Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba tozo za miamala na muda wa hewani zimepitishwa na bunge hivyo yeye kama waziri hawezi kuziondoa ila anaweza kuangalia kanuni kujua namna ya kurekebisha
Amesema hayo alipohojiwa na BBC Swahili ambapo amesema kwa sasa wananchi wanatakiwa kuelimishwa ili kukubaliana na tozo zinazokatwa kwenye miamala ya simu
Amesema kabla ya kuweka tozo hizo utafiti ulifanyika wa kutosha
Amesema hayo alipohojiwa na BBC Swahili ambapo amesema kwa sasa wananchi wanatakiwa kuelimishwa ili kukubaliana na tozo zinazokatwa kwenye miamala ya simu
Amesema kabla ya kuweka tozo hizo utafiti ulifanyika wa kutosha