binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
KabisaDawa ni kuondoa physical interaction kati ya mlipakodi na afisa.
Yani mfumo ukimpatia makadirio ya kodi asijulikane afisa kodi gani atahusika kuendelea na hiyo kazi.
Hakika. Na hawataki ulokole kwenye hizo nafasi nyeti aiseee!! Mifedwaaa mipesaaaKwanza ukiwa siyo mla rushwa kwenye hizi sehemu nono kama Bandarini, TRA, TANAPA, TCRA hudumu watakuondoa mapema sn ama utapata uhamisho
Huku wamepachika watoto wao wanaiba haswaHakika. Na hawataki ulokole kwenye hizo nafasi nyeti aiseee!! Mifedwaaa mipesaaa
Mimi pia namtengenezea mazingira dogo aingie humo tupunguze makali kidogo hakuna namnaHuku wamepachika watoto wao wanaiba haswa
Sawa kabisaMimi pia namtengenezea mazingira dogo aingie humo tupunguze makali kidogo hakuna namna
Upo sawa mkuu ila si nyakati zote.Kuna rejesho huwa wanatakiwa kufanya, boss siku zote hakusanyi rushwa analetewa, unadhani kwenye mifumo yao haoni report? zote zilizopunguzwa huwa wanakaa mezani kujadili hapa umepokea ngapi au kabla huyu akiomba kupunguziwa mwambie atoe kiasi fulani. Huwezi kula rushwa kama boss hali rushwa
Naomba na yeye akumbushwe kulipia kodi ya mabango yake aliyojaza kwenye majabari nchi nzima mwaka 2015.View attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.
Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).
Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.
Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.
Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.
Jambo hilo ni rahisi kweli kuelewa, lakini inashangaza viongozi wasomi ma Dr and PhD holders eti hawaelewi jambo rahisi kama hilo. Nchi kweli inaongozwa kisanii na wasanii.Rushwa inaanzia juu kushuka chini
Hawa ni wanaufaika wakubwa wa mfumo wa rushwa familia zao zinaogelea utajiri wa kupindukia, fuatilia watoto wao wanasoma wapi lakini watakwambia Rais ameboresha elimuJambo hilo ni rahisi kweli kuelewa, lakini inashangaza viongozi wasomi ma Dr and PhD holders eti hawaelewi jambo rahisi kama hilo. Nchi kweli inaongozwa kisanii na wasanii.
😄 hiyo haliwezekani
Landa atoke kiongozi chuma kweri kweri....
Alafu mbona simple sana,unaanza kuhakiki mali za wafanyakazi wa TRA tu 😄
Ova
Pole sana. Punguza "hegemony" utakuwa huru...!Tulia ....
ANABWABWAJA TU CCM WOTE NI MAJIZIView attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.
Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).
Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.
Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.
Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.
Wanasiasa ni viumbe wa ajabu sana, Mwigulu anapata wapi moral authority ya kukemea rushwa wakati yeye anajulikana ni mwizi namba 2 nchi hizi?View attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.
Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).
Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.
Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.
Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.
Yani nchi ilianza kwa kualibika toka kwa huyu jamaaView attachment 3041028
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu Mpya wa TRA, Yusuph Juma Mwenda, kuwachukulia hatua kali za kisheria na kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi baadhi ya watumishi wa Mamlaka hiyo wanaokiuka maadili ya kazi zao ikiwemo kudai na kupokea rushwa, kwa kuwa vitendo hivyo vinaitia doa Mamlaka na kuikosesha Serikali mapato.
Mhe. Dkt. Nchemba, amesema hayo wakati akihitimisha Kikao cha Tathmini ya Utendaji Kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, kilichofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).
Aidha, Dkt Nchemba, amemwagiza Kamishna huyo kuwachukulia hatua kali wafanyabiashara wasiowasilisha ritani za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kwa kuwa Fedha hizo zinatakiwa kuwasilishwa serikalini kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwani wafanyabiashara ni Mawakala wa Serikali wa kukusanya kodi hiyo na hazitakiwa kufanywa kama ni sehemu ya mapato yao.
Aidha, Dkt. Nchemba amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, kuongeza ubunifu, umahiri na kuhakikisha wanatenda haki wakati wa kukusanya mapato ya Serikali ili kutimiza matarajio ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kuwaletea watanzania maendeleo ya uhakika.
Pia Dkt. Nchemba ametumia fursa hiyo pia kuwapongeza TRA kwa utendaji kazi mahiri kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2023/24, ambapo walikusanya kiasi cha shilingi trilioni 27.64, ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 28.30, ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 14.50, ikilinganishwa na makusanyo ya shilingi trilioni 24.14 katika mwaka wa Fedha uliopita 2022/23.
Katika Halfa hiyo Mhe. Dkt. Nchemba aliambatana na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera Wizara ya Fedha, Bw. William Mhoja, na Maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.