Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Hata bomu la Soweto alikana wakati yeye ndie alisuka mradi wote wa mauaji

Magamba ni waongo by nature, so kuamini neno lao ni sawa na kupiga kwenzi ncha ya mkuki au kukumbatia nyuki, let them perish, they have done enough harm for the owner to see.
 
mwigulu kamwe siwezi kukuita mh. ww ni muaji na mzandiki, kama kuna msomi AMBAYE tunaomboleza siku ZOTE kwa kuwa kama maiti ni ww MWIGULI, BADO NA wasiwasi sana NA akili ya watu waliokuchagua pamoja na chama kilichokupitisha, SHAME UPON YOU THE KILLING GANGSTER UNDER CCM SPONSORSHIP,DAMU YA WATZ ITAKUFUATA MILELE
 
kwa waliosoma ICT ni rahisi sana kuprove otherwise
kuna IP adress,codes nk ambazo zikitumika zitabainisha ukweli wa kilichoandikwa katika email na ulichokanusha
so Mwigulu u better watch out kwani dunia ya leo ni ya kiteknolonia zaidi na sio ya kuaminishwa kila tunaochoambiwa
bila kutafuta evidence
...Kuna procedure ya prove the authenticity of electronic communications...yapo mambo kama information security ndani yake tutajua confidentiality, integrity and availability.. tutacheki pia hiyo emails uliandika wewe, eno gani,tarehe gani muda gani.ip adress ipi, ukaituma kwa nani saa ngapi,akaipokea saa ngapi,na receiver ni nani mwenye ip address gani,eneo gani,muda gani nk
watu wana keys na codes za kufungua mitandao sembuse wame hark mitandao ya FBI,NSA ya marekani watashindwa kuingia kwenye yahoo wakajua hizo communication zako? mbona easy to kujua Mwigulu?
lau kama huhusiki ya nini kuja JF kutaka huruma za wanaJF?
kwa nini usikae kimya tu wananchi tukajua ukweli???

I hope this coment itamfungua Mwigulu akili.
 
alikuwa anasubiri NCHIMBI atenguliwe uwaziri ,,,,,,duuuuuh bad timing
 
Nataka kukuambia hakuna kitu!!! Upuuzi tu wa watu hapa eti na mtu na akili zake analeta sms kwenye thread anasema uthibitisho. Hivi wabongo tumerogwa? kwa nini tunajifanya tunajua kila kitu hali tukiwa wengine hatujui kila kitu? Nasema hivi hakuna kitu,evidence zenu mnazoweka kwenye hizi thread zinazohusiana na electronic correspondences hazina chepe ya kukubalika mahakamani au as cyber evidence. Ni kwamba mnajitungia upuuI wenu, mnajifurahisha wenyewe!

Prove the opposite then ili tujiridhishe kuwa "wanajifurahisha"
 
Mkuu, mrudie Mungu na tubu dhambi zako. Watakuja wakuache peke yako ukiubeba Msalaba. Chezea watoto wa Mujini!
wewe kila kitu unachoambiwa unameza tu kama dodoki? una ushahidi wa mambo hayo unayoongea? tumia akili usiwe unameza kila uzushi unaousikia
 
kuna watu ni mahiri kwa utunzi wa hadithi kama hawa makamanda wa CHADEMA, haiingii akilini mtu unayeonana nae kila mara bado umwamndikie email, ambapo mnaweza onana mda wowote na kujadili,

huenda hajawasiliana nae kweli na atoe sababu zenye kuspecify hayo ila la kusema mtu nipo nae mda woote ni sababu ya kipuuzi, wengi au wachache mnaweza kukubaliana na mimi! Ni mara ngapi watu tunakuwa nao ofisini na tukiwa majumbani twatumiana email sembuse kwa kiongozi! It doent click my mind
 
Nchemba, nafahamu kuwa PhD thesis yako ilikuwa ikiandikwa na Adolf Mkenda - chapter kwa chapter - akiwa ni mbadala wako; tafadhali tufahamishe iwapo umekwishaajiri mhadhiri mwingine baada ya Mkenda kuteuliwa Naibu KM-MoFEA.
 
Nchemba, nafahamu kuwa PhD thesis yako ilikuwa ikiandikwa na Adolf Mkenda - chapter kwa chapter - akiwa ni mbadala wako; tafadhali tufahamishe iwapo umekwishaajiri mhadhiri mwingine baada ya Mkenda kuteuliwa Naibu KM-MoFEA.

Mungu wangu....Halafu anajiita msomi...Anaandikiwa Thesis...?

Cc: Mwigulu Nchemba
 
Last edited by a moderator:
Mwigulu malipo ni hapa hapa duniani,kuwa ccm usijione ndo umefika sana na kufanya lolote unalotaka kulifanya,kuna tuhuma nyingi sana juu yako
1.Ugaidi fake wa Lwakatare
2.Mlipuko wa mabomu soweto na
3.Hili la kifo cha mvungi
ukweli utajulikana tu,ccm imeundwa na watu ipo siku itakufa na kukuacha ukisimama wewe kama wewe,ndipo utakapojua kuwa watu wana hasira na wewe. --------- bila kujua,siku yamegeuka utashangaa watu wote walio karibu na wewe watakugeuka.
 
Maneno mazito kwa vifaranga na mama yao

Muokoeni Mwigulu amejivua nguo mwenyewe...Aibu iliyoje...Kwabahati mbaya inaelekea hata nyinyi wenyewe mnajua maovu yake ndio maana hamuonekani hapa kuja kumtetea....
 
uko sawa mkuu
Mwigulu alidhani bado tupo karne ya wadanganyika hatujui kuhoji.
wanasema silence is the best answer bora angekaa kimya
Thread yake inadhihirisha hakujipanga katika kueleza kilichotokea
amezoea kusema lolote bungeni bila ushahidi hapa JF nako anakuja na mada zake bila kufahamu kuna wataalamu na wanataaluma makini......
maswali yote uliyouliza yanatupa mashaka kama hajashiriki.....
polisi hawajakurupuka kumuita Ben kuna mtu alifile complaints either yeye au Nchimbi lengo ni kutaka kujisafisha.............
Ben cannot be held liable, He is not the author of the said email
He is not the one who transmitted the document via JF and other social medias
His previous post in JF alisema kabisa ameitoa wapi na hakuwataja moja kwa moja wahusika ila alisema wahusika wana majina yanyofanana na yaliyopo kwenye hiyo email
wanachotakiwa polisi ni kumtafuta alieipost mara ya kwanza but kwa upeo wao na uhaba wa vifaa sidhani kama wataweza kujua lolote.

The author of the said email can prove to us how he/she was able to capture such communication na pia wahusika waliotajwa wakamatwe watuambie content ya hizo email zilikuwa na lengo gani.....
kwa vile nchi yetu haina utawala wa sheria wataachwa hivo hivo,Ingekuwa nchi za wenzetu wangeshakamatwa....

Yawezekana upeo wangu juu ya masuala ya uchunguzi,kesi ni mdogo. Katika hili naamini Nchimbi na Jeshi la polisi wana majibu kwa huu utetezi wa Mwigulu. Ikiwa Mwigulu umekili kuwa hujawahi kuripoti popote juu ya mtu/watu kufungua barua pepe ya uongo kwa jina lako na wakamatwe, polisi imetumia grounds zipi kumuita Ben na kumuhoji kama hakuna pande ya victim(s) iliyopeleka malalamiko? So far wewe umekana kutotoa ripoti/malalamiko polisi,does this mean Nchimbi ndiye aliyepeleka taarifa hadi Ben kuitwa? (Naamini polisi hawawezi kuwa na dhamira ya kumuhoji mtu ikiwa hakuna upande wa pili ulio file a complain(s)). Je ni kweli Ben aliwahi kukutumia sms juu ya uwepo wa mawasiliano hayo ya e-mail ila hukuwahi kujibu? What is the motive behind leo ndiyo unajitokeza kukanusha JF badala ya kuchukua utaratibu wa kisheria juu ya mtu/watu unaodai wamegushi e-mail yako? (Kwa nafasi yako katika jamii naamini taratibu za kisheria ndiyo njia sahihi kuliko hapa JF).
Kwa nini your 'saga mate' Nchimbi (aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani) yupo kimya? Is it because kivuli cha uwaziri alichokua anatumia kufanya maovu (kama kweli) hakipo tena?!
Yapo mambo mengi ya kusikitisha ambayo yanahusu mtu/watu/chama kuhusika na mikakati hasi dhidi ya mtu/watu/chama kingine,umekua 'ukijitokeza kuwajua wahusika' ila dhamira ya kusimamia/kuweka wazi ushahidi wako huwa unapotelea hewani.
How did it go with ushadi kuwa mlipuko wa soweto chama pinzani kinahusika? Ule wimbo wa kuwa unawajua wahusika uliishia ubeti wa ngapi? Suala la Lwakatare je,where is the valid evidence before the court?

Kutajwa tajwa katika matukio hasi ya kimkakati ya kisiasa si ishara nzuri kwako (iwe ni kweli au si kweli).

I bet ukweli una njia yake ya kuja. Wish you lucky na supp wa your Phd.
 
Mkuu kwanini hamkukanusha tangu mwanzo? Ben anasema aliwatumia hadi sms ili mkanushe lakini bado hamkufanya lolote huku habari zikisambaa kwa kasi.

Uzushi wenye tuhuma nzito kama zile si za kukaa kimya na ukimya wenu umefanya wengine tuanze kuamini! Kwanini kanusho liwe sasa?

tatizo lenu nyie watoto wa chadema mnamuona BEN SAA8 kama mtu muhimu sana. huyu dogo ni mburula tu mtumwa wa mbowe, he is ready to do anything to please his master(what a slave!!!)
wamefanya lililo sahihi kabisa kutokujibu sms yake kwani ukiwa SIMBA DUME NYIKANI HUTAKIWI KUGUTUSHWA NA KELELE ZA PANYA.
ujinga wenu mnaoufanya unafanya vijana wa kitz kuonekana wajinga na kuwa hawako tayari kiungozi mbele ya wenzetu wa nchi jirani.
hata kama kauli ya nchemba haina ukweli wa 100%, lakini ninashawishika kuiamini na nina wasiwasi BEN SAA 8 is behind all this.
ujumbe wangu kwako BEN, evil plans can carry only those who are foolish(na wamejaa tele chadema),but for those with proper/well packed brains, you are making a wonderfull bwatboy out of yourself
 
Mkuu tuko pmoja, tunajuwa vijana wengi makanjanja wanatumika kutengeneza emailfake,facebook akaunti fake kwa adhumuni ya siasa za majitaka, Wewe jenga chama.....simamia serikali Waache waweweseke kwani Wananchi wameshajuwa ukweli na sasa CCM imeaminika..................Mary Christmass and Happy new year 2014.

Njaa ni kitu kibaya mary ndo nini!!
 
Back
Top Bottom