Umevurugwa, nyambiti wewePumbavu we mpumbavu
Wewe mwenyewe uko boxed kwenye tenure ya governance ya miaka 5 badala ya kuangalia short and long term effects ya maamuzi kama haya...Siasa imeendelea kuumiza watanzania tangu uhuru mpaka leoYou may harm your brain, Tupigane tuimalizie miradi kwa namna yoyote ile no matter what,
Wako wanaopigana kukwamisha ili awamu ya sita ionekane inashindwa, Mwigulu chapa kazi.
Umesahau lingine mkuu, kuwa mikopo haiwahusu watanzania na hakuna mtanzania atakayegongewa mlango ili akalipe hilo deni.Tatizo lililopo ndani ya serikali ya Ccm ni kutuona Watanzania ni wajinga.
Kama wabunge wanaitwa waganga wa kienyeji na wana piga makofi unaona kuna bunge hapo kweli?
Badala ya kuomba muongozo wa spika kwamba wamedhalilishwa wao wana piga makofi.
Itakuja siku watatukaniwa mama zao bado wata piga makofi.
Au mtu ana simama na kujisifu ati Phd yake hakupewa ameisomea.
So what!!! Kwamba kwa Tanzania ni yeye pekee mtaalamu wa uchumi?
Yaani ni mambo ya aibu sana.
Huyu huyu jamaa alisha tuambia tuhamie Burundi, bado mamlakaya uteuzi ilikaa kimya kumuonya. Hivyo kichwa kina vimba.
Ifike mahali sasa tuseme inatosha.!!! Mamlaka ya uteuzi imuondoe akawajibu mahara zake haya majibu.
Wakiona miradi inakwenda kwa kasi ya ajabu wanachanganyikiwa. Reli inakwenda, bwawa la Mwalimu Nyerere, daraja la jpm, yaani timu Jiwe wamevurugwa kabisa, walijua mama atakwamaYou may harm your brain, Tupigane tuimalizie miradi kwa namna yoyote ile no matter what,
Wako wanaopigana kukwamisha ili awamu ya sita ionekane inashindwa, Mwigulu chapa kazi.
Wapo watu wanaumia kweli kwa miradi kusonga mbele, nathubutu kusema serekali yetu ipo vitani katika kumaliza miradi hii, Vita haina macho, wakati mwingine katika Vita ustaarabu unawekwa pembeni.Wakiona miradi inakwenda kwa kasi ya ajabu wanachanganyikiwa. Reli inakwenda, bwawa la Mwalimu Nyerere, daraja la jpm, yaani timu Jiwe wamevurugwa kabisa, walijua mama atakwama
Magoli watahamishia kwingine, kama wizara inakopa 300bln ili kuendesha semina watashindwa kutamka lolote.Nakuhakikishia baada ya miradi hii kuisha, ministry of finance will breath, na sidhani tena kama kutakuwa na uwehu wa kuanzisha miradi mingi mikubwa ya matrilions.
Wangepunguza costs zinazosababishwa na distance basi, mfano mizigo ya Zambia badala ichukuliwe Dar ingefikishwa bandari kavu ya Moro...Naona kama ni visingizio zaidi...I assured you, yote yameshaangaliwa kwa kina, usafiri huu bila kubeba mizigo ni hasara kubwa sana, mfano dar-Moro, imahesabu ilishaoyesha hasara, na ndio sababu za kupambana na gateway njia za kutoka nje ya nchi, same to Kenya passenger SGR failure! Bila mizigo ni hasara.
Tuna kazi moja mbele yetu kupigana na hatimaye kuhakikisha miradi iliyopo mbele yetu inakamilika kwa 100%,toka asilimia 15-18%,wakati tulipoipokea miradi hii.Kuna maswali na mada za muhimu Bunge linapotezea.
Mwigulu hajibu maswala ya maana
Mmesasahau wewe na CCM mlisema mmepata msaada wa pesa za kupambana na Uviko na mkadai zimeelekezwa kujenga madarasa nchi nzima?
Sasa kwa nini uchukue tril 1 kutoka foreign reserve na uitumie kujengea madarasa ili hali madarasa yalishajengwa kwa pesa za Uviko?
Tupe majibu watanzania
Sio kwamba wanatuona sisi niwajinga. Sisi ñiwajinga kweliTatizo lililopo ndani ya serikali ya Ccm ni kutuona Watanzania ni wajinga.
Kama wabunge wanaitwa waganga wa kienyeji na wana piga makofi unaona kuna bunge hapo kweli?
Badala ya kuomba muongozo wa spika kwamba wamedhalilishwa wao wana piga makofi.
Itakuja siku watatukaniwa mama zao bado wata piga makofi.
Au mtu ana simama na kujisifu ati Phd yake hakupewa ameisomea.
So what!!! Kwamba kwa Tanzania ni yeye pekee mtaalamu wa uchumi?
Yaani ni mambo ya aibu sana.
Huyu huyu jamaa alisha tuambia tuhamie Burundi, bado mamlakaya uteuzi ilikaa kimya kumuonya. Hivyo kichwa kina vimba.
Ifike mahali sasa tuseme inatosha.!!! Mamlaka ya uteuzi imuondoe akawajibu mahara zake haya majibu.
Babu umekariri jamaa hajakosea ni mojawapo ya malengo ya kutunza hizo fedha.Duh babu umesomea uchumi wapi mkuu ,Ni vyema Kama hujui kitu kaa kimya tu mkuu usimdanganye bery.... Unaumbuka Sana kaka
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tuliambiwa tozo zitalipia wanafunzi wa vyuo vikuu lkn muulize jirani yako mwenye mkopo walau wa %80Hayo madarasa na vyoo yamesingiziwa sana awamu hii.
Kila pesa inayochukuliwa tunaambiwa ni kwa ajili ya madarasa na vyoo.
IMF, World Bank, Uviko, tozo, jamani.
Jaribuni kuwa na kumbukumbu basi.
Hata za TOZO tuliambiwa zinajenga madarasaMmesasahau wewe na CCM mlisema mmepata msaada wa pesa za kupambana na Uviko na mkadai zimeelekezwa kujenga madarasa nchi nzima?
Sasa kwa nini uchukue tril 1 kutoka foreign reserve na uitumie kujengea madarasa ili hali madarasa yalishajengwa kwa pesa za Uviko?
Tupe majibu watanzania