin Tanzania imerudi kwenye kundi la nchi maskin kwa lugha nyingine current strategy ya kuongeza Kodi na matozo ain't working hio ni facts
 
Kwasababu wao wanakula mema ya nchi atamjuaje mwenye njaa.
Tunalipia Fedha ya Miradi mikubwa tulijiingiza out of Bajeti.
1. Kuhamia Dom na Kujenga Mji
2. Miradi mikubwa ya Majengo ya Mifuko ya Jamii Dar ikikosa Matumizi na Wapangaji. Pita mjini Dsm count them.
3. Kupandisha per diem Kwa ajili ya Wateule Fulani Utumishi wa Umma kujineemesha.
4. Kugharamia Elimu Bure na mengineyo. Pesa hatoshi lazima tugawane kinachoingia Mkononi. Usisahau Wazee Wastaafu kupunjwa Mafao Yao ya Pensheni Ili Wafe Mapema pesa irudi
 
Marekani ilikua na viwanda vingi lakin jiulize kwanin viwanda vilihamisha production kutoka marekani mpaka china sababu marekani waliweka makodi mengi zikapandisha production cost mwisho wa siku viwanda vikahamia china ambapo Kuna low cost of production

Africa ni bara lenye cheap labour lakin kwanin hakuna industrialization sababu mojawapo zipo nyingi ni uwepo wa Kodi nyingi na urasimu ambao upelekea kuwepo kwa Miata ya rushwa, ndo maana ni ngumu kwa wawekezaj kuja kufungua viwanda vikubwa Tanzania sababu ya uwepo wa makodi mengi na yanayozodi kuongeza kila uchwao
Wewe kadiri Nchi zinavyochipua kiuchumi labor cost huwa inashuka ndio inapelekea investment kwenye hizo Nchi ambazo wewe unasema walihamisha..

Imekuwa hivyo toka Dunia hii imeanza na ndio maana ya ukoloni na utumwa sababu zilikuwa hizo hizo..

Kwa taarifa yako Huko China Nako labor cost zimeanza kupanda na pia ageing inawakabili the only way ni kuja Afrika..

So muktadha wa hoja yako hilo ndio jibu.
 
Sawa mim nikiazi lakin Tanzania imerudi kwenye kundi la nchi maskin kwa lugha nyingine current strategy ya kuongeza Kodi na matozo ain't working hio ni facts
Nani kairudisha? Ulitangaziwa na nani kwamba imerudi?

Ili irudi per Capita income lazima ianguke sasa haijawa hivyo.
 
Sasa hivyo vitu ulivyoandika unalala na kuamka unavikuta? Havihiaji pesa?
Kwa hiyo wewe pesa ndiyo tatizo..unafikiri sawa sawa kweli, hakuna kitu utapata bila kutumia pesa, lakin pesa siyo basic kwa mtu anayetumia akili kwa kiwango alichopewa na Muumba.
 
Wewe kadiri Nchi zinavyochipua kiuchumi labor cost huwa inashuka ndio inapelekea investment kwenye hizo Nchi ambazo wewe unasema walihamisha..

Imekuwa hivyo toka Dunia hii imeanza na ndio maana ya ukoloni na utumwa sababu zilikuwa hizo hizo..

Kwa taarifa yako Huko China Nako labor cost zimeanza kupanda na pia ageing inawakabili the only way ni kuja Afrika..

So muktadha wa hoja yako hilo ndio jibu.
Huyu ni mwiguru mwenyewe kaja kujibu kutetea tozo zake
 
Back
Top Bottom