Mwigulu: Watumishi wala rushwa TRA watimuliwe na wafikishwe Mahakamani

Mwigulu: Watumishi wala rushwa TRA watimuliwe na wafikishwe Mahakamani

Huyu aliazimwa tu .....miaka 3 tu ameweza kunyoosha zbar wanafurahi sanaaaa.....kuondoka amewanyooshaa sana hadi kufanikiwa kuanzisha ZRA....amekoswa koswa sana sumu hukom....anakuja Tz anajua kila kituu
Kwamba kuna mtu hajui wizi wa bandarini? ataweza kuwazuia kuiba waliomweka hapo? soma kitabu cha Mkapa aliweza kutoa zaidi ya bilioni 100 BOT zikasaidie uchaguzi wa CCM na hakukamatwa wala kuhojiwa.
 
View attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.

Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).

Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.

Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.

Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.

Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.
Blah blah blah......
Maneno mengi bila kitendo!
Tumewachoka kabisa...
 
Kwamba kuna mtu hajui wizi wa bandarini? ataweza kuwazuia kuiba waliomweka hapo? soma kitabu cha Mkapa aliweza kutoa zaidi ya bilioni 100 BOT zikasaidie uchaguzi wa CCM na hakukamatwa wala kuhojiwa.
Atasaidia kidogo tu sio kwamba ni boya moja kwa moja.....atazuia kidogo kwa uwezo wake
 
Kama kuna nia ya dhati ya kupunguza rushwa basi boresheni mifumo ili kupunguza afisa kukutana na mfanya biashara.

Angalau wewe umechangia kwa akili na sio husuda na mihemko na kufuata mkumbo.

Tutoe hoja ambazo ni constructive na endelevu zenye kupunguza au kukomesha tatizo badała ya kuhumu watu kiujumla jumla.
 
View attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.

Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).

Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.

Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.

Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.

Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.

View attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.

Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).

Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.

Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.

Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.

Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.


Mwiguru anajitahidi kufanya kazi nzuri ni vile tu wengine tunajadli kwa kufuata mkumbo na mihemko badała ya kutumia nguvu ya hoja.

Kwa wastani anafanya vizuri ni vile tu labda Wengine wako na mambo yao binafsi nae labda .
 
Broo mifumo ya wizi wa nchi hii inatoka juu kushuka chini, huwezi kuiba kama boss wako siyo mwizi, nani ataidhinisha?
Si nyakati zote. Kuna wakati afisa anakula hata boss hana habari.

Afisa wa ukaguzi anaweza akakubali majibu mepesi na kuiondoa hoja aliyoipachika au akakupa namna ya kuijibu ili ikubalike kabla hata hujaijibu katika mfumo rasmi na wala boss wake asijue.
 
Si nyakati zote. Kuna wakati afisa anakula hata boss hana habari.

Afisa wa ukaguzi anaweza akakubali majibu mepesi na kuiondoa hoja aliyoipachika au akakupa namna ya kuijibu ili ikubalike kabla hata hujaijibu katika mfumo rasmi na wala boss wake asijue.

Dawa ni kuondoa physical interaction kati ya mlipakodi na afisa.
Yani mfumo ukimpatia makadirio ya kodi asijulikane afisa kodi gani atahusika kuendelea na hiyo kazi.
 
Dawa ni kuondoa physical interaction kati ya mlipakodi na afisa.
Yani mfumo ukimpatia makadirio ya kodi asijulikane afisa kodi gani atahusika kuendelea na hiyo kazi.


Tatizo maofisa wengi wa nchi yetu wakienda nchi za wenzetu kikazi hawaendi kujifunza kuja kuboresha kwetu bali wanaenda kama Matembezi au kwenda vacation na adventure huku wako tumia Hela za wananchi bila tija.

Kenya wamewezaje kwetu ishindikane?
 
Si nyakati zote. Kuna wakati afisa anakula hata boss hana habari.

Afisa wa ukaguzi anaweza akakubali majibu mepesi na kuiondoa hoja aliyoipachika au akakupa namna ya kuijibu ili ikubalike kabla hata hujaijibu katika mfumo rasmi na wala boss wake asijue.
Kuna rejesho huwa wanatakiwa kufanya, boss siku zote hakusanyi rushwa analetewa, unadhani kwenye mifumo yao haoni report? zote zilizopunguzwa huwa wanakaa mezani kujadili hapa umepokea ngapi au kabla huyu akiomba kupunguziwa mwambie atoe kiasi fulani. Huwezi kula rushwa kama boss hali rushwa
 
Back
Top Bottom