Hata bomu la Soweto alikana wakati yeye ndie alisuka mradi wote wa mauaji
kwa waliosoma ICT ni rahisi sana kuprove otherwise
kuna IP adress,codes nk ambazo zikitumika zitabainisha ukweli wa kilichoandikwa katika email na ulichokanusha
so Mwigulu u better watch out kwani dunia ya leo ni ya kiteknolonia zaidi na sio ya kuaminishwa kila tunaochoambiwa
bila kutafuta evidence
...Kuna procedure ya prove the authenticity of electronic communications...yapo mambo kama information security ndani yake tutajua confidentiality, integrity and availability.. tutacheki pia hiyo emails uliandika wewe, eno gani,tarehe gani muda gani.ip adress ipi, ukaituma kwa nani saa ngapi,akaipokea saa ngapi,na receiver ni nani mwenye ip address gani,eneo gani,muda gani nk
watu wana keys na codes za kufungua mitandao sembuse wame hark mitandao ya FBI,NSA ya marekani watashindwa kuingia kwenye yahoo wakajua hizo communication zako? mbona easy to kujua Mwigulu?
lau kama huhusiki ya nini kuja JF kutaka huruma za wanaJF?
kwa nini usikae kimya tu wananchi tukajua ukweli???
"Kumezuka vijana ndani ya chama chetu ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza na kusema uongo kwa malengo wanayojua wao" ZZK
Hivi kwanini Polisi hawamshughulikii Mwigulu kwa haya yote..
Nataka kukuambia hakuna kitu!!! Upuuzi tu wa watu hapa eti na mtu na akili zake analeta sms kwenye thread anasema uthibitisho. Hivi wabongo tumerogwa? kwa nini tunajifanya tunajua kila kitu hali tukiwa wengine hatujui kila kitu? Nasema hivi hakuna kitu,evidence zenu mnazoweka kwenye hizi thread zinazohusiana na electronic correspondences hazina chepe ya kukubalika mahakamani au as cyber evidence. Ni kwamba mnajitungia upuuI wenu, mnajifurahisha wenyewe!
Tunashukuru thread imetoka kifungoni baada ya maombi yetu!
wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia
kuna watu ni mahiri kwa utunzi wa hadithi kama hawa makamanda wa CHADEMA, haiingii akilini mtu unayeonana nae kila mara bado umwamndikie email, ambapo mnaweza onana mda wowote na kujadili,
"Kumezuka vijana ndani ya chama chetu ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza na kusema uongo kwa malengo wanayojua wao" ZZK
Nchemba, nafahamu kuwa PhD thesis yako ilikuwa ikiandikwa na Adolf Mkenda - chapter kwa chapter - akiwa ni mbadala wako; tafadhali tufahamishe iwapo umekwishaajiri mhadhiri mwingine baada ya Mkenda kuteuliwa Naibu KM-MoFEA.
Maneno mazito kwa vifaranga na mama yao
Yawezekana upeo wangu juu ya masuala ya uchunguzi,kesi ni mdogo. Katika hili naamini Nchimbi na Jeshi la polisi wana majibu kwa huu utetezi wa Mwigulu. Ikiwa Mwigulu umekili kuwa hujawahi kuripoti popote juu ya mtu/watu kufungua barua pepe ya uongo kwa jina lako na wakamatwe, polisi imetumia grounds zipi kumuita Ben na kumuhoji kama hakuna pande ya victim(s) iliyopeleka malalamiko? So far wewe umekana kutotoa ripoti/malalamiko polisi,does this mean Nchimbi ndiye aliyepeleka taarifa hadi Ben kuitwa? (Naamini polisi hawawezi kuwa na dhamira ya kumuhoji mtu ikiwa hakuna upande wa pili ulio file a complain(s)). Je ni kweli Ben aliwahi kukutumia sms juu ya uwepo wa mawasiliano hayo ya e-mail ila hukuwahi kujibu? What is the motive behind leo ndiyo unajitokeza kukanusha JF badala ya kuchukua utaratibu wa kisheria juu ya mtu/watu unaodai wamegushi e-mail yako? (Kwa nafasi yako katika jamii naamini taratibu za kisheria ndiyo njia sahihi kuliko hapa JF).
Kwa nini your 'saga mate' Nchimbi (aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani) yupo kimya? Is it because kivuli cha uwaziri alichokua anatumia kufanya maovu (kama kweli) hakipo tena?!
Yapo mambo mengi ya kusikitisha ambayo yanahusu mtu/watu/chama kuhusika na mikakati hasi dhidi ya mtu/watu/chama kingine,umekua 'ukijitokeza kuwajua wahusika' ila dhamira ya kusimamia/kuweka wazi ushahidi wako huwa unapotelea hewani.
How did it go with ushadi kuwa mlipuko wa soweto chama pinzani kinahusika? Ule wimbo wa kuwa unawajua wahusika uliishia ubeti wa ngapi? Suala la Lwakatare je,where is the valid evidence before the court?
Kutajwa tajwa katika matukio hasi ya kimkakati ya kisiasa si ishara nzuri kwako (iwe ni kweli au si kweli).
I bet ukweli una njia yake ya kuja. Wish you lucky na supp wa your Phd.
Mkuu kwanini hamkukanusha tangu mwanzo? Ben anasema aliwatumia hadi sms ili mkanushe lakini bado hamkufanya lolote huku habari zikisambaa kwa kasi.
Uzushi wenye tuhuma nzito kama zile si za kukaa kimya na ukimya wenu umefanya wengine tuanze kuamini! Kwanini kanusho liwe sasa?
polisi hatufanyii kazi majungu ya mtaanh na kama kuna mtu anamashtaka alete kwetu jf sio polis
Mkuu tuko pmoja, tunajuwa vijana wengi makanjanja wanatumika kutengeneza emailfake,facebook akaunti fake kwa adhumuni ya siasa za majitaka, Wewe jenga chama.....simamia serikali Waache waweweseke kwani Wananchi wameshajuwa ukweli na sasa CCM imeaminika..................Mary Christmass and Happy new year 2014.