Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana

Huo mzigo wake mbona ulipita kimyakimya? Ulimhusisha yeye mwenyewe ama alisambaza za wenzake?Mtia nia kaharibu. Kibo!
 
Pole sana Mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Naona vijana wanakuchokonoa.

Sana.. wanajaribu kulipiza matukio ya jana na juzi.. wamepigwa mishushuo mingi.. 😃
 
Jimbo hilo lilijaa wahaini
 
Kwenye heading unasema mgombea ubunge, huku kwenye content unasema mtia nia. Lengo lako nini labda, mbona hueleweki.
Huyo ni mpambe wa SACCOS ya Kaskazini,nia yake ni kuipaka matope CCM, hapo yupo kwenye kampeni.
 
Inashangaza lakini kukosa wadhamini
Hamisa ni mtu wake
 
Ngoja nirudi kwenye gallery yangu nikainyanyue tena ile video yake na Yule kahab Menina, nilinganishe na ile kondoo nyeupe ya GawajiBoy Uno nione ni mwanasisiem yupi kati yao alongonoka na kondoo tamu tamu
Nikiitaka ntaipata wapi?
 
Nikiitaka ntaipata wapi?
Hukufanikiwa kuipata connection ya huyo mwanasisiem Mwijaku na malay Menina?

Umechelewa mjini mamaa, na kwa kanuni za kudumu za wajumbe video hizo za Mwijaku na ile ya Gwajima zimebakiza siku2 masaa4 dakika7 na sekunde 37 kufutwa kabisa kwenye gallery, zimemaliza muda wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…