wa marangu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 259
- 407
wa makaratasi ya kusoma sio wa maarifa na akiliMwigulu ni mchumi sio kilaza😅😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wa makaratasi ya kusoma sio wa maarifa na akiliMwigulu ni mchumi sio kilaza😅😅😅😅
wa makaratasi ya kusoma sio wa maarifa na akili
Hz habari za kuelekea 2025 zinatuchelewesha ww sema kinaweza kunuka muda wowote 2025 mbali sana mateso ni makubwa,aliyeshiba hamjui mwenye njaa.Mwigulu Nchemba, wafafanulie watanzania tofauti ya tozo na kodi. ( Makamu wa Rais aliyekuwa Waziri wa fedha asaidie kufa fauna).
Kuna uweze kano mkubwa wizara ya fedha ikachangia mpasuko mkubwa Kati ya serikali na wananchi hasa kuelekea 2025.
Way back then (2021), ilikuwa ni ngumu sana kumshauri Mwigulu Lameck Nchemba, jambo lolote juu ya sera za uchumi kwa kuwa ndio alikuwa ametoka kumaliza PhD.Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imesikia kilio na malalamiko ya wananchi wake kuhusu vipengele kadhaa vinavyohusiana na tozo.
Mfano wa mapendekezo hayo ni uwepo wa makato mara mbili kwenye miamala ya simu wakati wa kutuma na kutoa. Kupitia mkutano wake na waandishi wa habari amesisitiza kuwa muda si mrefu hatua stahiki zitachukuliwa.
Kuhusu tozo za benki, serikali itakaa na watoa huduma hiyo ili kujadiliana tena kwa mara nyingine.
Kuhusu kodi ya pango, waziri amebainisha kuwa mpangaji siyo mdaiwa bali yule mwenye nyumba hivyo haitawahusu wao. Hata hivyo ili kuondoa mgogoro kati ya wapangaji na mwenye nyumba, serikali itazingatia maoni ya watu waliopendekeza kuwaondoa wapangaji kwenye kadhia hii ili serikali idai moja kwa moja kwa wamiliki wa nyumba.
Waziri amekiri kuwa lengo la kodi hii (ya pango) ni zuri lakini kulikuwa na upungufu kwenye mkakati wa ukusanyaji wake hivyo wao kama serikali watajitathimini kuona wanafanyaje.
Huyu jamaa ni kila tafsiri ya neno kilaza. Hata sijui hiyo Phd aliipataje pataje. Ni mvivu wa kufikiria mpaka imekuwa kama ugonjwa.
Samia kama una chembe ya huruma iliyobaki ndani ya nafsi yako juu ya Watanzania naomba tuondolee huyu kiumbe. Kama ana ulazima wa kuwa waziri basi japo mpeleke wizara nyingine yeyote lakini sio hii ya fedha, imemuelemea. HAIWEZI.
Mi mwenyewe nawasubiria waje wanipekue.
Ila Tozo na ile "23% thing" Mwigulu kamwingiza Maza chaka
jamaa ana akili sana anajua wabongo tunalalamika bila kufanya chochote!! na Bimkubwa hawezi kumtoa maana matozo yake yanaijaza sirikali mapesa, swali la kujiuliza hayo mapesa yanaenda wapi barabara za vumbi ziimejaa kwenye majiji SGR inasuasua, Nyerere Dam hapaeleweki, umeme tangu Mwendazake aondoke mgao umerudi! hii serikali inaboa kinoma!
ila labda after 2 years tutampigia makofi miundombinu ikiisha!
The immediate victim is this "phd ya Uchumi" thing,Maza tutakutana naye 2025 akili zikitukaa sawa.Hapa ndio mnapokosea. Anamuingiza vip mama Chaka as if all decision zinatoka kwa Mwigulu. Hilo suala la TOZO linaanzia kwa Rais ambaye ndio Target .... hao wa chini ni kutekeleza maagizo . Nasema tena suala la TOZO the president must be held responsible in a very serious note .