Mwigulu Nchemba: Udokta wangu sio wa kupewa, niliusomea

Mwigulu Nchemba: Udokta wangu sio wa kupewa, niliusomea

Watu wakianza kuhoji hadi udokta wako basi ujue kuna tatizo limeonekana pahala.
 
Mpeni Kimei !!
Tutafilisiwa jamani. Watajazana wao tu. Acheni Hawa jamaa walitakiwa wawe Kenya kule ambapo mwalimu mkisii hawezi fundisha kwa wakikuyu. Yaani wewe unatundisha ama unatibu kwenye kabila lako hapo hapo na inabidi ujisifie kabila lako mko juu
 
Mimi ushauri wangu bwana Madelu aweke thesis yake hadharani na watu waipitie ili awakomeshe vizabizabina kama Dr Musukuma
Akiweka atavuliwa nguo. Utakuta ni kama kurasa hata mia badala ya kitu kama mia tatu kwenda juu mbali na kutokidhi. Thesis zetu bado ni changa na ndogo ukilinganisha na North America ambako ni mzigo wa kazi za suluba kuikamilisha hiyo kitu. Ndiyo maana wanazivicha. Ni za hovyo na dhaifu by such implications
 
Uzuri wa bosi wake namaanisha yule mkubwa kabisa aliyemfikisha hapo huwa ana file lake na siku nyingi alishamblackmail na ndio maana hata alikubali kuwa mwanasesere awamu ya tano ili kumfanyia baadhi ya kazi zake, JPM masikini hakujua alizungukwa na mamluki kila kona na wengine hata huwadhanii.

Bosi wake mkubwa anaweza kumfanya chochote kile hata kumpumzisha pale Iramba na mwenyewe "analijua hili" akiitwa hata usiku wa manane kwenda kawe, urusino au pale Chad kwa soga haraka sana hata akiwa amevaa ndala.
 
Mbona ana udocta lakini matokeo ni sifuri Bora aliyepewa wa heshima kwakuwa kafanya yaliyonekana msikivu Mwenye huruma mashehewetu walisota jela wengine Kesi za ugaidi wengine kufungiwa account wengine kunyanganywa pesa mikutano rukusa anastahili udoctor hasa wa heshima kuliko huo wa makaratasi hata ukifa unabaki na makaratasi lakini wa heshima hudumu milele
Unajua lemira mzee baba??
 
Uzuri wa bosi wake namaanisha yule mkubwa kabisa aliyemfikisha hapo huwa ana file lake na siku nyingi alishamblackmail na ndio maana hata alikubali kuwa mwanasesere awamu ya tano ili kumfanyia baadhi ya kazi zake, JPM masikini hakujua alizungukwa na mamluki kila kona na wengine hata huwadhanii.

Bosi wake mkubwa anaweza kumfanya chochote kile hata kumpumzisha pale Iramba na mwenyewe "analijua hili" akiitwa hata usiku wa manane kwenda kawe, urusino au pale Chad kwa soga haraka sana hata akiwa amevaa ndala.
Duh !
 
Kweli huyu bwana mdogo hana akili, hana busara wala werevu.

Wenzake walimsema kwenye platform nnje ya bunge.
Kwa nini na yeye asitafute platform kama huko jimboni kwake akawananga hao anaowaita wenye uwezo wa kujadili maswala ya waganga wa kienyeji!!??

Yaani anaona bungeni ndipo pa kujibizana viroja!!??
Halafu eti huyu anaota siku moja kuwa rais wa hii nchi!!!
 
Unaweza kusoma na kusoma ukawa kama raisi Mugabe badala ya nchi kwenda mbele I arudi nyuma huku ukijitapa kwa elimu!!
Unaweza kuwa kama mzee karume elimu Hakuna lakini nchi yake ilikuwa inapiga hatua na maendeleo yalionekana kipindi chake
Na unaweza kuwa hujasoma ukawa na maendeleo yako binfis kama mbunge msukuma na bakresa
Bidii na busara na uadilifu muhimu
 
Wenye Doctorate halisi ni HAWA;

Dr Wilbroad Slaa, Charles KIMEI, Dr Bashiru Ally, Gwajima, nk

Hata uwasilishaji wao unaendana na data na research.

Lakini, Musukuma, Mwigu, nk Wana Doctorate za mambo ya asili.

Mwigu na wenzie nafasi zao zilitamatika tangu dec2022, viti vyao vi wazi, Bado tu nafasi zao kujazwa.
 
Tutafilisiwa jamani. Watajazana wao tu. Acheni Hawa jamaa walitakiwa wawe Kenya kule ambapo mwalimu mkisii hawezi fundisha kwa wakikuyu. Yaani wewe unatundisha ama unatibu kwenye kabila lako hapo hapo na inabidi ujisifie kabila lako mko juu
Hoja yako haina mashiko!!
 
Back
Top Bottom