Mwigulu Nchemba: Maskini Hakopi na Hakopesheki.Tunakopa Kwa sababu Tanzania ni Tajiri.

Kukatwa pesa kila ukituma pesa si ndio kugongewa huko?
 
Hivi wanavyokopa, bond huwa wanaweka nini kudhamini mkopo huo? Au ukisha default mkopeshaji anachagua apige nini mnada katika nchi?
 
Hujapowa tu ....una ka Infinix Kako unaanza kutupigia kelele za uchawa hapa
 
Yes tunawapa Maliasili zetu ambazo tumeshindwa kuzitumia kukuza uchumi wetu. Tunazitumia m
Maliasili kupata mikopo ambayo pamoja na kuwapa maliasili zetu wazivune kwa faida bado na mkopo tunalipa! kweli wajinga ndio waliwao. Tena huyu aache kuongea upumbafu, ni serikali hii hii, yeye akiwa waziri wa fedha wameshindwa kuendesha biashara ya mabasi ya mwendo kasi! Yani aache upumbafu kabisa.
 
Nimesikiliza kwenye hiyo video na nina wasiwasi sana kama anajua jinsi haya madeni yanavyo fanya kazi...Akili yake imegota... yaani ni mpaka mtui akugongee mrango ndio ujue unadaiwa... hizi akili za maprofesa wa wapi?
 
Nimesikiliza kwenye hiyo video na nina wasiwasi sana kama anajua jinsi haya madeni yanavyo fanya kazi...Akili yake imegota... yaani ni mpaka mtui akugongee mrango ndio ujue unadaiwa... hizi akili za maprofesa wa wapi?
Wewe unajua? Leta ujuaji wako hapa
 


Kiwango cha dharau kinachooneshwa na waziri Mwigulu kwa masikini hohe hae wa Tanzania ambao ni zaidi ya 25% kinastaajabisha sana
 
Deficit spending huyu mpumbavu asiye na akili " Miguu ya Chemba " anaropoka kusifia hali mbaya kama hiyo ,na malaymen maiti wa Tz wanakenua ,bila kujua implications za kuwa na big Government deficit spending na debt .
Hamna nchi ambayo imewahi kukuza uchumi wake na kukopa , ni akili za mpumbavu ndio huwaza kukopa ni solution ya kudumu ya matatizo ya kiuchumi yanayoikumba nchi .
Nchi zinatajirika kwa kuzalisha na kuuza zaidi , kufanya biashara na kuchochea sera nzuri zinazoongoza tija na kasi ya uzalishaji na kuimarisha vipato vya raia .
Mbwa kabisa Mwigulu na mataahira wenzake wanaoona anaongea point
 
Mwisho wa siku yanaishia kuongeza mzigo wa kodi za uporaji wa kijambazi kwa mwananchi na kuongeza umasikini katika jamii .
Ushenzi uliopitiliza
 
Ukiangalia bunge la Marekani mule kwenye senate na Congress wanavyoraruana kisa kuhusu matumizi ya serikali kwa kila sent inayotumiwa na federal government ya Marekani , halafu ukiangalia mkusanyiko wa nguruwe pori pale Dodoma katika nchi masikini na hopeless kama Tanzania wakiweka makalio yao na kujamba kwenye viti na kugonga meza mule bungeni kuidhinisha upuuzi , huwa napata hasira sana.
Huwa najaa jazba na Natamani nivae mabomu ya kujitoa mhanga niende kufanya massacre pale na kutokomeza ile mbegu ya ibilisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…