Huyu aliazimwa tu .....miaka 3 tu ameweza kunyoosha zbar wanafurahi sanaaaa.....kuondoka amewanyooshaa sana hadi kufanikiwa kuanzisha ZRA....amekoswa koswa sana sumu hukom....anakuja Tz anajua kila kituuTena huyu katoka Unguja ndiyo hatakuwa na uzalendo wowote
Kwamba kuna mtu hajui wizi wa bandarini? ataweza kuwazuia kuiba waliomweka hapo? soma kitabu cha Mkapa aliweza kutoa zaidi ya bilioni 100 BOT zikasaidie uchaguzi wa CCM na hakukamatwa wala kuhojiwa.Huyu aliazimwa tu .....miaka 3 tu ameweza kunyoosha zbar wanafurahi sanaaaa.....kuondoka amewanyooshaa sana hadi kufanikiwa kuanzisha ZRA....amekoswa koswa sana sumu hukom....anakuja Tz anajua kila kituu
Blah blah blah......View attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.
Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).
Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.
Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.
Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.
Daaang!!! Hatari yani mbaya mbovuKwamba kuna mtu hajui wizi wa bandarini? ataweza kuwazuia kuiba waliomweka hapo? soma kitabu cha Mkapa aliweza kutoa zaidi ya bilioni 100 BOT zikasaidie uchaguzi wa CCM na hakukamatwa wala kuhojiwa.
Atasaidia kidogo tu sio kwamba ni boya moja kwa moja.....atazuia kidogo kwa uwezo wakeKwamba kuna mtu hajui wizi wa bandarini? ataweza kuwazuia kuiba waliomweka hapo? soma kitabu cha Mkapa aliweza kutoa zaidi ya bilioni 100 BOT zikasaidie uchaguzi wa CCM na hakukamatwa wala kuhojiwa.
Broo mifumo ya wizi wa nchi hii inatoka juu kushuka chini, huwezi kuiba kama boss wako siyo mwizi, nani ataidhinisha?Daaang!!! Hatari yani mbaya mbovu
Kama kuna nia ya dhati ya kupunguza rushwa basi boresheni mifumo ili kupunguza afisa kukutana na mfanya biashara.
!Kama kuna nia ya dhati ya kupunguza rushwa basi boresheni mifumo ili kupunguza afisa kukutana na mfanya biashara.
Kweli boss!
Hii wenzetu Kenya walishaitekeleza kwa miaka mingi ilopita,
Itasaidia sana kupunguza kwa kiasi kikubwa mno mno.
Wapi alikula rushwa. Au nawe ni hearsay tuYeye mwenyewe ni mla rushwa mzuri haswa
View attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.
Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).
Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.
Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.
Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.
View attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.
Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).
Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.
Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.
Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.
Si nyakati zote. Kuna wakati afisa anakula hata boss hana habari.Broo mifumo ya wizi wa nchi hii inatoka juu kushuka chini, huwezi kuiba kama boss wako siyo mwizi, nani ataidhinisha?
Utujualia wapi hizi mambo dada anguWapi alikula rushwa. Au nawe ni hearsay tu
Basi unaongea porojo. Weka ushahidi hapa ili nami nijue kuwa mwigulu ni mla rushwaUtujualia wapi hizi mambo dada angu
Si nyakati zote. Kuna wakati afisa anakula hata boss hana habari.
Afisa wa ukaguzi anaweza akakubali majibu mepesi na kuiondoa hoja aliyoipachika au akakupa namna ya kuijibu ili ikubalike kabla hata hujaijibu katika mfumo rasmi na wala boss wake asijue.
Sahihi mkuu.Broo mifumo ya wizi wa nchi hii inatoka juu kushuka chini, huwezi kuiba kama boss wako siyo mwizi, nani ataidhinisha?
Dawa ni kuondoa physical interaction kati ya mlipakodi na afisa.
Yani mfumo ukimpatia makadirio ya kodi asijulikane afisa kodi gani atahusika kuendelea na hiyo kazi.
Kuna rejesho huwa wanatakiwa kufanya, boss siku zote hakusanyi rushwa analetewa, unadhani kwenye mifumo yao haoni report? zote zilizopunguzwa huwa wanakaa mezani kujadili hapa umepokea ngapi au kabla huyu akiomba kupunguziwa mwambie atoe kiasi fulani. Huwezi kula rushwa kama boss hali rushwaSi nyakati zote. Kuna wakati afisa anakula hata boss hana habari.
Afisa wa ukaguzi anaweza akakubali majibu mepesi na kuiondoa hoja aliyoipachika au akakupa namna ya kuijibu ili ikubalike kabla hata hujaijibu katika mfumo rasmi na wala boss wake asijue.
Wewe ujue kama nani?Basi unaongea porojo. Weka ushahidi hapa ili nami nijue kuwa mwigulu ni mla rushwa
Kwanza ukiwa siyo mla rushwa kwenye hizi sehemu nono kama Bandarini, TRA, TANAPA, TCRA hudumu watakuondoa mapema sn ama utapata uhamishoSahihi mkuu.