Mkuu, mrudie Mungu na tubu dhambi zako. Watakuja wakuache peke yako ukiubeba Msalaba. Chezea watoto wa Mujini!
View attachment 128467
Kazi ndogo sana hiyo Mwigulu Nchemba, network ya yahoo ni ya wamarekani, utaalamu wa kubaini mbivu na mbichi viashiria vya email hiyo tuwaambie FBI hapo utaomba dunia ifunuke ikufiche, unacheze watanzania wakati mitandao tutumiayo server iko kwao wamarekani usikoweza kutia pua yako, watakuhakikishia hata chombo kilichotumiaka katika mawasiliano kinamilikiwa na nani. Unachezea usichokijua wa walioendelea katika tekinolijia.
Vijana wa chadema wanapenda sana kujitafitia umaarufu usio na tija hili waandikwe kwenye magazeti au waende jela hili wawe maarufu kama anavyo fanya lema kila leo anafanya vurugu hili kupata u maarufu.
Ana kazi nyingi sana! Kutembeza aliyemwagia yeye mwenyewe tindikali, kung'oa kucha, kuimarisha ccccccm, aombewe ashindweMwigulu Nchemba,
-Nilichoulizwa Polisi mbele ya mwanasheria wangu ndicho nilichoripoti.
-Sasa kama una updates nyingine it's none of my business
-Pia kumbe kuna vijana waliojitaja kuwa wameingilia mawasiliano?Sasa kulikua na haja gani ya Jeshi la polisi kuniita kama wapo vijana wa aina hiyo ?Unasema watakua wameitwa tu kwa kutengeneza email fake za viongozi bila malalamiko?
-Pia barua pepe hizi zilisambaa kwa kasi kwenye mitandao hata kwenye Thread yako uliyoanzisha tarehe 26.11.2013 .Hukutoa ufafanuzi
-Thread ilipoanzishwa ili utoe ufafanuzi ulikaa kimya now one month.Nilikutumia SMS utoe Ufafanuzi maana watu wataamini ni ukweli.Ukakaa kimya.
-Nilishtuka sana waliponiuliza ulipata wapi password ya Nchimbi.Pia niwasaidie kumjua aliyeweka Jamiiforums na kwenye mitandao.Na pia lengo langu la kuanzisha thread (Ku-recreate kwa maneno yao)ni nini?
-Sasa polisi niliwaambia wao watafute ni nani aliingilia mawasiliano hayo ambayo tulikubaliana ni kinyume cha sheria.Pia watafute chanzo na sehemu ambazo mawasiliano hayo yalipita maana lengo la kuanzisha thread kwa kufanya Copy and Paste ya kilichokua kinazunguka ni kuhakikisha wahusika ambao majina yanayofanana na ya Nchimbi na Mwigulu walitakiwa kutoa ufafanuzi na wewe ulikua online.Thread ilianzishwa at 13:51 na kisha masaa matatu baadae nikaona kimya kimezidi nikakutumia SMS wewe na Nchimbi ambao majina yanayofanana na yenu yalihusishwa .Niliwatumia SMS masaa 3 baadae exactly.Nitaiweka hapa na hata polisi niliwaonyesha kwa kuwa bado ipo ndani ya simu yangu na nilishaichapisha
Polisi walisema pia bado watamhoji Mhe. Nchimbi.Sijui kwanini so far haujahojiwa na Polisi
"Ben,Look at you.!"-By,Mwigulu Nchemba. (Sijui unamaanisha nini)
SMS niliyotuma ni hii
" Hon'ble Nchimbi,
Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.
Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane
CC:Mwigulu '"
Vijana wa chadema wanapenda sana kujitafitia umaarufu usio na tija hili waandikwe kwenye magazeti au waende jela hili wawe maarufu kama anavyo fanya lema kila leo anafanya vurugu hili kupata u maarufu.
Mkuu mwambie huyu jamaa! Mambo ya mjini hayajui kabisa. Afterall hata ukimsikiliza kwa makini maneno yake utagundua ni cheo tuu kinachomsaidia ila maneno yake yanajionyesha UMJINI haujamwingia sawasawa hivyo KUINGIZWA MJINI HUYU ni swala la sekunde tuu.
Vijana wa chadema wanapenda sana kujitafitia umaarufu usio na tija hili waandikwe kwenye magazeti au waende jela hili wawe maarufu kama anavyo fanya lema kila leo anafanya vurugu hili kupata u maarufu.
Ndugu zanguni,
Siku hizi imekuwa ni kama kawaida kwa viongozi wa chadema kufanya vurugu ili wakamatwe waswekwe ndani halafu magazeti nchi nzima yawaandeike na kuweka picha zao ili wapate huruma na umaarufu kutoka kwa jamii
Tabia hii sasa naona imeanza kutumiwa na vijana wadogo wa chadema ambao nao wanatafuta umaarufu kwa nguvu zote na wameona inalipa sana kutupwa ndani .
Ben Saa nanane ni mmoja wa vijana hawa.
Kafanya upuuzi halafu kaitwa polisi kuhojiwa basi mara moja karuka kupost kila kona kuwa kahojiwa na polisi na kawajibu ajuavyo.
Mimi nadhani ni wakati jeshi la polisi lifikishe mwisho upuuzi huu kwani itafikia kipindi hata kunguni nao watajipeleka polisi ili waandikwe magazetini na mitandaoni kwani wameona wengine wakifanya hivyo ndio wanapata enough publicity.
Siasa sio utoto, siasa sio taarab.
Upuuzi huu mwisho wake sio mzuri.
Nawashauri wanaotumia siasa za namna hii kuwa wanayofanya ni makosa ya jinai na iko siku yatawafikisha jela na tutawasahau kama tulivyomsahau ludovick
JITAMBUE!
watu wanabumba email..dah mfano.cc.ben
tatizo lenu nyie watoto wa chadema mnamuona BEN SAA8 kama mtu muhimu sana. huyu dogo ni mburula tu mtumwa wa mbowe, he is ready to do anything to please his master(what a slave!!!)
wamefanya lililo sahihi kabisa kutokujibu sms yake kwani ukiwa SIMBA DUME NYIKANI HUTAKIWI KUGUTUSHWA NA KELELE ZA PANYA.
ujinga wenu mnaoufanya unafanya vijana wa kitz kuonekana wajinga na kuwa hawako tayari kiungozi mbele ya wenzetu wa nchi jirani.
hata kama kauli ya nchemba haina ukweli wa 100%, lakini ninashawishika kuiamini na nina wasiwasi BEN SAA 8 is behind all this.
ujumbe wangu kwako BEN, evil plans can carry only those who are foolish(na wamejaa tele chadema),but for those with proper/well packed brains, you are making a wonderfull bwatboy out of yourself
Haya maneno yako yananiuma sana, zaidi kwa vile mimi ninakufahamu wewe binafsi. Buku saba ziskufanye upoteze utu na ubinadamu wako. Ingekuwa vizuri ukaacha hiyo ajira laana
uko sawa mkuu
Mwigulu alidhani bado tupo karne ya wadanganyika hatujui kuhoji.
wanasema silence is the best answer bora angekaa kimya
Thread yake inadhihirisha hakujipanga katika kueleza kilichotokea
amezoea kusema lolote bungeni bila ushahidi hapa JF nako anakuja na mada zake bila kufahamu kuna wataalamu na wanataaluma makini......
maswali yote uliyouliza yanatupa mashaka kama hajashiriki.....
polisi hawajakurupuka kumuita Ben kuna mtu alifile complaints either yeye au Nchimbi lengo ni kutaka kujisafisha.............
Ben cannot be held liable, He is not the author of the said email
He is not the one who transmitted the document via JF and other social medias
His previous post in JF alisema kabisa ameitoa wapi na hakuwataja moja kwa moja wahusika ila alisema wahusika wana majina yanyofanana na yaliyopo kwenye hiyo email
wanachotakiwa polisi ni kumtafuta alieipost mara ya kwanza but kwa upeo wao na uhaba wa vifaa sidhani kama wataweza kujua lolote.
The author of the said email can prove to us how he/she was able to capture such communication na pia wahusika waliotajwa wakamatwe watuambie content ya hizo email zilikuwa na lengo gani.....
kwa vile nchi yetu haina utawala wa sheria wataachwa hivo hivo,Ingekuwa nchi za wenzetu wangeshakamatwa....
Vijana wa chadema wanapenda sana kujitafitia umaarufu usio na tija hili waandikwe kwenye magazeti au waende jela hili wawe maarufu kama anavyo fanya lema kila leo anafanya vurugu hili kupata u maarufu.