Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mbowe kama anatakiwa kuliwa kichwa wacha tu aliwe kichwa.Huu ndio mwaka wa Mama ajifunge kibwebwe halafu afanye mabadiliko kwenye baraza la mawaziri
Asiingilie kesi ya Mbowe ili Mapolisi wahenyeshwe ili Mwamba atoke bila Criminal record.
Uchaguzi ndani ya chama unakaribia ngoja tuzione sarakasi zake.
2025 kisiasa ni mbali sana anything can happen.
Tumwombe Mungu mambo yaende vizuri amani ndio jambo la msingi zaidi na jambo la msingi zaidi ni kuhakikisha mafisadi hayatafuni nchi yetu.