Mwigulu Nchemba sahau ile ndoto yako ya kutaka kuwa Rais Tanzania

Mwigulu Nchemba sahau ile ndoto yako ya kutaka kuwa Rais Tanzania

Stayfar

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
1,088
Reaction score
2,287
Mungu mkubwa na ni fundi sana,umepewa cheo kikubwa cha uwaziri wa fedha,ambao ki ukweli imetusaidia kukuelewa, wewe ni kiongozi wa aina gani. Ni Kiongozi wa hovyo na mwiba kwetu sisi Watanzania. Toka Umepata Uwaziri, Watanzania ni maumivu, kwa kila kitu kupandishwa kodi na vitu kupanda bei, Miamala haishikiki.

Hapo ni Waziri je ungekuwa Raisi ingekuwaje? Watanzania tungelia na kusaga meno.Una kauli za ubabe, eti unatumbia anayeona kodi ni nyingi ahamie Burundi.

Mwigulu tambua hicho cheo ni dhamana, huyo Mama anaweza kukufyatua wakati wowote. Watanzania wote kwa pamoja tupige mbiu, Mwigulu hafai hata ukatibu kata
 
Waziri anayebuni vyanzo vya mapato vinavyoondoa grease ya uchumi kwenye maisha ya mtu mmoja mmoja ni wakumuogopa kama ukoma.
 
Rais ajaye

images - 2022-08-20T083748.946.jpeg
images - 2022-08-20T083803.420.jpeg
 
Mwigulu asahau urais. Hata chama chake hakitaweza kumsimamisha. Ameshindwa kutumia busara kufucha ujinga wake.

Hatuwezi kurudia makosa
 
Ndoto iko pale pale baada ya 2030 tunaenda na Mwigulu bahati nzuri atakuwa na vitu vya kuonesha..

Hatutaki Marais wa kiswahili Swahili kama Mwendazake wa cheap politics bali Rais wa vitendo kama Samia na Mwigulu.
 
Shibe huwa ina kawaida ya kumsahau mwenye njaa
 
He has elements of a fvcking lunatic dictator.

He should never be considered for the high office.

Apaswa kuwa mnyampara tu.

Na asahau kuwa Mkulu.
 
Mungu mkubwa na ni fundi sana,umepewa cheo kikubwa cha uwaziri wa fedha,ambao ki ukweli imetusaidia kukuelewa...
Acheni unafiki Dr mwigulu yeye ni spika tu tafuteni nani mtoa sauti viroboto najua mmetumwa na hao wataka urais kumchafua mwigulu ivi kwa nchi hii kuna mtu anaweza kuenda au kutamka kitu ambacho rais hajakibariki kweli harafu rais akae kimya hahahahahahaha acha nicheke watanzania kwa nini hatupendi kushughulisha bongo zetu

Hawana wajinga wanatuletea maada ili kufanikisha ajenda za mabwana zao

1.kwanza walimulaumu sana Dr .Magufuli kwa kutoa siri nyingi za serikali kupitia tasisi yao ya KIGOGO kwa sasa kimyaaa hamjiulizi nani kaua iyo tasisi hahahahahahaha

2.walitengeneza matukio mengi kumchafua lakini walishindwa hadi walipoamua vinginevyo. Hahahaha

3. SASA wameanza kumchafua Dr mwigulu hahahahahahaha

Ebu tujalibu kuwa wakweli wanachoongea mawaziri ni matokeo ya kikao cha baraza la mawaziri na sio maamzi ya waziri. Ivo tuache kumchafua waziri mwigulu kama maamzi yake binafsi
 
Ndoto iko pale pale baada ya 2030 tunaenda na Mwigulu bahati nzuri atakuwa na vitu vya kuonesha..

Hatutaki Marais wa kiswahili Swahili kama Mwendazake wa cheap politics bali Rais wa vitendo kama Samia na Mwigulu.
Labda atakua Rais wa Burundi maana ndiko anakokutaja kila mara ila sio Tanzania.
 
Acheni upumbavu bana!

Kama Lowasa mlimdekia hadi barabara sembuse Mwigulu?

Ccm na viongozi wanafanya watakavyo sababu ya upumbavu wa watz
 
Acheni unafiki Dr mwigulu yeye ni spika tu tafuteni nani mtoa sauti viroboto najua mmetumwa na hao wataka urais kumchafua mwigulu ivi kwa nchi hii kuna mtu anaweza kuenda au kutamka kitu ambacho rais hajakibariki kweli harafu rais akae kimya hahahahahahaha acha nicheke watanzania kwa nini hatupendi kushughulisha bongo zetu

Hawana wajinga wanatuletea maada ili kufanikisha ajenda za mabwana zao

1.kwanza walimulaumu sana Dr .Magufuli kwa kutoa siri nyingi za serikali kupitia tasisi yao ya KIGOGO kwa sasa kimyaaa hamjiulizi nani kaua iyo tasisi hahahahahahaha

2.walitengeneza matukio mengi kumchafua lakini walishindwa hadi walipoamua vinginevyo. Hahahaha

3. SASA wameanza kumchafua Dr mwigulu hahahahahahaha

Ebu tujalibu kuwa wakweli wanachoongea mawaziri ni matokeo ya kikao cha baraza la mawaziri na sio maamzi ya waziri. Ivo tuache kumchafua waziri mwigulu kama maamzi yake binafsi
Je Ni sahihi mwanaume rijali kuchekacheka
 
Kauli yako ya muhamie Burundi si ya kubeza. Magufuli alikuwa anayasema haya haya ya "wapige mbizi kama hawawezi kulipa Sh. 200".

Tumeona na tumshuhudia alipopata kuwa Rais alivyokuwa dictator kuwahi kutokea Tanzania.

Watanzania, huyu Nchemba ni mtu hatari sana. Mkataeni kama mna akili kichwani!
 
Kauli yako ya muhamie Burundi si ya kubeza. Magufuli alikuwa anayasema haya haya ya "wapige mbizi kama hawawezi kulipa Sh. 200".

Tumeona na tumshuhudia alipopata kuwa Rais alivyokuwa dictator kluwahi kutokea Tanzania.

Watanzania, huyu Nchemba ni mtu hatari sana. Mkataeni kama mna akili kichwani!
Kwani magufuli alikuwa dictator?
 
Back
Top Bottom