Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karma !Ila kamkosea heshima Dr SSH.
Kwakweli hana hekima ! Ana lose temper haraka sana !!Huyu ni mtu mwenye kibri asiyependa kukosolewa wala kupewa mawazo tofauti na yake. Yaani akiendelea kuwa waziri mtajaniambia nimeketi palee.
Unyiramba mwingi mbele giza
Kwani Dr Samia kapewa,ebu tupishe kule Dr Samia kasota sana darasani.Uzi Huu auone Dokta Samia !!
Hiyo ilikuwa ya part time wala hakuchukuwa likizo kuisomea full time PhD nayo ni fake tuWaziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba akijibu hoja za Wabunge ndani ya Bunge amejitapa kuwa anajua anachokifanya maana PhD yake ni ya kusomea na siyo kupewa.
Namnukuu
'Hapa tunatisha tisha watu kwa ajili ya nini? Niwahakikishie, na wala hata siyo mbaya kwasababu hii siyo Honorary Doctor, nimeingia darasani. Mheshimiwa Rais Samia mbinu alizochukua, na vision aliyoweka kwenye masuala ya kiuchumi si ya kutiliwa mashaka''
----
Nadhani wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma halafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!