Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Mkuu, mrudie Mungu na tubu dhambi zako. Watakuja wakuache peke yako ukiubeba Msalaba. Chezea watoto wa Mujini!

Mkuu mwambie huyu jamaa! Mambo ya mjini hayajui kabisa. Afterall hata ukimsikiliza kwa makini maneno yake utagundua ni cheo tuu kinachomsaidia ila maneno yake yanajionyesha UMJINI haujamwingia sawasawa hivyo KUINGIZWA MJINI HUYU ni swala la sekunde tuu.
 
Vijana wa chadema wanapenda sana kujitafitia umaarufu usio na tija hili waandikwe kwenye magazeti au waende jela hili wawe maarufu kama anavyo fanya lema kila leo anafanya vurugu hili kupata u maarufu.
 
View attachment 128467
Kazi ndogo sana hiyo Mwigulu Nchemba, network ya yahoo ni ya wamarekani, utaalamu wa kubaini mbivu na mbichi viashiria vya email hiyo tuwaambie FBI hapo utaomba dunia ifunuke ikufiche, unacheze watanzania wakati mitandao tutumiayo server iko kwao wamarekani usikoweza kutia pua yako, watakuhakikishia hata chombo kilichotumiaka katika mawasiliano kinamilikiwa na nani. Unachezea usichokijua wa walioendelea katika tekinolijia.


Mkuu tatizo la viongozi wengi wa ccm wanafikiri na kuishi dunia ya kizamani ,wanafikiri uelewa wao ni mkubwa na hakuna aneelewa zaidi yao na pia wanafikiri watanzania wa sasa ni wale wa miaka ya 1940 hivyo wanaweza tu kuwadanganya.Nnashukuru kukuwa kwa Technologia hata ule mlipuko wa bomu Arusha Soweto Chadema waliitumia hiyo hiyo Technology kuwabaini watuhumiwa.Serikali pamoja na jeahi la polisi ni washiriki wakuu ,tangu waombe kuundwa kwa tume ya kijaji mambo yamekuwa ziiii.

Mlipuko wa kanisani Olasiti wamemshikilia kijana mmoja mwendesha bodaboda ,na wapo tayari maisha yake yaishie gerezani ili wao wabaki salama.Tukio hili la email za hawa(Mwigulu/Nchimbi) kuingiliwa na kubainika litatupa majibu ya matukio mengine yalikwisha kutendwa na Serikali sababu nnaamini mipango ya kihalifu hupangwa na zaidi za mtu mmmoja na ilishakuwa ni hivyo basi siri hapo hamna tena.

Hauwezi kuua binaadam mwenzio na ukabaki salama ,ukiyaangalia maneno ya mawasiliano kati ya hao watuhumiwa wawili utapata kitu hapo.Tarehe walizo wasiliana na muda ambao ulipita pamoja na matukio kadhaa vyote ni uthibitisho tosha.Mwigullu na historia ya matukio au maneno aliyokwisha kusema Bungeni dhidi ya Chadema ni ya kutia mashaka,sababu hakuna wakati imewahi kuthibitika kuwa alisema kweli hata siku moja.Na maneno ambayo amekuwa akiyashuhidia ni ya hatari hatari tu.
 
Vijana wa chadema wanapenda sana kujitafitia umaarufu usio na tija hili waandikwe kwenye magazeti au waende jela hili wawe maarufu kama anavyo fanya lema kila leo anafanya vurugu hili kupata u maarufu.


Wakati mwingine hata kama unatumika jaribu kuwa na aibu kidogo.
 
Kiapo cha magamba ni kuwa nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko, je wanazingatia?
 
Mwigulu Nchemba,

-Nilichoulizwa Polisi mbele ya mwanasheria wangu ndicho nilichoripoti.

-Sasa kama una updates nyingine it's none of my business

-Pia kumbe kuna vijana waliojitaja kuwa wameingilia mawasiliano?Sasa kulikua na haja gani ya Jeshi la polisi kuniita kama wapo vijana wa aina hiyo ?Unasema watakua wameitwa tu kwa kutengeneza email fake za viongozi bila malalamiko?

-Pia barua pepe hizi zilisambaa kwa kasi kwenye mitandao hata kwenye Thread yako uliyoanzisha tarehe 26.11.2013 .Hukutoa ufafanuzi

-Thread ilipoanzishwa ili utoe ufafanuzi ulikaa kimya now one month.Nilikutumia SMS utoe Ufafanuzi maana watu wataamini ni ukweli.Ukakaa kimya.

-Nilishtuka sana waliponiuliza ulipata wapi password ya Nchimbi.Pia niwasaidie kumjua aliyeweka Jamiiforums na kwenye mitandao.Na pia lengo langu la kuanzisha thread (Ku-recreate kwa maneno yao)ni nini?

-Sasa polisi niliwaambia wao watafute ni nani aliingilia mawasiliano hayo ambayo tulikubaliana ni kinyume cha sheria.Pia watafute chanzo na sehemu ambazo mawasiliano hayo yalipita maana lengo la kuanzisha thread kwa kufanya Copy and Paste ya kilichokua kinazunguka ni kuhakikisha wahusika ambao majina yanayofanana na ya Nchimbi na Mwigulu walitakiwa kutoa ufafanuzi na wewe ulikua online.Thread ilianzishwa at 13:51 na kisha masaa matatu baadae nikaona kimya kimezidi nikakutumia SMS wewe na Nchimbi ambao majina yanayofanana na yenu yalihusishwa .Niliwatumia SMS masaa 3 baadae exactly.Nitaiweka hapa na hata polisi niliwaonyesha kwa kuwa bado ipo ndani ya simu yangu na nilishaichapisha

Polisi walisema pia bado watamhoji Mhe. Nchimbi.Sijui kwanini so far haujahojiwa na Polisi

"Ben,Look at you.!"-By,Mwigulu Nchemba. (Sijui unamaanisha nini)

SMS niliyotuma ni hii

" Hon'ble Nchimbi,

Mawasiliano ya Barua pepe yanayoonyesha kati ya jina la Emmanuel Nchimbi na Mwigulu Nchemba kama yanavyosambaa JamiiForums na Mitandao mingine ya kijamii yanayoainisha njama ovu dhidi ya CHADEMA ni za kweli?Muda wote wahusika mmekaa kimya bila ufafanuzi sasa nimeanzisha thread ili mtoe ufafanuzi.Vinginevyo tutaendelea kuamini ni ukweli.

Mh.Mwigulu nawe umekua kimya pamoja na kuwa member wa JF na Facebook.Ben Saanane

CC:Mwigulu '"
Ana kazi nyingi sana! Kutembeza aliyemwagia yeye mwenyewe tindikali, kung'oa kucha, kuimarisha ccccccm, aombewe ashindwe
 
kumbe kweli mkuki kwa nguruwe eeh? mbona hukulaani ile ya Lwakatare!? ulichekelea na kuapa kutoa ushahidi mbinguni,kumbe na wewe hupendi kuzushiwa ee!? na hili ukaliseme mbinguni ukifika
 
Mkuu mwambie huyu jamaa! Mambo ya mjini hayajui kabisa. Afterall hata ukimsikiliza kwa makini maneno yake utagundua ni cheo tuu kinachomsaidia ila maneno yake yanajionyesha UMJINI haujamwingia sawasawa hivyo KUINGIZWA MJINI HUYU ni swala la sekunde tuu.

Ni kweli kaka,huyu jamaa kapata zali lakini ni mshamba sana,yeye mwenyewe anajishangaa
 
Vijana wa chadema wanapenda sana kujitafitia umaarufu usio na tija hili waandikwe kwenye magazeti au waende jela hili wawe maarufu kama anavyo fanya lema kila leo anafanya vurugu hili kupata u maarufu.

Chris Lukos Aliandika hivi

Ndugu zanguni,

Siku hizi imekuwa ni kama kawaida kwa viongozi wa chadema kufanya vurugu ili wakamatwe waswekwe ndani halafu magazeti nchi nzima yawaandeike na kuweka picha zao ili wapate huruma na umaarufu kutoka kwa jamii

Tabia hii sasa naona imeanza kutumiwa na vijana wadogo wa chadema ambao nao wanatafuta umaarufu kwa nguvu zote na wameona inalipa sana kutupwa ndani .

Ben Saa nanane ni mmoja wa vijana hawa.

Kafanya upuuzi halafu kaitwa polisi kuhojiwa basi mara moja karuka kupost kila kona kuwa kahojiwa na polisi na kawajibu ajuavyo.

Mimi nadhani ni wakati jeshi la polisi lifikishe mwisho upuuzi huu kwani itafikia kipindi hata kunguni nao watajipeleka polisi ili waandikwe magazetini na mitandaoni kwani wameona wengine wakifanya hivyo ndio wanapata enough publicity.

Siasa sio utoto, siasa sio taarab.

Upuuzi huu mwisho wake sio mzuri.

Nawashauri wanaotumia siasa za namna hii kuwa wanayofanya ni makosa ya jinai na iko siku yatawafikisha jela na tutawasahau kama tulivyomsahau ludovick

JITAMBUE!




Nami nilimjibu:


XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX


XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Chris Lukosi
Your madness has no curative therapy.

Unaanzisha thread bila kuweka summary ya matukio yote na kilichojadiliwa na tayari kuna thread separate humu.Unasema natafuta umaarufu,kwanini isiwe kwamba wewe ndiye unayetafuta umaarufu kwa kunianzishia thread kabisa maana kwangu mimi thread inayoanzishwa na wewe kwa kunitaja jina kwenye title inanichafua kutokana na rekodi yako chafu ya unafiki,ujinga,uchumia tumbo na kufuata mkumbo.Umenizidi umri lakini najiskia fedheha sana kuona namna unavyoshughulika kila siku kunitajataja bila substance ila kwa maneno ya kitoto tu.

Suala la polisi lipo huku na linetolewa ufafanuzi na Mwigulu ametoa maelezo na tumejibizana kwa facts.Hata ikiwezekana Polisi watatoa statement yao maana wana msemaji wao na wakijaribu kupindisha tu nitaanika kila kitu maana nilikua na Mwanasheria na pia nina rekodi ya mahojiano.Narudia tena,NINA REKODI YA MAHOJIANO.Tusubiri upelelezi wa haya yanayoendelea na polisi waliahidi kumuhoji tena Nchimbi na pia wanahitaji kumuhoji Mwigulu na kuendelea kutafuta ukweli maana Link ya ufafanuzi wa Mwigulu nimeiweka kwenye attention ya Polisi.

Chris,I don't have time for dummies like you.

Go and study the state of Tanzanian political landscape.

There is no time for your type in our polity.

Tafuta namna ya kutibu inferiority complex inayokusumbua.

Hapo Uingereza unaweza kujifunza Sheria au Forensic investigation pale Hulls au Uende Glasgow Scotland na vyuo vingine accredited ambavyo haviko mbali mbali

Kajifunze vizuri kuhusu mambo haya:

-IEPE:Interpretation,Evaluation and Presentation of envidence

-CNERA:Computer Network Envidence recovery techniques and professional Analysis

DEARP-Digital Envidence Analysis and revovery and presentation.

Wewe ni ex Cop lakini outdated and out of touch .

Ungekishauri chama na serikali yako inayotumia domain ya yahoo kwenye mawasiliano ikulu kama ungekua unayajua haya yote badala ya kutumia muda wako kunianzishia thread kunitaja taja.

Your rants on this forums speak volume of your upbringing and intellectual capacity.
 
Last edited by a moderator:
tatizo lenu nyie watoto wa chadema mnamuona BEN SAA8 kama mtu muhimu sana. huyu dogo ni mburula tu mtumwa wa mbowe, he is ready to do anything to please his master(what a slave!!!)
wamefanya lililo sahihi kabisa kutokujibu sms yake kwani ukiwa SIMBA DUME NYIKANI HUTAKIWI KUGUTUSHWA NA KELELE ZA PANYA.
ujinga wenu mnaoufanya unafanya vijana wa kitz kuonekana wajinga na kuwa hawako tayari kiungozi mbele ya wenzetu wa nchi jirani.
hata kama kauli ya nchemba haina ukweli wa 100%, lakini ninashawishika kuiamini na nina wasiwasi BEN SAA 8 is behind all this.
ujumbe wangu kwako BEN, evil plans can carry only those who are foolish(na wamejaa tele chadema),but for those with proper/well packed brains, you are making a wonderfull bwatboy out of yourself

Huna ground.. ni mpuuzi kama wapuuzi wengine!!
hvyo upuuziwe..
 
Haya maneno yako yananiuma sana, zaidi kwa vile mimi ninakufahamu wewe binafsi. Buku saba ziskufanye upoteze utu na ubinadamu wako. Ingekuwa vizuri ukaacha hiyo ajira laana

Buku saba ndio zilikufanya wewe kupitia kwa mama yako mzazi aliyekuzaa ukanijua so ziheshimu sana eboh!!
 
uko sawa mkuu
Mwigulu alidhani bado tupo karne ya wadanganyika hatujui kuhoji.
wanasema silence is the best answer bora angekaa kimya
Thread yake inadhihirisha hakujipanga katika kueleza kilichotokea
amezoea kusema lolote bungeni bila ushahidi hapa JF nako anakuja na mada zake bila kufahamu kuna wataalamu na wanataaluma makini......
maswali yote uliyouliza yanatupa mashaka kama hajashiriki.....
polisi hawajakurupuka kumuita Ben kuna mtu alifile complaints either yeye au Nchimbi lengo ni kutaka kujisafisha.............
Ben cannot be held liable, He is not the author of the said email
He is not the one who transmitted the document via JF and other social medias
His previous post in JF alisema kabisa ameitoa wapi na hakuwataja moja kwa moja wahusika ila alisema wahusika wana majina yanyofanana na yaliyopo kwenye hiyo email
wanachotakiwa polisi ni kumtafuta alieipost mara ya kwanza but kwa upeo wao na uhaba wa vifaa sidhani kama wataweza kujua lolote.

The author of the said email can prove to us how he/she was able to capture such communication na pia wahusika waliotajwa wakamatwe watuambie content ya hizo email zilikuwa na lengo gani.....
kwa vile nchi yetu haina utawala wa sheria wataachwa hivo hivo,Ingekuwa nchi za wenzetu wangeshakamatwa....

Great Thinker Lokissa!
 
Last edited by a moderator:
Vijana wa chadema wanapenda sana kujitafitia umaarufu usio na tija hili waandikwe kwenye magazeti au waende jela hili wawe maarufu kama anavyo fanya lema kila leo anafanya vurugu hili kupata u maarufu.

Usipende kuwa kama zezeta......Jaribu ku-stick kwenye hoja ya msingi.....Mwigullu kaleta utetezi wa kipuuzi ili.kila mtu achangie...

Sasa wewe zezeta badala ya kumuokoa huyo muuaji mwenzako unaleta porojo za kichangudoa......

Bomu mlioinjinia wewe na Mwigulu kule Soweto Arusha ipo siku mtakufa kifo cha Mabina..
 
Shetani ni shetani tuuu. Hajawahi sema ukweli. Tulitaraji shetani siku moja aseme aliyotenda? Shetani ataendelea kukanusha aliyotenda na kuwa hata yeye anashangaa. The son of devil is also a prince devil.
 
Back
Top Bottom