Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe


upumbavu unakuelemea, hata ukikobolewa pamoja na ngano kinuni upumbavu haukutoki. wala elimu haitakusaidia.
 

Kwa maana hiyo ili uwe vizuri kichwani lazima umpinge Mbowe na Dr. Slaa, yaani wanaowakaririsha ni wajinga nanyi mnaokaririshwa ni wapumbavu.
 
Acha kutukana watu. Unakuja na mijigambo yako kama ya Chemba la choo (MaPhD). Wewe ni nani, fanya analysis, sio kutukana watu. Kuwa chadema kunakusu nini, na wewe unatumika wapi. What if wewe ndo foolish enhe? be civilized.
 
Mungu ni Mwema,Huwaumbua Waovu na Kuwasitiri Watenda Mema.Ipo siku itajulikana Pumba ni zipi na Mchele ni upi,Tujipe Moyo Muda si Mrefu Yatatimia Yote haya.
 
Siamini kama Tanzania ndio tumefika hapa tulipo!! Polisi/TCRA/usalama wa taifa mko wapi?? mbona kazi ni ndogo sana kugundua ukweli na uongo,ukimya wenu kwa mambo mengi ndio kunawafanya watanzania wa leo wanajichukulia sheria mkononi.
 
Kusoma sana,kupata shahada mbili au tatu,kuongoza darasani,kutoa hoja nzito kumbe yote ni tofauti sana na kuelimika,kujitambua,kujielewa,kujithamini. So is Ben Saanane
 
Last edited by a moderator:
Ndugu hata anaye tumia mitandao kupanga namna ya kuwadhuru wengine naye hafai, @mwigulunchemba anaweza kupaga na kutkeleza huo uovu! the man is capable of doing so! afu haoni taizo kuja hapa kukanusha. Unafiki wa huyu jamaa niliudhibitisha pale bungeni wakati wa mjadala wa udini, akautuhumumu upinzani kuanzisha udini! huku akisahau jinsi alivo simama madhabahuni pale KKKT Igunga akiwaomba kura waumini, (mimi nilikuwa mmoja wa waumini wa ibada ya siku hiyo) Mwigulu bila kupepesa macho aliomba kura kaniasani!
 
Mwigulu unamaanisha na wewe umegawa e-mail yako kwa mtu kama alivyofanya kapuya?
 
Kusoma sana,kupata shahada mbili au tatu,kuongoza darasani,kutoa hoja nzito kumbe yote ni tofauti sana na kuelimika,kujitambua,kujielewa,kujithamini. So is Ben Saanane

Njoo na ID yako halisi ya JF hapa.Si bora mimi kuliko msomi mwenye exposure lakini karne hii ya sayansi na teknolojia unajihusisha na kujigamba hadharani kwa ushirikina?
 
Last edited by a moderator:
Gaidi at works eti anapendekezwa kuwa waziri lol Mungu tusaidie jamani na hili janga CCM.
 
Njoo na ID yako halisi ya JF hapa.Si bora mimi kuliko msomi mwenye exposure lakini karne hii ya sayansi na teknolojia unajihusisha na kujigamba hadharani kwa ushirikina?

Mimi Mshirikina? Daah jamaa angu umezidi kwa ngano na riwaya....u are better than this
 
Nataka kukuamini Mwigulu Nchemba Kuwa hujawahi kuwasiliana kwa e mail na Nchimbi lakini kuna swali Hapa. Wewe ni Kati ya viongozi wa juu kwenye chama chako na Nchimbi alikuwa waziri katika wizara nyeti Kabisa ya mambo ya Ndani ambayo imekuwa ikilalamikiwa kwa kites a na Kuua Huku pia wewe ukiwa kwenye Tuhuma za kuratibu mateso na mauaji kwa Jina la chama kimoja cha upinzani.
Ni kwanini hadi Leo hujawahi kuwasiliana na Nchimbi kwa email ili Hali wewe ni bosi wake Ndani ya chama na yeye ni bosi wacko Akiwa waziri?
2. Ni Kweli kwamba huoni umhimu wa kuwasiliana na Nchimbi kwa e mail kwa vile kola Siku uko nae bungeni na mjini?
3. Ni Mara ngapi unatumia e mail yako kwa wiki?
 
[QUOTE
1) Sijawahi kuwasiliana na mhe Nchimbi kwa E mail hata siku moja tangu nizaliwe.

Mi nakushauri usiendelee kujibizana na wale unaoamini ni wafitini, endelea na kazi zako, usimwogope mtu, labda Mungu tu, ndo hakimu! Haya yote yana mwisho! Kila mtu ataubeba msalaba wake! Its is the question of time! Make hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho! Tafakari ...chukua hatua!
 
nadhani kuna mtu kapigwa na kitu chenye ncha kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Mhe ikifika kwako ni e mail fake. Wewe si ndiye ulichukua muda wa Bunge letu tukufu kutusomea message fake ya Mbowe. Mbona unakuwa kigeugeu Mhe?. Kama unaamini kuna msg au e mail fake kwanini hukuwasiliana na Mhe Mbowe kwanza? Mshahara wa dhambi ni mauti. Angalia sasa Mungu analipizia hata muda haujapita. Ni vema ukatubu kwani yapo mengi yatakupata usipofanya hivyo.
 
Mimi ninachohitaji wale wote waliomwita na kumuhoji Ben Sanane na wale waliopeleka malalamiko yale, Ben Sanane na yule mwanasheria wake walioenda wote polisi...waendelee kubaki salama. Tutawahitaji mbeleni kwa ajili ya kuhakikisha haki inatendeka.
 
Mhe ikifika kwako ni e mail fake. Wewe si ndiye ulichukua muda wa Bunge letu tukufu kutusomea message fake ya Mbowe. Mbona unakuwa kigeugeu Mhe?. Kama unaamini kuna msg au e mail fake kwanini hukuwasiliana na Mhe Mbowe kwanza? Mshahara wa dhambi ni mauti. Angalia sasa Mungu analipizia hata muda haujapita. Ni vema ukatubu kwani yapo mengi yatakupata usipofanya hivyo.
 

Merry Xmas

ni hilo tu mkuu,thnx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…