Mwigulu Nchemba: Udokta wangu sio wa kupewa, niliusomea

Mwigulu Nchemba: Udokta wangu sio wa kupewa, niliusomea

Huyu ni mtu mwenye kibri asiyependa kukosolewa wala kupewa mawazo tofauti na yake. Yaani akiendelea kuwa waziri mtajaniambia nimeketi palee.

Unyiramba mwingi mbele giza
Kwakweli hana hekima ! Ana lose temper haraka sana !!
 
Kwahiyo anamsema boss wake huyu naona kashauchoka huo uwaziri.
 
Huu uzi wauone madkatari wote wa heshima kuanzia Dokta Msukuma, Dokta Kikwete, Dokta Samia nk, pia wale madokta wa tiba mbadala kama vile Mwaka, Ndodi, Manyaunyau nk.
 
Lakini huyu jamaa pia anashindwa kutofautisha kati ya gathering knowledge through reading books and attending classes or lectures, understanding the knowledge and application of knowledge we call it wisdom.
 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba akijibu hoja za Wabunge ndani ya Bunge amejitapa kuwa anajua anachokifanya maana PhD yake ni ya kusomea na siyo kupewa.

Namnukuu
'Hapa tunatisha tisha watu kwa ajili ya nini? Niwahakikishie, na wala hata siyo mbaya kwasababu hii siyo Honorary Doctor, nimeingia darasani. Mheshimiwa Rais Samia mbinu alizochukua, na vision aliyoweka kwenye masuala ya kiuchumi si ya kutiliwa mashaka''

----
Nadhani wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!

Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.

Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar

Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma halafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!

Hiyo ilikuwa ya part time wala hakuchukuwa likizo kuisomea full time PhD nayo ni fake tu
 
But he did not stay in the class full time and there is no part time PhD in Tanzania that is questionable.
 
ANATAKIWA atumbuliwe ana dharau Sana kwa wananchi na rais kusoma tu hakukufanyia uwe kiongozi mjuwa yote
 
Back
Top Bottom