Mwigulu Nchemba, kuongeza sifuri kwa mgongo wa tozo ni kuendeleza mateso kwa wananchi

Mwigulu Nchemba, kuongeza sifuri kwa mgongo wa tozo ni kuendeleza mateso kwa wananchi

Mambo mengi sana inayofanya serikali ni kama hayafanyiwi analysis inavyopaswa..tuliona wakati ule mtu anabuni vitambulisho vya machinga vya 20,000 havina picha, hakuna jina, hakuna jinsia nk..utaitaje hicho ni kitambulisho?

Sasa hivi hata haieleweki vimefia wapi..wizara yote ya fedha hata na benki kuu ni kama kumejaa wababaishaji tu, wako pale kulipwa mishahara tu na majigambo ya vyeti..lakini hakuna lolote, mkurugenzi mkazi wa WB 2015 aliwaambia serikali Tanzania ina mfumo mbovu kabisa wa kodi hapa africa, inazidiwa hata na Burundi..hapo ndio tulipo kila siku tozo, dawa ya hawa ni kufungua kesi mahakama hata ya africa kupinga huu ujinga w tozo zisizokuwa na kichwa wala miguu..

Pascal Mayala fungua kesi kupinga hizi tozo tutakulipa!
 
Kwa ujumla hata huko ccm kwenyewe hakuna watu wenye sharp mind kuleta solutions za matatizo ya nchi..na tatizo ni mfumo dhaifu wa ccm kuattract watu wenye uwezo kusaidia nchi..ccm kumejaa magarasa tu, ni hodari kwenye ufisadi.
Wakati wa bajeti mwigulu anasema eti ranchi zikatwe katwe vizimba wapewe graduates wa SUA watumie kwa kilimo..very poor strategy, ni kuharibu ranchi za nchi bure..mtu km anataka kulima tatizo si kupata eneo..maeneo yamejaa tele vijijini yako idle, halafu unapropose ranchi zikatwe wapewe watu kulima, ni kukosa akili kabisa! Popote unapowaweka watu km group wenye background tofauti hawawezi kufika popote, watafail tu.
 
Kwa ujumla hata huko ccm kwenyewe hakuna watu wenye sharp mind kuleta solutions za matatizo ya nchi..na tatizo ni mfumo dhaifu wa ccm kuattract watu wenye uwezo kusaidia nchi..ccm kumejaa magarasa tu, ni hodari kwenye ufisadi.
Wakati wa bajeti mwigulu anasema eti ranchi zikatwe katwe vizimba wapewe graduates wa SUA watumie kwa kilimo..very poor strategy, ni kuharibu ranchi za nchi bure..mtu km anataka kulima tatizo si kupata eneo..maeneo yamejaa tele vijijini yako idle, halafu unapropose ranchi zikatwe wapewe watu kulima, ni kukosa akili kabisa! Popote unapowaweka watu km group wenye background tofauti hawawezi kufika popote, watafail tu.
Hilo swala la ranch nilimdharau sana Dunia kote modern agriculture inafanywa na watu wachache wenye hela na wanaokopesheka mfano western world population inayojishughulisha na kilimo ni one percent

Kilimo Cha Tanzania ni subsistence kilimo kisichokua na tija yeyote alivyosema watu wapewe vihamba niwazi viongozi wetu hawana exposure
 
Mambo mengi sana inayofanya serikali ni kama hayafanyiwi analysis inavyopaswa..tuliona wakati ule mtu anabuni vitambulisho vya machinga vya 20,000 havina picha, hakuna jina, hakuna jinsia nk..utaitaje hicho ni kitambulisho?

Sasa hivi hata haieleweki vimefia wapi..wizara yote ya fedha hata na benki kuu ni kama kumejaa wababaishaji tu, wako pale kulipwa mishahara tu na majigambo ya vyeti..lakini hakuna lolote, mkurugenzi mkazi wa WB 2015 aliwaambia serikali Tanzania ina mfumo mbovu kabisa wa kodi hapa africa, inazidiwa hata na Burundi..hapo ndio tulipo kila siku tozo, dawa ya hawa ni kufungua kesi mahakama hata ya africa kupinga huu ujinga w tozo zisizokuwa na kichwa wala miguu..

Pascal Mayala fungua kesi kupinga hizi tozo tutakulipa!
Tanzania tunahitaji uhuru wa pili na watu wapya ni kama hawa waliopo wamekua corrupted hawawez kulitoa nchi hapa ilipo
 
Maendeleo nawakati inchi imerudi kwenye kundi la nchi maskin ni maendeleo yapi hayo unayoyaongelea
Sasa kutoka kwenye kundi la nchi masikini lazima watu walipe Kodi kuleta maendeleo ili kutoka kwenye kundi hilo au Wewe ndugu yangu una njia mbadala wa kuleta maendeleo pasi kulipa Kodi?
 
Sasa kutoka kwenye kundi la nchi masikini lazima watu walipe Kodi kuleta maendeleo ili kutoka kwenye kundi hilo au Wewe ndugu yangu una njia mbadala wa kuleta maendeleo pasi kulipa Kodi?
Sio kweli Kodi ipunguzwe wawekezaj waje kwa wingi watu waajiriwe output iwe kubwa tuuze nje ya nchi apo ndo mapato yataongezeka na kipato Cha mtazania kitaongezeka maradufu
 
Sio kweli Kodi ipunguzwe wawekezaj waje kwa wingi watu waajiriwe output iwe kubwa tuuze nje ya nchi apo ndo mapato yataongezeka na kipato Cha mtazania kitaongezeka maradufu
Mazingira ya uwekezaji Tanzania bado Sana mkuu tuna changamoto lukuki ni mwekezaji gani mjinga ambaye atakuja kuwekezi katika nchi ambayo hata kiongozi wake mkuu ukimuuliza anafuata falsafa gani ya Uchumi hajui,umeme shida,huduma za kijamii hovyo,rushwa,mataasisi ya kijinga jinga yamejaa serikalini nk
 
Kuwabebesha wananchi tozo na kodi nyingi sio suluhisho lenye tija la kuiongezea nchi mapato, ni kuendelea kuwatesa.

Mwigulu Nchemba anachojua ni kuongeza sifuri, hana ubunifu wowote ule. Kama akiendelea kufanya anayoyafanya sababu ndo mwisho wake wa kufikiri ulipofikia, atawatesa sana wananchi wa kawaida.

Ili nchi iendelee na iwe na wigo mpana wa mapato, inabidi itumie kati ya chaguo zifuatazo;-

Option 1
Colonialism na imperialism: Hili ni chaguo ambalo walitumia nchi za Ulaya kunyonya nchi nyingine na iliwafanikisha sana. Ila kwa sasa hivi huwezi kutumia colonialism tena, kwa hiyo Tanzania haiwez itumia hii option.

Option ya 2
Natural resources: Ili uendelee unatakiwa utumie rasilimali zako vizuri hio, ndo option ambayo wametumia nchi za kiarabu na imewafanikisha sana. Tanzania haina resources za kutosha kwa hiyo hii option ni ngumu kutekeleza.

Option ya 3
Higher and concecutive economic growth: Mfano, Tanzania ili iendelee na ipate mapato mengi na maendeleo ya haraka, inatakiwa iwe na economic growth ya 12-15% annual concecutive kwa mda usiopungua miaka 25. China ndiyo imetumia chaguo hili, lakin ukuaji wa uchumi wa sasa ambao ni kati ya asilimia 4-7 ni mdogo sana.
E0007CA6-0119-4CD2-8B3D-18D046D70BB8.jpeg
 
Wengine tunakwepa kodi lakini kodi ni lazima ilipwe hata misaada mnayopokea kutoka nje ni kodi za wananchi wao, kodi ilipwe rasilimali ya kwanza ya serikali ni watu wake ndio maana mnapewa mikopo vyuoni,
 
Hujui Chochote hayo makodi na matozo yamesaidia nin nawakati Tanzania imerudi kwenye nchi maskin hayo matozo yamesaidia nin
Huyo jamaa ni wale walamba asali wajinga.kazi yake kubwa uku mitandaoni nikupiga propaganda za kizamani akifikiri watu bado wako zama za giza.
 
Tatizo la nchi hii sio makusanyo au uhaba wa rasilimali bali ni ukosefu wa viongozi wanaojielewa.Waliopo ni wale wanaokariri maisha sio nje ya hapo ndo maana wakikwama hawawazi tofauti na kumrudia mwananchi nakumkamua huku wakiwa hawana akili yoyote yakuboresha maisha ya huyo mwananchi.Wananchi wengi wanajiangaikia wenyewe uku serikali ikitega mikono kusubiri kuchukua ata hicho kidogo.
 
Back
Top Bottom