Mwigulu Nchemba sahau ile ndoto yako ya kutaka kuwa Rais Tanzania

Mwigulu Nchemba sahau ile ndoto yako ya kutaka kuwa Rais Tanzania

Msijeshangaa mawe yamechorwa tena 2025 hahah
 
Kauli yako ya muhamie Burundi si ya kubeza. Magufuli alikuwa anayasema haya haya ya "wapige mbizi kama hawawezi kulipa Sh. 200".

Tumeona na tumshuhudia alipopata kuwa Rais alivyokuwa dictator kluwahi kutokea Tanzania.

Watanzania, huyu Nchemba ni mtu hatari sana. Mkataeni kama mna akili kichwani!
Mbio za urais 2025, Vijembe na vishoka.
 
Acheni unafiki Dr mwigulu yeye ni spika tu tafuteni nani mtoa sauti viroboto najua mmetumwa na hao wataka urais kumchafua mwigulu ivi kwa nchi hii kuna mtu anaweza kuenda au kutamka kitu ambacho rais hajakibariki kweli harafu rais akae kimya hahahahahahaha acha nicheke watanzania kwa nini hatupendi kushughulisha bongo zetu

Hawana wajinga wanatuletea maada ili kufanikisha ajenda za mabwana zao

1.kwanza walimulaumu sana Dr .Magufuli kwa kutoa siri nyingi za serikali kupitia tasisi yao ya KIGOGO kwa sasa kimyaaa hamjiulizi nani kaua iyo tasisi hahahahahahaha

2.walitengeneza matukio mengi kumchafua lakini walishindwa hadi walipoamua vinginevyo. Hahahaha

3. SASA wameanza kumchafua Dr mwigulu hahahahahahaha

Ebu tujalibu kuwa wakweli wanachoongea mawaziri ni matokeo ya kikao cha baraza la mawaziri na sio maamzi ya waziri. Ivo tuache kumchafua waziri mwigulu kama maamzi yake binafsi
Mku unataka kusema yale matukio ambayo viongozi wadini waliingilia kati mpaka Magufuli akasitisha Uwaziri wake pia alionewa kumbuka huyu ndugu anategeshewa uongozi ili achafuke.
Kama alichafuka kutokana na hayo matukio kwa nini hakujifunza tuseme tu kuwa huyu ndugu ujuaji unamponza sana.
Mfano
Kuna matukio mengine alitakiwa kujifunza tu mfano lile tukio la Chadema juu ya aliyekuwaga Mbunge Lwakatare.
Japokuwa mm ni ccm lakini kuna mambo ambayo watu wanayafanya unabaki kujiuliza hii ni nini je ni faida kwa nani.
Ninaamini Tuishi tu ila tusijifunze kuishi kwani tutaonekana bado
 
Alishaombewa na TB Joshua

Ndiye president ajaye

Anafuata nyayo za Dr Ruto
Hahaaaaa, Mzee wa mamvi naye aliambiwa ndiye ajaye.

Muda umepita, imegundulika kumbe naye alikuwa Nabii wa uwongo.

Mwigu anasubiri dodo chini ya mpera.
 
Mungu mkubwa na ni fundi sana,umepewa cheo kikubwa cha uwaziri wa fedha,ambao ki ukweli imetusaidia kukuelewa, wewe ni kiongozi wa aina gani. Ni Kiongozi wa hovyo na mwiba kwetu sisi Watanzania. Toka Umepata Uwaziri, Watanzania ni maumivu, kwa kila kitu kupandishwa kodi na vitu kupanda bei, Miamala haishikiki.

Hapo ni Waziri je ungekuwa Raisi ingekuwaje? Watanzania tungelia na kusaga meno.Una kauli za ubabe, eti unatumbia anayeona kodi ni nyingi ahamie Burundi.

Mwigulu tambua hicho cheo ni dhamana, huyo Mama anaweza kukufyatua wakati wowote. Watanzania wote kwa pamoja tupige mbiu, Mwigulu hafai hata ukatibu kata
Watu wa mara wasivyo na haya!!!!

Kuna jamaa akiwa anauliza swali amedokeza kuwa " Hata MAWE" na majabali Nchi nzima yanamjua mwigu ni nani"😃😃😃
 
Back
Top Bottom