Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana

Mwijaku afikishwa Kisutu na kushtakiwa kusambaza picha za utupu. Ashindwa kutimiza masharti ya dhamana

Segerea siku ya kwanza lazima alale mchongoma, wale jamaa hawanaga shobo na mtu. Hata ukienda na suti unaambiwa bosi hukohuko nje.
 
Hili jina la Brighton Mwemba ni lake kweli ?! Isije ukawa mabo ya kina Daudi Albert Bashite kununua cheti, maana kila siku tunamuona akisema yeye ni muislam na picha za kuswali anaposti.

Si ndio zile picha na Video za Menina au ?!

Halafu Clouds fm wamemtoa Musa Husein kwenye Leo Tena wamemweka huyu.
 
ALIYEKUWA mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kawe na Mtangazaji wa Clouds, Mwemba Brighton maarufu Mwijaku (35) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kusambaza picha za utupu.

Mwijaku alisomewa mashtaka hayo leo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate.

Mwijaku ambaye alikana mashitaka hayo, amekosa dhamana baada ya kushindwa kutimiza masharti ambayo ni kuwa na wadhamini wawili kutoka ama Bongo Movie au tasnia ya muziki wenye barua zilizothibitishwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) na kusaini kila mmoja Sh 500,000.

View attachment 1520477

Chanzo: Habari Leo
Huyu itakuwa kaponzwa na ile kauli yake
 
Hili jina la Brighton Mwemba ni lake kweli ?! Isije ukawa mabo ya kina Daudi Albert Bashite kununua cheti, maana kila siku tunamuona akisema yeye ni muislam na picha za kuswali anaposti.

Si ndio zile picha na Video za Menina au ?!

Halafu Clouds fm wamemtoa Musa Husein kwenye Leo Tena wamemweka huyu.
Unamuwekaje kwenye kipindi cha radio mtu ambae ana kashfa ya kusambaza picha za ngono tayar......apo walichemka
 
Huyu jamaa Kama wamemlaza ndichi aka cello jamaa maniga 'wamfaidi' tu maana ana Mambo ya kichoko sana
 
Back
Top Bottom