Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kusoma hana weledi kuhusu mambo ya fedha kiasi cha kua waziri wa fedha. Mtu usome masters na Phd huku uko kwenye public office kama waziri utakua umesoma kweli au kuna mtu kakusomea? Waziri wa fedha ni vizuri akawa na uzoefu kwenye mambo ya fedha na uchumi.Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba akijibu hoja za Wabunge ndani ya wabunge amejitapa kuwa anajua anachokifanya maana PhD yake ni ya kusomea na siyo kupewa.
Namnukuu
'Hapa tunatisha tisha watu kwa ajili ya nini? Niwahakikishie, na wala hata siyo mbaya kwasababu hii siyo Honorary Doctor, nimeingia darasani. Mheshimiwa Rais Samia mbinu alizochukua, na vision aliyoweka kwenye masuala ya kiuchumi si ya kutiliwa mashaka''
----
Nadhani wenye Udokta wa kupewa Sijui chuo kikuu Cha Dar, na wengine wote kwingineko, mmetuelewa vizuri !!
Kwa Jinsi ambavyo Wanawake wakipata Nyadhifa, Huwa hawapendi kuonekana hawafai?.
Mwigulu na Ufedha wake, Sijui Sijui, Mwanamke mwenyewe wa Zanzibar
Ila Kaka Mwigulu, Kuna kusoma halafu Kuna kukiweka kwenye vitendo kile ulichokisomea!!!
Wananchi wanataka udokta ama maisha bora?? Udokta apeleke huko iramba.Kijijini ama kwenye ukoo wao ndio wa kwanza hebu chunguza. Yaani from cowboy mpaka kuwa dokta sio mchezo. Ila angezaliwa akakutana kwenye Koo yake Kuna dokta Kama Mia nadhani angeiona kitu Cha kawaida
Me nimeanza mfungo kumwombea afike iramba salama. [emoji3]Mwigulu kachemsha kwa kauli yake hiyo. Tufunge siku 3 kumwombea maana kauli yake imemgusa hadi boss wake.
Huyu amekera wengi tangu kitambo si msukuma tu. Hata kuwajibu wananchi juu ya kodi ama tozofulan anaongea kama msemaji wa jeshi.Siku za Mwigulu madarakani zinahesabika
Kwa hili msukuma ningemwona ningemshika miguu. Shikamoo Professor Msukuma. [emoji3]Musukuma keshamvuruga Lameck, tulia mzee baba kuna watu wana uzoefu mkubwa wa kupanga mashambulizi, Musukuma yu miongoni mwao.
Hapo sasa. Yeye alikuwa anawalenga akina Msukuma akajisahau kuwa hata Boss wake yuko lile lile kundi la akina Msukuma ....!!Hana adabu, amemtukana hadi aliye mteua...
Hata huo urais wa iramba atausikia bombani.Kweli huyu bwana mdogo hana akili, hana busara wala werevu.
Wenzake walimsema kwenye platform nnje ya bunge.
Kwa nini na yeye asitafute platform kama huko jimboni kwake akawananga hao anaowaita wenye uwezo wa kujadili maswala ya waganga wa kienyeji!!??
Yaani anaona bungeni ndipo pa kujibizana viroja!!??
Halafu eti huyu anaota siku moja kuwa rais wa hii nchi!!!
Inajulikana litatua wapi. IkuluKazi kweli, katupa jiwe gizani. Sijuhi litatua wapi. Lakini unyenyekevu muhimu!!!
Pesa za mbolea wao wanazipeleka kujinunulia MaV Eighty....... Halafu badala ya kuwa wapole wanawafokea na kuwakejeli Wananchi.Wameenda kukopa zaidi ya kiwango kilichoruhusiwa na Bunge,
Magari ya wagonjwa zaidi 500 waliyoahidi kununuliwa Kwa pesa za MKOPO hayajulikani yalipo,
CAG ameripoti Symbion kulipwa bl 350 Yeye anasema Si Kweli na MATUSI juu.
Tutakutana tu pale filimbi ya Parade itapopulizwa.
Mkuu cm UNAYO TUMIA NI KAMA YANGU[emoji3][emoji3]INAKUSAIDIA KUANDIKAJamaa ana sifa huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]alunze kUli zake ,hii dunia